DASA
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 1,031
- 301
Kuna Mtu akiwa kwenye hali ya kupanic hasa anapokuwa kwenye chumba cha mtihani anaishia kupiga bao (kutoa mbegu za kiume) na itambidi hilo tendo liishe kwanza kabla ya kuendelea na chochote sababu huwa anaishiwa nguvu na kusikia raha wakati huo huo (ni kama akiwa anafanya tendo la ndoa). Sasa swali langu huku kupanic na kupiga bao kunaingiliana vipi!!!, Maana kawaida mtu unapiga bao wakati wa starehe sasa huyu anapiga bao wakati wa shida.