Mbase1970
JF-Expert Member
- Jun 11, 2015
- 6,053
- 4,596
Wamaitwa cooy and pasteVp genius
Vp genius naona una plagiarize phrase za watu ambazo zimekusudiwa kwa situation ya Marekani hivi sasa na unataka ku apply kwa Tanzania hivi unajua kwa nini Jimmy Carter alizungumza maneno hayo kwa Uongozi wa marekani hivi sasa na unajua kwa nini alitumia neon oligarchy? wacheni kuwa na mtindio wa mawazo next time kuwa original
http://newsinfo.inquirer.net/930276/jimmy-carter-us-more-like-oligarchy-than-democracy