Sababu za Tanzania kushindwa mjadala wa Makinikia

Lowassa na Sumaye si watia sahihi kwenye mikataba!! Unaweza kutaja mkabata hata mmoja ambao Lowassa na Sumaye waliingia?
Nilijua tu utahamisha goli maana umejifunza kutoka kwa kina Mbowe. Kwanini unamlaum magufuli kama una akili ya kutambua kua waziri mkuu ha sign mkataba je waziri wa kawaida atakuaje na nguvu? Nimeshasema ninyi wafuasi wq ccm
Lowassa na Sumaye hawakuwa watia sahihi kwenye mikataba!! Unaweza kutaja mkataba hata mmoja ambao Lowassa na Sumaye waliingia?

Waziri Mkuu hana mamlaka ya kutia sahihi mkataba wowote ule kwa niaba ya Tanzania mpaka atumwe na kuruhusiwa na Rais aliyeko Madarakani!
Kumbe wakati mwingine akili inakurudia. Sawa waziri mkuu anaambiwa na rais mbona unamshambulia Magufuli na yeye alikua waziri yena junior wakati wa hiyo shughuli. Sikishangai maana umejifinzia kwa mbowe kuhamisha magoli. Ninyi wafuasi wa ccm na ukawa mnatakiwa kupimwa akili zenu.

#TeamMAGU2015/25
 
Nani kasema wameshindwa, juzijuzi ilisemwa negotiations zinaendelea na team yao walianza 14 imegonga mwamba imebidi waongezeke hadi 25 while ours iko kwenye idadi ile ile.......hii ni sign kuwa tuko vizuri.

Sent using Jamii Forums mobile app

Nilipo sikia hata mimi nilicheka sana.ingekua ni baba yangu kaongea hivyo ningeitisha kikao cha familia maana baba atakua na msongo wa mawazo
 
Jitahidi ukamuone daktari kama ndugu yako Deogratias Kisandu Nalimi mkuu. Unaandika mambo unayayaota mchana.
EATV wameripoti kuwa katika kipindi cha mwaka mmoja tu uliopita kumekuwepo na ongezeko la wagonjwa wa akili nchini kutoka laki sita hadi laki saba. Bila shaka wewe ni miongoni mwao maana hata huwa huelewi unachojadili!
 
Lowassa na Sumaye hawakuwa watia sahihi kwenye mikataba!! Unaweza kutaja mkataba hata mmoja ambao Lowassa na Sumaye waliingia?

Waziri Mkuu hana mamlaka ya kutia sahihi mkataba wowote ule kwa niaba ya Tanzania mpaka atumwe na kuruhusiwa na Rais aliyeko Madarakani!
Waweke upande wa washirika na walioridhia !
 
Nani kasema wameshindwa, juzijuzi ilisemwa negotiations zinaendelea na team yao walianza 14 imegonga mwamba imebidi waongezeke hadi 25 while ours iko kwenye idadi ile ile.......hii ni sign kuwa tuko vizuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umeniwahi na hoja yako.
Kitu kikubwa ambacho nimejifunza hapq jf no kwamba uelewa Wa watu kuhusu issues unatofautiana sana,aidha wengine kwa makusudi wanaamua kuandika kishabiki,kichuki wakati wengine wanataka kujifunza na kuelewa,issues mbalimbali.
Kwenye issue ya majadiliano ya makanikia,update pekee ambayo ndiyo authority ambayo unaweza kuizugumza,ameidokeza raid Magufuli kwamba mazungumzo bado tanaendelea,na kwamba ujumbe Wa acacia umeongezeka kutoka 14 mpaka 25.
Ukitoa ushabiki,maana halisi ni kwamba acacia wamezidiwa mpaka ikabidi walete sio tu viongozi wao,Bali na watendaji,washauri,watu Wa mbinu ,wasemaji wao wazuri ,ili kuja kupunguza igumu Wa hoja za serikali,has a ukitilia maanani kwamba raid aligusia kuwa na document zote,za mbinu walizokuwa wanatumia acacia katika kuhujumu uchumi Wa nchi yetu.
Tutangullze Tanzania kwanza,kinachodanywa na serikali Leo,manufaa take yataonekana baadae na kuwa msingi Wa mikataba itakayofuata,isaidie nchi na sio wawekezaji pekee,na maofisa wachache wenywe uwezo Wa kutekeleza mahitaji ya wawekezaji.
 
Unajua base wanayotumia kwenye mjadala au unaiga kutoa maoni. Hivyo ni vitu basic sana ambavyo hata barick hawawezi kuvitumia kujitetea. Its not court anyway.
1. Kwenye Sheria ya Madini hakuna kifungu kinachoipa Mamlaka Kamati ya Rais

2. Kwenye mkataba hakuna kipengele kinachoipa mamlaka Kamati ya Rais

3. Sheria inamtambua Kamishna wa Madini na sio Rais, hivyo mwenye Mamlaka ya kutengua kibali ni Kamishna wa madini na sio Rais.
Na kwamba kama kuna udanganyifu mwenye Mamlaka ya kutengua ni Kamishna wa madini na sio Rais na Kamati yake. Kwa hiyo Rais angemuita Kamishna akamulekeza atengue maamuzi kwa maandishi

The Whole Issue is null and void

Sent using Jamii Forums mobile app
 
EATV wameripoti kuwa katika kipindi cha mwaka mmoja tu uliopita kumekuwepo na ongezeko la wagonjwa wa akili nchini kutoka laki sita hadi laki saba. Bila shaka wewe ni miongoni mwao maana hata huwa huelewi unachojadili!
Kwa bahati mbaya sana kwako sijakanyaga udongo wa bongo kwa mwaka na nusu hivyo hiyo report inakuhusu wewe na jibu na imepata kwanini wanasiasa wa tanzania wawe wa ccm ama ukawa wanapeta jawabu wana wagonjwa kama wewe wengi mkiambiwa leo Magu mbaya mnashika kidedea kesho mkiambiwa mzuri mnabadilika sababu akili zenu zinatumika kwa remote control.
Mbowe alipomsifu Magu kule Arusha mlimsifu sana wiki mbili baadae akageuza akasema ni dikteta mkawa kama kasuku. Ninyi na kasuku hamna tofauti. Tofauti yenu na kasuku ni kwamba mnaruhusiwa kutembea hamuwekwi kwenye tundu
 
Back up , let us fight now together. Kwa hali iliyopo wazungu hawana ujanja kwa sababu they are course of every bad things happening now
Ukurupukaji hoyeee,ccm sema hoyeeee.mnaogopa nini kusema hoye na wakati bungeni mnaitwa wanafiki semeni ndioooo na mnasema ndioooo tena kwakuacha viti vyenu na kushangilia. Shemu oni yuu sisiemu wahedi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usiniweke kwenye vyama mkuu. Mimi sina chama na sitetei uozo wa ccm ila na wewe fumbuka usiwe kama kipofu kina chenge na kina sumaye ni wale wale wasikurubuni na magwanda ya khaki. Walishafanya mengi mabovu wamekimbilia mafichoni sababu wanajua kwa nchi ya Magu lazima uwe na pango la kujificha. Mimi ni timu Magu2015/2025
Ndg yangu team Magu ni nini??
Mnabomoa chama lenu kama Mutharika wa Malawi??
Is that a new desparate vehicle to escape the reallity!!
Vua gwanda nini??
 
1. Kwenye Sheria ya Madini hakuna kifungu kinachoipa Mamlaka Kamati ya Rais

2. Kwenye mkataba hakuna kipengele kinachoipa mamlaka Kamati ya Rais

3. Sheria inamtambua Kamishna wa Madini na sio Rais, hivyo mwenye Mamlaka ya kutengua kibali ni Kamishna wa madini na sio Rais.
Na kwamba kama kuna udanganyifu mwenye Mamlaka ya kutengua ni Kamishna wa madini na sio Rais na Kamati yake. Kwa hiyo Rais angemuita Kamishna akamulekeza atengue maamuzi kwa maandishi

The Whole Issue is null and void

Sent using Jamii Forums mobile app
mtatoa povu,hadi,mkome.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndg yangu team Magu ni nini??
Mnabomoa chama lenu kama Mutharika wa Malawi??
Is that a new desparate vehicle to escape the reallity!!
Vua gwanda nini??
Sina chama ila kama mtanzania Magu ni timu yangu. Nilikua timu Mtikila kwa muda mrefu lakini sina muda na matapeli wa kisiasa kama kina LOWASSA Sumaye, Nape. I wish kungekua na kina Bashe na Prof Jay wengi. Bashe ni msema kweli na Jay ni mchapa kazi. Waliobaki hata huyu mgonjwa wetu ni opportunist wa siasa.
 
Acha usng wee.... Watayachimba kama yako kwao sio kwenye aridhi ya Tz... Hawa wanzungu wamewaroga na hiyo mikataba yenu fake... Na ten %

Sent using Jamii Forums mobile app
WAZUNGU mliwaleta nyie mnaojipaka rangi ya "uzalendo", kwa mikataba yenu feki. Mkawaundia (kwa dharura) sheria za kuwalinda. Ili kuwaondoa nako itatumika mikataba hiyohiyo mlioweka kwa 10% mlizokula. Hapo ndipo "UZALENDO" wenu ulipotufikisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nani kasema wameshindwa, juzijuzi ilisemwa negotiations zinaendelea na team yao walianza 14 imegonga mwamba imebidi waongezeke hadi 25 while ours iko kwenye idadi ile ile.......hii ni sign kuwa tuko vizuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu anafikiria mara3 zaidi yako bado ww unasema uko vzr cc bongo hatuna wataalamu bari tuna watu wenye viherehere tu wao wanaleta wataalamu kwenye kila sekta sisi mtu m1 anahudumu sekta 3 uyo anakiherehere na wala cyo mtaalamu so usishangae wao kuongeza wataalamu wabobezi cc tunabaki na hao hao wetu tena wakitoka hapo wanapeleka taarifa kwa mvurugaji nae anawashauri hahahaaa pombe nzuri sana kama haikufanyi ukavunja heshima mtaani tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom