sababu za samsung kuhofia kupungukiwa profits

Na wewe pia unanichekesha maana kama memory itakua installed kwenye glass ina maana hio simu haitatumia umeme kwa sababu toka nzaliwe sjaskia na nafikiri sitaskia glass ikapitisha umeme. Sasa kama glass haipitishi umeme na battery ya nini sasa wanichanganya ujue

Umeme wa battery utamove vipi from one place to another? Je umesema kuhusu memory vitu hivi navyo vipo?

-processor ya glass
-ram ya glass
-memory card za glass

Na kama hamna hata kimoja itakuaje kweli? Labda tusubirie miujiza maana mungu hashindwi na kitu naeza nkaamka asubuhi nkaokota chini ya mvungu

I got U chief huyo jamaa hajui what physics is ndo maana anambwelambwela tu.
 
Na wewe pia unanichekesha maana kama memory itakua installed kwenye glass ina maana hio simu haitatumia umeme kwa sababu toka nzaliwe sjaskia na nafikiri sitaskia glass ikapitisha umeme. Sasa kama glass haipitishi umeme na battery ya nini sasa wanichanganya ujue

Umeme wa battery utamove vipi from one place to another? Je umesema kuhusu memory vitu hivi navyo vipo?

-processor ya glass
-ram ya glass
-memory card za glass

Na kama hamna hata kimoja itakuaje kweli? Labda tusubirie miujiza maana mungu hashindwi na kitu naeza nkaamka asubuhi nkaokota chini ya mvungu

Hebu tafta hiyo clip inaitwa a day with glass just itafte youtube then utaniambia
 
I got U chief huyo jamaa hajui what physics is ndo maana anambwelambwela tu.

In future utakuwa amazed sana ndugu yangu, na hiyo glass usidhani ni glass ya kawaida.
Hivi before uliwahi think about gorilla glass before ya kuijua. Je uliwahi think about hologram before ya kuisikia? Usishangae later utaelezwa hiyo glass imetengenezwaje. Kuhusu processor na hayo mambo mengine sijaongelea kama yatakuwa kwenye kioo coz hyo sijaskia wala kuona but in this world of technology tegemea innovation za ajabu.
Na kwa wanaobisha kwamba memory cannot be stored in glass hebu click hii link tuone wewe unayesema unajua laws za physics utasema nini www.dailymail.co.uk/sciencetech/art...sts-store-data-powerful-glass-hard-drive.html
 
In future utakuwa amazed sana ndugu yangu, na hiyo glass usidhani ni glass ya kawaida.
Hivi before uliwahi think about gorilla glass before ya kuijua. Je uliwahi think about hologram before ya kuisikia? Usishangae later utaelezwa hiyo glass imetengenezwaje. Kuhusu processor na hayo mambo mengine sijaongelea kama yatakuwa kwenye kioo coz hyo sijaskia wala kuona but in this world of technology tegemea innovation za ajabu.
Na kwa wanaobisha kwamba memory cannot be stored in glass hebu click hii link tuone wewe unayesema unajua laws za physics utasema nini Superman 'memory crystals' to become a reality as scientists store computer data on powerful glass hard drive | Mail Online

Nimekusoma mkuu ila hiyo kitu kuja kutumika sio leo wala kesho, Pia kumbuka it is for storage only sizani wala sitegemei kuona processor, mic, speaker, battery, capacitor, motherboard, na vifaa vingine vinavyo tumia umeme viwe vya glass. Hata FIBER OPTICS haitumii umeme.Nimeangalia hiyo video ya A day made of glass ni concepts tu wala hakuna cha maana. nikama movie za science fiction za James Bond
 
Nimekusoma mkuu ila hiyo kitu kuja kutumika sio leo wala kesho, Pia kumbuka it is for storage only sizani wala sitegemei kuona processor, mic, speaker, battery, capacitor, motherboard, na vifaa vingine vinavyo tumia umeme viwe vya glass. Hata FIBER OPTICS haitumii umeme.Nimeangalia hiyo video ya A day made of glass ni concepts tu wala hakuna cha maana. nikama movie za science fiction za James Bond

Yah ndo maana kwenye comment yangu ya kwanza nilisema hata hiyo simu ni speculations si iphone 5 wala nini. Pia hiyo simu yenyewe sehemu ya chini ina rangi nyeusi may be battery, mic na processor inaweza kaa hapo, pia juu ni nyeusi sehemu ya speaker. Lakini who knows technology kwenye hii miaka ya karibuni hasa kwenye vifaa vya electronics inakuwa kwa kasi sana yani. Kama unavyosema umeme hauwezi flow kwenye kioo ndivyo mlivyonibishia kwamba memory haiwezi kuwa stored in a glass hapo juu but innovations in action. Na mnasahau kwamba theoretically you can store memory in any layer of an atoms. Pamoja sana
 
We unaongea mambo ya kale s60v5 ni zamani sana baada ya hapo nokia wakatengeneza
-symbian ana
-symbian belle
-sasa hivi wapo windows mobile 7.5

Nokia lumia wameuza 2.2 million copies za lumia january hadi march wakiwa wamerelease nchi chache tu (hapa tume exclude symbian) wakati mwaka jana kipindi cha chrismass yani mwez wa 9 hadi 12 waliuza million 1. So toka milion 1 hadi million 2.2 ni ongezeko la zaidi ya asilimia 100

Now wametangaza mauzo ya lumia 900 na simu yenye camera isiyowahi tokea duniani yaani 41 megapixel nokia 808 yamezidi expectation yaani demand ni kubwa kuliko kiasi walichotengeneza nasubiri kwa hamu mauzo ya quarter 2 (mwez wa 3 hadi wa 6)

Samsung same period mauzo ya SSGS2 ni 25M+ unaweza linganisha na 2.2M?

Nokia wameshapoteza muelekeo.
 
We unaongea mambo ya kale s60v5 ni zamani sana baada ya hapo nokia wakatengeneza
-symbian ana
-symbian belle
-sasa hivi wapo windows mobile 7.5

Nokia lumia wameuza 2.2 million copies za lumia january hadi march wakiwa wamerelease nchi chache tu (hapa tume exclude symbian) wakati mwaka jana kipindi cha chrismass yani mwez wa 9 hadi 12 waliuza million 1. So toka milion 1 hadi million 2.2 ni ongezeko la zaidi ya asilimia 100

Now wametangaza mauzo ya lumia 900 na simu yenye camera isiyowahi tokea duniani yaani 41 megapixel nokia 808 yamezidi expectation yaani demand ni kubwa kuliko kiasi walichotengeneza nasubiri kwa hamu mauzo ya quarter 2 (mwez wa 3 hadi wa 6)
Nokia wana kizunguzungu sshv, unasema Nokia Lumia wameuza 2.2ml copies January --> March wakati simu kama iPhone 4S zimeuzika 1Million copies on its first 24 hours of availability (release date)!


View attachment 57638

1. recent news zinasema kwambba mauzo ya iphone 4 yamekuwa greatly affected na samsung galaxy na hivyo iphone kupata fundisho kwamba soko la simu sio la kuongeza vitu vya kawaida kama picha na vi game kwa sasa i phone imetangaza inakuja na iphone 5 ambayo itakuwa ina improved sili(program ya kucontroll simu kwa kuongea nayo) na transparent theme kama muonavyo kwenye picha ya juu

2. samsung wana kazi mana wanatumia expense mno kwa developers wakati hata faida wanayopata ni ndogo since mauzo yamefidia kidogo kwa ile gharama waliyotumia kununua lcd display kutoka sony kwa dola milioni 939 kitu kama trilioni moja na kadhaa

3.. black berry yajipanga kuhamia android ambapo every thing will be ready when the ceo signs the contract
hizi concepts zingine ni ngumu kidogo, sidhani kama itakuwahivyo, labda watabadilisha screen size, processor na vitu vingine,,,,
 
sasa hivyo vitu mpaka vinifikie huku namtumbo-mchomoro,nadhani miaka mia itakuwa ishakata.
 
Back
Top Bottom