Sababu za Godbless Lema kupoteza ramani

Sababu za Godbless Lema kupoteza ramani

khaaaa... unashangaza ulimwengu wa magu, hivi aliekuambia mtu akipelekwa mahabusu au gerezani ndio anapoteza umaarufu, hiyo mnajua nyie watu wa kibashite😵, ila kwa watu wanaojua mambo,, watu wa namna ya lema huwa wanaongeza umaarufu, tena mara dufu😉 yule aliwekwa mahabusu kwa makosa, hii inadhihirisha udhaifu wa sheria za nchi😵
 
haa haa kwa kiasi fulani mtoa mada uko sahihi japo utabezwa. lema kwa namna moja ama nyingine kapoteza dira.....
Hua mnaamkiaga wapi? Thanks kwa pm kupiga marufuku viloba watu wanamna ya kwako nijanga lakitaifa
 
Acha upumbavu moose Post ulitaka lema afanyaje? Ameingia ndani Lema miezi minne ninyi mnakula bata. Hakuna cha! Bavita wala wafuasi wowote mliojaribu hata kusubutu kuandamana au kulani kwa namna yoyote Ndo kwanza mlikuwa mnakula bata majumbani na wake zenu Huku mwenzenu akisota. Katoka mnaleta unafiki wenu afanyaje lema ulitaka atukane tena aende ndani mbona ninyi hamuthubutu? Kwani ninyi hamsitahili kukijenga chama hadi Lema awape kiki? Acheni umbeya wenu kama selo ni kuzuri thubutu wewe kwenda fanya fyoko uende wakakupoteze uacha wanao kwa mambo ya kutafuta kiki. Lema Upo vizuri keep it on. Panapo stahili kuongea atasema cyo kwa kufundisha aseme Ujinga wako ili akikamatwa umcheke.
Tatizo katoka lupango kawa kama nyuki wa mashineni sijui sumu kapeleka wap,
Mm ananikatisha tamaa kuona ujasir na harakati zake kumwachia mungu
CCM ya Leo inahtaji lema wa zamani sio lema wa leo wa Bible!
Camanda gani unaona vita mbele yako then unaokoka ghafla?
 
Ndugu wana jf nimefanya utaft binafsi nimegundua umaarufu wa wa lema umetoeka ghafla baada ya kutoka gerezani!
Sababu:
1. Kutoka maabusu uchafuni na kujiamulia mwenyewe kuwasamehe wabaya wake bila ridhaa ya sisi watanzania, as if alikuwa anaumia pekee yake na familia yake akiwa maabusu uchafuni.
2. Kutoka na kuingia moja kwa moja kwenye mambo ya kiroho as if alikuwa maabusu wa kiroho, sio wa kisiasa.
Hapa bavicha wamewekwa njia panda
CDM njia panda
Wanajimbo la Arusha njia panda
Mpaka na wapinzani wake wamewekwa mdomo wazi.
3. Kutoka uchafuni na kusema hana kinyongo na mtu as if mle ndani maabusu alikuwa paradiso au casino.
Hapa sasa kapunguza mzuka wa makanda wapinaji, katukatisha tamaa,
Makomandoo wake wameugua ghafla
4. Kutoka na kumuandikia rais walaka badala kuitisha mkutano arusha mjini ausome mbele ya makamanda, rais ausikie tu magezetini na redioni
Kumpelekea walaka rais ni sawa na kujisalmisha kwa wapinzani wake (CCM)
5. Kutoka na kuanza kuhubiri hapa kawapoteza makamanda wapagani na waislam kwani wamedhani ni mambo ya kikristo (kiroho) swala la lema. Umaarufu umepungua
6. Kutoka na kumruhusu wema nyumbani kwake imempunguzia umaarufu kwani watanzania wengi wanadhani ataanza kupiga vyombo!
7.hivyo kutoka kwa lema gerezani kwa mpunguzia umaarufu toka makundi mbalimbali
8. Kwa sababu hizo ametoa mwanya kwa CCM kuchukua jimbo asubuhi tu kabla ya mbwa kwenda msalani
Mungu akurehemu akufungue ufahamu wako
 
Unjoo leo kuanzia saa nane mchana kwenye uwanja wa Ngarenaro ushuhudie mwenyewe usikubali kuadithiwa. Lumumba mnaweweseka sana
 
Ndugu wana jf nimefanya utaft binafsi nimegundua umaarufu wa wa lema umetoeka ghafla baada ya kutoka gerezani!
Sababu:
1. Kutoka maabusu uchafuni na kujiamulia mwenyewe kuwasamehe wabaya wake bila ridhaa ya sisi watanzania, as if alikuwa anaumia pekee yake na familia yake akiwa maabusu uchafuni.
2. Kutoka na kuingia moja kwa moja kwenye mambo ya kiroho as if alikuwa maabusu wa kiroho, sio wa kisiasa.
Hapa bavicha wamewekwa njia panda
CDM njia panda
Wanajimbo la Arusha njia panda
Mpaka na wapinzani wake wamewekwa mdomo wazi.
3. Kutoka uchafuni na kusema hana kinyongo na mtu as if mle ndani maabusu alikuwa paradiso au casino.
Hapa sasa kapunguza mzuka wa makanda wapinaji, katukatisha tamaa,
Makomandoo wake wameugua ghafla
4. Kutoka na kumuandikia rais walaka badala kuitisha mkutano arusha mjini ausome mbele ya makamanda, rais ausikie tu magezetini na redioni
Kumpelekea walaka rais ni sawa na kujisalmisha kwa wapinzani wake (CCM)
5. Kutoka na kuanza kuhubiri hapa kawapoteza makamanda wapagani na waislam kwani wamedhani ni mambo ya kikristo (kiroho) swala la lema. Umaarufu umepungua
6. Kutoka na kumruhusu wema nyumbani kwake imempunguzia umaarufu kwani watanzania wengi wanadhani ataanza kupiga vyombo!
7.hivyo kutoka kwa lema gerezani kwa mpunguzia umaarufu toka makundi mbalimbali
8. Kwa sababu hizo ametoa mwanya kwa CCM kuchukua jimbo asubuhi tu kabla ya mbwa kwenda msalani

Uchafuni ni wapi?

Kwa akili zako ulitaka atangulize siasa badala ya Mungu?

Kwa hiyo wewe bichwa lako linaaamurisha Lema awe mtu wa visasi na kutokusamehe?

Wewe ndiye ulimtuma afanye kilichompeleka polisi, na kwa ajili hiyo unadai awe anakuomba ruhusa wewe?

Umaarufu wa Lema umepungua kwa nani kama siyo kwa wewe tuu?
 
Kama Lema atapoteza ramani wananchi tutamsaidia kuitafuta na kumkabidhi kama tulivyohuzunika naye alipokuwa gerezani baada ya kutoka gerezani tulifurahi pamoja na tutasonga mbele pamoja kwa kutumia ramani mpya.
Lema kwa sasa sawa na simba kibogoyo,
Sio kamanda tena, usweke ndani miezi minne utoke usemi huna adui hayo si mambo ya ajabu kabsa
Bora angesema mateso ya aliyo yapata anawachia watanzania na wakazi wa arusha wa wape adabu wavunja haki wote nchn
Ningempa tano, ila kwa sasa hana risasi ana mati tu
 
Lema kwa sasa sawa na simba kibogoyo,
Sio kamanda tena, usweke ndani miezi minne utoke usemi huna adui hayo si mambo ya ajabu kabsa
Bora angesema mateso ya aliyo yapata anawachia watanzania na wakazi wa arusha wa wape adabu wavunja haki wote nchn
Ningempa tano, ila kwa sasa hana risasi ana mati tu
Miezi 4 Ni cha Mtoto Mandela aliswekwa Lupango miaka 30 baada ya kutoka akatoa msamaha kwa wabaya wake na bado alikuja kuwa kiongozi wa wabaya wake.
 
Uchafuni ni wapi?

Kwa akili zako ulitaka atangulize siasa badala ya Mungu?

Kwa hiyo wewe bichwa lako linaaamurisha Lema awe mtu wa visasi na kutokusamehe?

Wewe ndiye ulimtuma afanye kilichompeleka polisi, na kwa ajili hiyo unadai awe anakuomba ruhusa wewe?

Kweli wewe ni zero.

Umaarufu wa Lema umepungua kwa nani kama siyo kwa vibaka kama wewe?
Aache siasa za kujfcha kwenye kiroho anatupoteza!
Awe straight forward
 
kuna watu wajinga sana et sisi watanzania....sema wew husiseme sisi....mm.mtanzania namuona lema ni kichaa hasojali maendeleo ya wananchi wake kaz kutukana watu pesa anazotumia kwenyw kesi zake zingekuja jimbon kwa maendeleo...hana maendeleo anayoyafanya kaz yake kelele tu.kutafuta umarufu ndomana watu wamemchunia wanamuona zombie plus
 
Give me a break. What nonsense is this? Such a buffoon!
 
Mimi sikuelewi kabisa. Wewe waweza kuwa mshauri wa Lema ila siyo mwamuzi wa Lema. Maamzi ni mali yake wala si ya mke, ndg, wala chama chake.Allow many people to advice you but let not, them to decide for you as decision is your property. Wengi tunafeli kwa kuwa tunaamriwa. Lema akibaki cdm ni sawa akihama ni sawa, akijiuzulu ni sawa. Kuwaza kungekuwa sare tungeshajiangamiza tukapotea wote duniani. Ogopa kuwaza sare na heshimu mawazo ya Lema. Pia ni wakati wa kwaresma huu naye ni mkristo hivyo kusamehe wakati huu yuko right.
 
Arusha ni Arusha tu ndugu yangu,unayoyasema nakufananisha na poyoyo.
Arusha ina mwenyewe,Nawashauri CCM imsimamishe Gambe na ikawaombe marais wote maarufu wastaafu na walo madarakani dunia nzima kuja kumpigia kampeini dhidi ya Lema.
Mtauona moto wa kifuu cha nazi.
Lema ni moto wa kifuu cha nazi
 
Back
Top Bottom