Aizna
JF-Expert Member
- Jan 3, 2022
- 1,348
- 1,648
- Thread starter
- #21
Miaka ya 2000 RFA ilikuwa inakipindikinaitwaMatukio,asilimia 98 kilihusu matukio ya mauaji....
Pia nakumbuka kulikuwana Gazeti la Uwazi, maranyingi jichwakikuu cha habari kilihusu habari za mauaji..
Pointi yangu ni kuwa..haya matukio yalikuwepo sana hata kipindi cha nyuma, utofauti ni kwasasa habari inaenea haraka sana..
Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
Naam mkuu.. kipi? Kifanyike matendo haya yapungue