Sababu za Godbless Lema kupoteza ramani

Sababu za Godbless Lema kupoteza ramani

Hivi ccm wakichukua jimbo la Arusha,litageuka kuwa Paris?
 
Kwa CCM ilivyo, inawezekana mleta mada naye ni Phd holder!!!!!.Vyeti fake wanaCCM vinawahusu saaaaaaaana.Nawashangaa sana mnapoanzisha vita Mawe ilihali mnaishi kwenye Nyumba ya vioo!!!.
Kumbe mnatumiaga vyeti visivyo vyenu kudadadadeki?????.
 
Maccm mna matatizo MAKUBWA sana kwenye akili zenu! Unaweza kutueleza Hypothesis ya Utafiti wako kwa kifupi?
Unatumia maneno 'tume .,......' kumaanisha watu ambamo ndani yake nawe umo, so nawe umejifanyia Utafiti, kweli?
Sometimes maccm mnatapisha!
Mkuu, wala usistuke yeye kujiita mtafiti; hata FUTUHI wa start TV wanae mtafiti pia so usishangae kaka.
 
Back
Top Bottom