Nakubaliana na wewe; lkn na wanawake pia si huwa na wivu? Au kwakuwa wengi wetu hatuna nguvu za kupigana?
hakuna uhalali wa kumpiga mke, ni ujinga na ubabe wa kishamba wa baadhi ya wanaume (ambao mara nyingine wanawake wengine wanauendekeza na kulea maradhi)
Kwanini wanataka kuonesha ubabe? Ina maana hawajiamini au? Na kama ndivyo hiyo ndiyo njia pekee yakuonesha wako ontop?
unajua tatzo la kumpiga mwandan wako au mkeo hutokana na tabia ila siku zote anaesababsha yote haya ni mwanamke mwenyewe. Kwann anasababsha huwa wanapenda kufanya vitu ambavyo umemkanya au mliongea ili mrad aone utachukuwa hatua gan na hapo ndipo unapokuta mwny kukosa uvumilivu anamshushia kipigo.
unajua tatzo la kumpiga mwandan wako au mkeo hutokana na tabia ila siku zote anaesababsha yote haya ni mwanamke mwenyewe. Kwann anasababsha huwa wanapenda kufanya vitu ambavyo umemkanya au mliongea ili mrad aone utachukuwa hatua gan na hapo ndipo unapokuta mwny kukosa uvumilivu anamshushia kipigo.
Kupiga sio kitu nzuri vyema ni table talk.WANAOPIGA WAKE ZAO BADO HAWAJAZINDUKA KIAKILI na wengi wanaopigwa ni wale magori kipa au hawana kimbilio lingne zaidi ya kumtegemea mume wake ndo maana huwa wanashindwa hata kwenda kuwashitaki wanaume zao. WANAWAKE WENGI WAO WANAOPIGWA NAO HAWAJAZINDUKA KIAKILI
Ninaamini kabisa hapo ulikusudia kuandika ILA WAKATI MWINGINE au KUNA WANAWAKE WENGINE.
Maana kwa kuandika hivyo ulivyoandika ni kama unasema siku zote ni wanawake tu wanaokosea na kuwafanya waume zao wawapige.
Lakini wengine ni wafanyakazi, mwanajamii alitupa historia yake kule kwa The Finest; mimi pia nilipigwa sana na kudhalilishwa, nilikuwa na kipato changu kizuri tu. Ila kuna ukweli kuwa wenye uwezo tunaweza kutoka kwenye relation hizo zaidi ya wale wasio na uwezo wa kipato!
Mj1; hata kama mwanamke kakosea na hakanyiki, ukimpiga ndio atabadilika? Jua mwanamke aliyeolewa ni mtu mzima tayari. Mimi siamini kuwa kipigo ndio fundisho, nashindwa hata kuelezea; lkn kwa mwanaume aliyeniabuse mimi it was insecurity na kujaribu kuprove uanaume wake!
unajua tatzo la kumpiga mwandan wako au mkeo hutokana na tabia ila siku zote anaesababsha yote haya ni mwanamke mwenyewe. Kwann anasababsha huwa wanapenda kufanya vitu ambavyo umemkanya au mliongea ili mrad aone utachukuwa hatua gan na hapo ndipo unapokuta mwny kukosa uvumilivu anamshushia kipigo.
unazungumzia kumpiga mke kwa vp,say amekosa/amefanya maudhi au basi tu wajisikia kumpiga. wangu alishawahi kuniudhi nilimnasa vibao viwili na later aligundua kuwa ni kweli alikosa. hii nayo utasema ni nn?
inawezekana unaamini mwanamke akipigwa ndo anajua kapendwa? Hv unampiga huyo ni mtoto? Na pale mwanaume anapokosea,mwanamke ashushe kipigo au kwa kuwa wao hawana nguvu? Mie nadhani ukimpenda mke/mume na kumthamini huwezi kunyosha mkono wako juu yake, mtazungumza kama watu wazima na kumaliza tofauti. Kumpiga mwenza wako ni dharau ya hali ya juu.
Mwanamke hapigwi ngumi, anapigwa na kitenge tena wax original
unazungumzia kumpiga mke kwa vp,say amekosa/amefanya maudhi au basi tu wajisikia kumpiga. wangu alishawahi kuniudhi nilimnasa vibao viwili na later aligundua kuwa ni kweli alikosa. hii nayo utasema ni nn?