Sababu wanaume kuwaua wake zao

Sababu wanaume kuwaua wake zao

Kundi linaloongoza kuua wenza wao katika ndoa ni wanawake, wanaume wengi sana wamekufa katika ndoa zao kwa kigezo tu cha 'kulea' watoto kwenye ndoa ambazo zilishavunjika mioyoni, hao wanaochukua sheria mkononi ni wachache sana. Ukitaka kuthibitisha hili tazama idadi ya wajane vs. Wagane
Kuangalia idadi ya wajane vs wagane kama kigezo cha wanaume wengi kuuawa na wanawake siyo kigezo sahihi.
 
Tena akili zote mbili
Za rohoni na za mwilini🙏
mama D

Umeweka vema sana, wanaume tunapaswa kuelewa akili zetu ni ndogo kama pirton. Tunafikiri wanawake ni wajinga. Mwanamke anaweza kunyonyesha mtoto, huku anapika na anaongea na simu. Lakini mwanaume hawezi kubadilisha mtoto diapers huku anapika. Sasa tukienda mbali ukiona ndoa nyingi leo ziko hoi chanzo ni sisi wanaume, utajua tu hapo mpumbavu ni mwanaume.
 
Ma genius wote duniani-i mean wagunduzi na wavumbuzi wote hawakuwahi kuoa.Wanawake 99% Mungu aliwanyima akili-sasa unaanzaje kuishi na MTU asiyekuwa na uwezo wa kufikiria.
 
Sababu ya kwanza mpaka ya nne ni USALITI tu.

Wanawake wanawaua wanaumme kimya kimya ,wanawawekea madawa ya kuwaua taratibu.

Kuna dawa ukiwekewa m/mme kwenye chakula auchukui miezi mi3 lazima "URUDISHE NAMBA".
 
Sababu ya kwanza mpaka ya nne ni USALITI tu.

Wanawake wanawaua wanaumme kimya kimya ,wanawawekea madawa ya kuwaua taratibu.

Kuna dawa ukiwekewa m/mme kwenye chakula auchukui miezi mi3 lazima "URUDISHE NAMBA".
mungu wanguuu. Ni ya kweli haya??? Sasa kama kuna dawa za kuua taratibu(miezi 3), hivi hakuna za kuua hata kwa miaka 2 ili kupoteza kabisa ushahidi?

Dawa ni ku date au kuoa wenye hofu ya Mungu,watu waache kuoa malaya na kuokoteza okoteza wanawake
 
Sababu ya kwanza mpaka ya nne ni USALITI tu.

Wanawake wanawaua wanaumme kimya kimya ,wanawawekea madawa ya kuwaua taratibu.

Kuna dawa ukiwekewa m/mme kwenye chakula auchukui miezi mi3 lazima "URUDISHE NAMBA".
Na hizo dawa hao ke wanazipata wapi?
 
mungu wanguuu. Ni ya kweli haya??? Sasa kama kuna dawa za kuua taratibu(miezi 3), hivi hakuna za kuua hata kwa miaka 2 ili kupoteza kabisa ushahidi?

Dawa ni ku date au kuoa wenye hofu ya Mungu,watu waache kuoa malaya na kuokoteza okoteza wanawake
Ya kweli mkuu....zipo nyingi sana wanatumia watu wasiojulikana kuwamaliza wasaliti.

Hata mafundi wanaojenga nyumba za viongozi wakubwa wakubwa nao wanauliwa sana kwenye chakula ,siku ya ufunguzi wa nyumba mafundi wanawekewa kwenye chakula ,wanaisha mmoja mmoja.
 
Back
Top Bottom