Punguza munkali mkuu,kama tukienda hivi hata wewe huna facts,maana ata wewe ume-generalize umiliki wa hizo hotels,labda ungekuja na number of US owned hotels,SA and others ningekubali huo upungufu ulioutaja.
Usikimbilie kusema eti kenya haiwapendi watanzania,kenyans are so protective,yaani wanapenda kuprotect kilicho chao na hiyo sio dhambi,ndio uzalendo huo.Kule kenya walienda hata wa-south africa na walishindwa wakakimbia,shoprite walijaribu wakashindwa.Wakenya wanaamini kitu wanachoweza wao kukifanya basi wao ndio priority.
Nchi yetu ni ya uchumi wa soko tumeachia kila kitu,we don't have even a family silver,hatuna kitu cha kujivunia wala kuprotect,tumewachia wageni wafanye kila kitu. Hata huku kwenye tourism kuna wakati locals walikuwa wanalalamikia ugawaji usio sawa wa maeneo ya uwindaji,serikali nayo imewahi lalamika kwa kukosa deserved earnings toka kwenye sector hiyo kwani makampuni ya tours na some hotels wageni wao walikuwa wakifanya reservations ana kulipia hukohuko kila kitu ulaya na marekani na kuja huku with few money to spend.
Kazi kubwa ya watanzania ni kulialia tu.Keep on crying and do nothing.
Sitaki kupoteza muda kuorodhesha wamiliki wote hapa, lakini nina uhakika sentensi yako sio sahihi, hakuwezi kuwa na hoteli 50, wakenya wamiliki 1 halafu wewe useme kuwa wao ndio majority. Unatumia logic gani hapo?Unasemaje kuwa hoteli za mbugani zinamilikiwa na wakenya kwa asilimia kubwa wakati huwezi taja hata hoteli kadhaa wanazomiliki?yani wewe uongee uongo halafu mie nikusaidie kuprove uongo wako?seriosuly?
Sababu za South Africans kuondoka ni protectionism yao, na ubaguzi,ukabila hivyo vinafahamika, wanapata free ride TZ kwa kuwa sisi sio watu wa roho chafu kama wao.
Swala la wakenya kuchukia watanzania, sio jipya, tazama thread zao humu JF kwa sample size ndogo tu.hakuna anayewasingizia, tumepigana vita na waganda,lakini no love is lost between Uganda and Tanzania,we even have better relationship with Somalis than Kenyans with all their troubles. Think about it.
Ila, kadri wanavyotusukuma ndio wanasababisha na sisi tuamue kuwa wazalendo na kuachana na viji-brand vyao. Hii itawaumiza wao, sio sisi.
Swala lawatu kulipia Huko huko waliko ni vihcekesho, kwa kuwa any smart auditor hatatizama ni kiasi gani kimelipwa counter, bali atatizama parameters nyingi. Unanikumbusha regulators wa Hispania walipiga marufuku Google agregators,ili kuwalinda local newspapers, not knowinhg that agregators were actually helping them.kilichotokea, mapato ya aggregators yakapungua kutokana na kuondoa convenience.soon wakaanza kuomba aggregators warudi.
Dunia ya sasa hakuna mtu serious anatembea na cash, kila kitu kinafanyika online/cards. Sasa kama TRA wanasubiri watu wafike counter na pesa ndio wakate kodi ni upumb*vu wao. Na kama kuna mjinga TRA anaamini kuwa mtu akilipia ticket/reservation ya hoteli NY na kuja kuishi dar mapato yanakosekana,huyo afisa anatakiwa afukuzwe kazi.kwani hafai kukabiliana na challenges za 21st century, naomba usiniulize wafanyeje ili kuhakikisha malipo yaliyolipwa US/Europe yanawasilishwa kwenye vitabu vya hoteli wakati wa mahesabu ya kodi.kwani itamaanisha unahitaji ukafanye research.