funzadume
JF-Expert Member
- Jan 28, 2010
- 13,559
- 21,040
- Thread starter
- #21
kama ungekuwa na ndoa ungeelewa nachosema na hilo ni lalamiko la kila m/ume tunapokutana Bar kuna kipindi hawa ndg zetu wanakosa ushirikiano kabisaMwanamke ni mwenza wako na sio chombo chako kaka!! Tendo la ndoa limebarikiwa si la kuchezea, wote wawili mnatakiwa kushiriki kikamilifu kama vile mko mezani kwenye msosi, nyie vipi??