Sababu wanaume kuwaua wake zao

Sababu wanaume kuwaua wake zao

Ya kweli mkuu....zipo nyingi sana wanatumia watu wasiojulikana kuwamaliza wasaliti.

Hata mafundi wanaojenga nyumba za viongozi wakubwa wakubwa nao wanauliwa sana kwenye chakula ,siku ya ufunguzi wa nyumba mafundi wanawekewa kwenye chakula ,wanaisha mmoja mmoja.
OMG hili lilinipita kabisa. Kwa nini mafundi wawekewe dawa? Na je fundi usipotokea siku ya uzinduzi wa jengo?

Aisee hii dunia ina mazito
 
OMG hili lilinipita kabisa. Kwa nini mafundi wawekewe dawa? Na je fundi usipotokea siku ya uzinduzi wa jengo?

Aisee hii dunia ina mazito

Mafundi wanajua siri za nyumba kwahiyo Fisadi(Kibopa) hawataki mafundi waanze kuhadithia ile nyumba ndani sijui ina vyumba vitatu ,chini kuna strong rooom ,kuna hidden room and bla bla bla.

Nakupa siri kama ni fundi ogopa kula chakula siku ya uzinduzi wa Jengo.
 
Mafundi wanajua siri za nyumba kwahiyo Fisadi(Kibopa) hawataki mafundi waanze kuhadithia ile nyumba ndani sijui ina vyumba vitatu ,chini kuna strong rooom ,kuna hidden room and bla bla bla.

Nakupa siri kama ni fundi ogopa kula chakula siku ya uzinduzi wa Jengo.
Sawa kaka, ahsante sana. Kumbe ni mafisadi ndiyo hufanya hivi na siyo wakubwa wote? Wanaua watoto wa walala hoi, unyama sana
 
Na hizo dawa hao ke wanazipata wapi?
Mkuu hata damu ya hedhi ni sumu inaua kimya kimya, anakuwekea kwenye chakula kila siku kidogo kidogo. Pendelea kula nnaa mkeo kila siku tena uwe unachanganya chakula. Akishatenga tu sometime geuza sahani maana anaweza akaweka upande wako. Pendelea kumlisha lisha hii itamfanya aogope kuweka kitu kibaya.
 
Mkuu hata damu ya hedhi ni sumu inaua kimya kimya, anakuwekea kwenye chakula kila siku kidogo kidogo. Pendelea kula nnaa mkeo kila siku tena uwe unachanganya chakula. Akishatenga tu sometime geuza sahani maana anaweza akaweka upande wako. Pendelea kumlisha lisha hii itamfanya aogope kuweka kitu kibaya.
Hiyo damu ya hedhi akikuwekea kwenye chakula au kinywaji(mchuzi) ndiyo inafanya kazi? Na akiweka mara moja au zaidi ya mara moja kwa kufululiza ndiyo inafanya kazi?
 
Back
Top Bottom