mimiamadiwenani
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 5,411
- 7,016
Hali gani ndugu zangu?
Malalamiko na vilio vimekuwa vingi sana. Wengi waliofanikiwa wamewa ditch yaani wamewasahau na "kuwapotezea" kabisa wale waliokuwa nao hali moja wakati wa mapambano.
Wale waliokuwa masikini wenzao hawataki tena mazoea nao baada ya kufanikiwa kwao. Hali ni tete.
Ni kama wakati wapo low walikuwa beneti ila baada ya mmoja kati yao au wachache kuchomoka, basi anakata mawasiliano na wenzake.
Sababu kubwa ya haya ni ROHO MBAYA. Huyu don aliyetoboa anakumbuka namna yeye na wenzake wakati wakiwa low profile, namna walivyokuwa wakiwajadili na kuwafanyia husuda, majungu, na fitina wale waliofanikiwa kuliko wao.
Kumbu kumbu hizi zinamfanya ahitimishe kuwa kwa roho mbaya za masikini, hata yeye akirudi kuwa nao beneti watamfanyia majungu na fitina na hata kumshusha kabisa. Hivyo anawakacha wenzake mazima.
Rejea mifano kama ya Fid Q kwa Rado, Diamond na wengineo wengi. Hawataki mazoea na masikini. Masikini wana husuda, wana roho mbaya hatari, mbaya zaidi bila sababu na hawahitaji uwachokoze, wewe ukiishi vema na kunawiri basi tayari umeshawachokoza.
Hata kwenye kuomba kazi kwa nyie vijana, msiende kutega connection vitongoji vya mabosi walala hoi. Vaa pendeza, nenda Posta, nenda Masaki, nenda Mikocheni, nenda maeneo ya Feri hutojutia.
Usitafute connection kwa walalahoi, nao wenyewe wanahitaji misaada kama wewe.
Masikini wana ROHO MBAYA sana.
Malalamiko na vilio vimekuwa vingi sana. Wengi waliofanikiwa wamewa ditch yaani wamewasahau na "kuwapotezea" kabisa wale waliokuwa nao hali moja wakati wa mapambano.
Wale waliokuwa masikini wenzao hawataki tena mazoea nao baada ya kufanikiwa kwao. Hali ni tete.
Ni kama wakati wapo low walikuwa beneti ila baada ya mmoja kati yao au wachache kuchomoka, basi anakata mawasiliano na wenzake.
Sababu kubwa ya haya ni ROHO MBAYA. Huyu don aliyetoboa anakumbuka namna yeye na wenzake wakati wakiwa low profile, namna walivyokuwa wakiwajadili na kuwafanyia husuda, majungu, na fitina wale waliofanikiwa kuliko wao.
Kumbu kumbu hizi zinamfanya ahitimishe kuwa kwa roho mbaya za masikini, hata yeye akirudi kuwa nao beneti watamfanyia majungu na fitina na hata kumshusha kabisa. Hivyo anawakacha wenzake mazima.
Rejea mifano kama ya Fid Q kwa Rado, Diamond na wengineo wengi. Hawataki mazoea na masikini. Masikini wana husuda, wana roho mbaya hatari, mbaya zaidi bila sababu na hawahitaji uwachokoze, wewe ukiishi vema na kunawiri basi tayari umeshawachokoza.
Hata kwenye kuomba kazi kwa nyie vijana, msiende kutega connection vitongoji vya mabosi walala hoi. Vaa pendeza, nenda Posta, nenda Masaki, nenda Mikocheni, nenda maeneo ya Feri hutojutia.
Usitafute connection kwa walalahoi, nao wenyewe wanahitaji misaada kama wewe.
Masikini wana ROHO MBAYA sana.