ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 15,774
- 35,994
Leo tumeshuhudia mechi nzuri ya kiufundi huku Simba alipigwa goli 2 bila kwenye mashindano ya shirikisho
1. Kuchezesha goal keeper Mousa Camara.
Simba ina walinda mlango 4. Kwanini coach Fadlu ame opt kmtumia Camara ambaye alikuwa na majeraha, angekuwa timamu asingefungwa magoli mepesi
2. Viongozi wa Simba walikuwa busy na propaganda za ovyo ya mechi dhidi ya Tabora United vs Young Africans. Walijikita kutengeneza voice note za uzushi, kumtuma mkuu wa mkoa na kuwahonga wachezaji wa Tabora Wakasahau kuwa wana mechi dhidi ya Al Masry
3. GSM anadhamini Al Masry
GSM anaharibu ligi ya Shirikisho yaani anadhamini na Al Masry ndo maana wakaifunga Simba mbili bila
GSM adhibitiwe anaharibu mashindano ya shirikisho
4. Kutegemea penalties
Yaani Simba ili kumfunga tu Namungo hadi wapate penalties 4
Huko kimataifa kupata penalties ni ngumu na hazitoki ovyo.
Ahoua ameanzishwa akapige penalty
5. Kwanini Simba hawakukimbia mechi.
Tuliwashauri wagome kucheza ili Camara na Che maloni wapone kama wanavowaendesha bodi ya ligi lakini wakagoma
6. Simba walidhani huko CAFCC Kuna waamzi wetu
Walidhani Al Masry watapewa Red ♦️
Watafunga magoli ya offside, kule hamna uhuni
7. Wachezaji wa Simba ni wa kawaida mno
Huyo Mpanzu na Kibu wanakimbia kama wamekatwa vichwa
Yaani akili ndogo wanatumia,
Wamewakosa wachezaji kama Max, Chama na Pacome
Soma Pia: FT: Al Masry SC 2-0 Simba SC | Robo Fainali CAF CC | New Suez Stadium | 02.04.2025
Robo zimekuwa nyingi Sasa kilo ishafika
Karia Kawasaidie Simba
Mwakarobo forever
1. Kuchezesha goal keeper Mousa Camara.
Simba ina walinda mlango 4. Kwanini coach Fadlu ame opt kmtumia Camara ambaye alikuwa na majeraha, angekuwa timamu asingefungwa magoli mepesi
2. Viongozi wa Simba walikuwa busy na propaganda za ovyo ya mechi dhidi ya Tabora United vs Young Africans. Walijikita kutengeneza voice note za uzushi, kumtuma mkuu wa mkoa na kuwahonga wachezaji wa Tabora Wakasahau kuwa wana mechi dhidi ya Al Masry
3. GSM anadhamini Al Masry
GSM anaharibu ligi ya Shirikisho yaani anadhamini na Al Masry ndo maana wakaifunga Simba mbili bila
GSM adhibitiwe anaharibu mashindano ya shirikisho
4. Kutegemea penalties
Yaani Simba ili kumfunga tu Namungo hadi wapate penalties 4
Huko kimataifa kupata penalties ni ngumu na hazitoki ovyo.
Ahoua ameanzishwa akapige penalty
5. Kwanini Simba hawakukimbia mechi.
Tuliwashauri wagome kucheza ili Camara na Che maloni wapone kama wanavowaendesha bodi ya ligi lakini wakagoma
6. Simba walidhani huko CAFCC Kuna waamzi wetu
Walidhani Al Masry watapewa Red ♦️
Watafunga magoli ya offside, kule hamna uhuni
7. Wachezaji wa Simba ni wa kawaida mno
Huyo Mpanzu na Kibu wanakimbia kama wamekatwa vichwa
Yaani akili ndogo wanatumia,
Wamewakosa wachezaji kama Max, Chama na Pacome
Soma Pia: FT: Al Masry SC 2-0 Simba SC | Robo Fainali CAF CC | New Suez Stadium | 02.04.2025
Robo zimekuwa nyingi Sasa kilo ishafika
Karia Kawasaidie Simba
Mwakarobo forever
