Wakuu,kwanza naomba nijiwakilishe kuwa mimi sio mwanachama wa chama chochote cha siasa japo siasa ninaipenda.Pia naomba nieleweke kuwa nachukia ufisadi,unafiki wa kisiasa na umaifa wa kisiasa unaofanywa na CCM,mfano wizi wa kura,ktumia green guards,etc.Kwa izi siku mbili nimevutiwa sana na kauli za busra za Nape,mwanzoni hakuwa ananivutia lakini matamshi yake yote aliyoyatoa baada ya uchguzi ni ya kiungwana na ya busara sana,ingawaje always,i wish I knew comes last.Kazungumzia kuwa watakaa kama chama kutathmini uchaguzi na kuangalia sababu ya kushindwa kwa kishindo,assume na mimi ni mmoja wa wajumbe kwenye kikao icho,huu ndio mchango wangu wa sababu za kufeli.
1.Utumiaji wa siasa za adaa za mwaka 47:Sasa hivi watanzania wengi wana upeo na ni wafuatiliaji wa siasa za kila siku,vyonmbo vya habari vimetapakaa kila kona tofauti na enzi za Mwalimu.Kutumia siasa za ghiliba ni kujizika kisiasa.Watu wana hali mbaya kiuchumi na wanajua hali hii sio kwa sababu ya mapenzi ya Mungu bali ni kwasababu ya sera mbovu za chama tawala.Wanafahamu nchi zilizokuwa nyuma yetu,zilizokuwa na vita na machafuko na ambazo azina rasilimali nyingi kama sisi,lakini baada ya kuchukua hatua madhubuti uchumi wao umeimalika.
2.Kutumia watu wasio na mvuto au waliopoteza mvuto kuendesha Kampeni:CCM ina watu wenye convincing power mfano Magufuli,Rose Asha Migiro,Anna Tibaijuka,Mizengo Pinda.Vijana wakina Nape,January na wengineo.CCM imeacha watu wenye busara zao na mvuto na badala yake wanatumia watu kama Wasila,Lusinde,Vicky kamata na wengineo ambao si tu hawana mvuto lakini baadhi yao hata busara yao ya kuchagua maneno ya kuongea jukwaani ni questionable.
3.Militarization of politics and politicization of the military.Kutumia green guards na vitisho vya vyombo vya dola hata kabla ya uchaguzi wenyewe ni kosa.Baadhi ya viongozi wa vyombo vya dola kujidhiirisha kama wanasiasa kwa kauli zao na misimamo yao ilikuwa ni hatari kwa CCM.When it comes to use of force,kawaida watu wanaji identify na yule mtu ambaye wanadhani vyombo vya dola vinamnyanyasa.
4.Kitendo cha Nassari kujinyenyekeza kwa watu kuwa yeye ni maskini mwenzao ambaye mama yake anaishi kwa uchuuzi wa mbogamboga na anashindana na tajiri asiye na shida kilimfanya apate kura za huruma na hasa za akina mama ambao inmost case ndio wanaoisaidia CCM kwenye chaguzi,CCM haikugundua kuwa Nassari anatafuta sympathy ya maskini na kusapoti hiyo rhitoric kuwa kweli ni maskini wa kutupwa,mfano ni matamshi ya wapiga kampeni wa CCM kuwa Nassari anafanya kazi ya kuosha mbwa wa wazungu,au hana viatu etc.Yeye hakukanusha tuhuma izo na hivyo kupata support ya vijana na watu wa kawaida ambao wanaishi kwa kubangaiza.
5.Kutumia muda mwingi wa Kampeni kutoa maneno ya kashfa kwa mgombea na Chama chake badala ya ku addrees key issues ambazo ni matatizo ya watanzania.Pale CCM ilipojaribu kutoa majibu yaliacha utata mwingi,mfano mdogo ni pale Raisi mstaafu aliyetawala kwa miaka kumi na kushindwa kutatua tatizo la ardhi Arumeru anaposimama jukwaani na kuwaambia wananchi kuwa atamshawishi Raisi aliyebakiza miaka miwili na nusu kumaliza kipindi chake heti atatue matatizo ya ardhi Arumeru.Mgombea mwenyewe anatoa ahadi kama hiyo wakati baba yake aliyekuwa mbunge kwa miaka saba hakutatua ilo tatizo.Hiyo ni mifano michache tu ya jinsi campaingn ilivyokuwa ya ubabaishaji,pia kila mpiga debe aliyekuwa anasimama alikuwa anatoa ahadi zake tofauti na aliyemtangulia,campaing ilikuwa disorganised,un coordinated na ilikosa generalised TOR.
6.Matusi yaliyokithiri ya Lusinde-Sina haja ya kuyarudia kwani kila mmoja anajua athari za hayo matusi katika kampeni ile.
7.Kujaribu kutumia mbinu chafu na zilizopitwa na wakati-mfano kununua kura,kuonga etc.
8.Mpasuko ndani ya chama cha mapinduzi,
9.Kutochukulia hatua mafisadi-Kutojivua gamba:Wananchi wanasubiri CCM ijivue gamba.sasa ni takriban mwaka hatuoni ikijivua magamba.
10.Umahiri wa mgombea wa CHADEMA katika kuelezea hisia zake kwa mvuto tofauti na mgombea wa CCM ambaye alipoa sana katika hotuba zake,hazikuwa na mvuto wala ushawishi wa kumfanya mtu ahamini anachokisema,nadhani sio natural politician tofauti na mwenzake ambaye I believe ni charismatic.CCM walikuwa sahii kuchagua mgombea kijana kwani kwa Tanzania ya leo vijana wanaona wanasiasa wazee kama walaghai na wasio na uchungu na nchi wala vision,tatizo ni haiba ya mgombea mwenyewe,hakuwa mchangamfu tofauti na mgombea wa CHADEMA.
1.Utumiaji wa siasa za adaa za mwaka 47:Sasa hivi watanzania wengi wana upeo na ni wafuatiliaji wa siasa za kila siku,vyonmbo vya habari vimetapakaa kila kona tofauti na enzi za Mwalimu.Kutumia siasa za ghiliba ni kujizika kisiasa.Watu wana hali mbaya kiuchumi na wanajua hali hii sio kwa sababu ya mapenzi ya Mungu bali ni kwasababu ya sera mbovu za chama tawala.Wanafahamu nchi zilizokuwa nyuma yetu,zilizokuwa na vita na machafuko na ambazo azina rasilimali nyingi kama sisi,lakini baada ya kuchukua hatua madhubuti uchumi wao umeimalika.
2.Kutumia watu wasio na mvuto au waliopoteza mvuto kuendesha Kampeni:CCM ina watu wenye convincing power mfano Magufuli,Rose Asha Migiro,Anna Tibaijuka,Mizengo Pinda.Vijana wakina Nape,January na wengineo.CCM imeacha watu wenye busara zao na mvuto na badala yake wanatumia watu kama Wasila,Lusinde,Vicky kamata na wengineo ambao si tu hawana mvuto lakini baadhi yao hata busara yao ya kuchagua maneno ya kuongea jukwaani ni questionable.
3.Militarization of politics and politicization of the military.Kutumia green guards na vitisho vya vyombo vya dola hata kabla ya uchaguzi wenyewe ni kosa.Baadhi ya viongozi wa vyombo vya dola kujidhiirisha kama wanasiasa kwa kauli zao na misimamo yao ilikuwa ni hatari kwa CCM.When it comes to use of force,kawaida watu wanaji identify na yule mtu ambaye wanadhani vyombo vya dola vinamnyanyasa.
4.Kitendo cha Nassari kujinyenyekeza kwa watu kuwa yeye ni maskini mwenzao ambaye mama yake anaishi kwa uchuuzi wa mbogamboga na anashindana na tajiri asiye na shida kilimfanya apate kura za huruma na hasa za akina mama ambao inmost case ndio wanaoisaidia CCM kwenye chaguzi,CCM haikugundua kuwa Nassari anatafuta sympathy ya maskini na kusapoti hiyo rhitoric kuwa kweli ni maskini wa kutupwa,mfano ni matamshi ya wapiga kampeni wa CCM kuwa Nassari anafanya kazi ya kuosha mbwa wa wazungu,au hana viatu etc.Yeye hakukanusha tuhuma izo na hivyo kupata support ya vijana na watu wa kawaida ambao wanaishi kwa kubangaiza.
5.Kutumia muda mwingi wa Kampeni kutoa maneno ya kashfa kwa mgombea na Chama chake badala ya ku addrees key issues ambazo ni matatizo ya watanzania.Pale CCM ilipojaribu kutoa majibu yaliacha utata mwingi,mfano mdogo ni pale Raisi mstaafu aliyetawala kwa miaka kumi na kushindwa kutatua tatizo la ardhi Arumeru anaposimama jukwaani na kuwaambia wananchi kuwa atamshawishi Raisi aliyebakiza miaka miwili na nusu kumaliza kipindi chake heti atatue matatizo ya ardhi Arumeru.Mgombea mwenyewe anatoa ahadi kama hiyo wakati baba yake aliyekuwa mbunge kwa miaka saba hakutatua ilo tatizo.Hiyo ni mifano michache tu ya jinsi campaingn ilivyokuwa ya ubabaishaji,pia kila mpiga debe aliyekuwa anasimama alikuwa anatoa ahadi zake tofauti na aliyemtangulia,campaing ilikuwa disorganised,un coordinated na ilikosa generalised TOR.
6.Matusi yaliyokithiri ya Lusinde-Sina haja ya kuyarudia kwani kila mmoja anajua athari za hayo matusi katika kampeni ile.
7.Kujaribu kutumia mbinu chafu na zilizopitwa na wakati-mfano kununua kura,kuonga etc.
8.Mpasuko ndani ya chama cha mapinduzi,
9.Kutochukulia hatua mafisadi-Kutojivua gamba:Wananchi wanasubiri CCM ijivue gamba.sasa ni takriban mwaka hatuoni ikijivua magamba.
10.Umahiri wa mgombea wa CHADEMA katika kuelezea hisia zake kwa mvuto tofauti na mgombea wa CCM ambaye alipoa sana katika hotuba zake,hazikuwa na mvuto wala ushawishi wa kumfanya mtu ahamini anachokisema,nadhani sio natural politician tofauti na mwenzake ambaye I believe ni charismatic.CCM walikuwa sahii kuchagua mgombea kijana kwani kwa Tanzania ya leo vijana wanaona wanasiasa wazee kama walaghai na wasio na uchungu na nchi wala vision,tatizo ni haiba ya mgombea mwenyewe,hakuwa mchangamfu tofauti na mgombea wa CHADEMA.