SABABU: Ujio wa Obama na timu ya watu 700

You are a GREAT THINKER!!, Thanx for the great analysis, na umetufungua macho MKUU
 
Obama vs Jimping, and the battle field is Tanzania! Nothing else is there but Land, Natural Gas (NatGas) and Uranium! wakati Intelligence sevices za hao jamaa zikiwa busy kutafuta information juu hizo raslimali za TZ sijui kama TISS imejipanga ku-counter mashambulizi! Otherwise, ama raslimali zetu zitachotwa kwa bei cheee au zitageuka kuwa laana itakayogharimu uhai wa watanzania!
Wakati intelijensia zao ziko busy na maswala ya kuimarisha chumi za nchi zao, yetu iko busy kuhakikisha ccm haianguki madarakani na pia wako busy kuhakikisha mporaji aka mwekezaji anavuna kwa amani rasilimali zetu pasipo bugudha toka kwa wenye "mali".
 
Huo ni mtizamo wako tu, Rais wa mataifa yaliyoendelea wakisema waje kufanya ziara huku mnafikiria kunyang'anywa ardhi na rasilimali zingine ila nyie Rais wenu akienda huko mnaona poa tu eti anaenda kutafuta masoko na fulsa za uwekezaji...SAWA lakini mara nyingi tuwe tunaangalia mambo (hizi ziara) kwa mtazamo CHANYA na kujitengenezea fulsa za kupata chochote potential kupitia ziara hizo na sio daily kulalamika kama MAHAYAWANI. utajiri wa china au marekani haunihusu mimi maana hata TZ yetu ina mazuri yake na mabaya yake.

umedhihilisha wewe ni mmoja wa wasiosoma zaidi ya kusubiri habari za TBC na magazeti ya ndani! Liganga ameelezea kwa kwa upana dhana nzima za mataifa makubwa ku-Scrumble Afrika kwa mara nyingine. Unafurahia Rais wako kila kukicha anadandia fastjet. Jiulize, Obama, Xi au Cameroon, kwa mwaka wanasafiri mara ngapi kwenda mataifa mengine? Wenzetu wana mipango ya muda mrefu ya kutuvuna, sisi tunatazama miaka mitano ya uchaguzi. Hatuwezi kujikwamua kwa staili hiyo. Obama akamtembelee Nyanya yake kwanza pale Kogelo siyo kukimbilia uranium Bongo!
 
Tatizo watu hatutaki kuelezwa ukweli!!

Hao jamaa hawana mswalie mtume katika lolote!! Nilimsikilizaq Mebe akiwa anatangaza hiyo ziara, yaani anavyohamasisha watui wachangamkie "deal" za hoteli na usafiri kwa wageni hao utadhani ndo ukombozi wa waTZ!!

TISS na IKULU zimelala tu, badala ya kujihami na uporaji huu toka kwa timu zote iwe Barca na Real M, wao wamelala usingizi wa pono na kuhesabu hilo nalo ni utekelezaji wa ilani zao!!!

Ukweli ni kuwa hatuwahitaji hao manyang'au kustawisha watu wetu!!!
 
Baada ya serikali ya Marekani kupitia balozi wake hapa nchini kutoa sababu za Raisi wa marekani Barack Obama kuitembelea Tanzania.

Nakueleza sababu hizo kuwa ni:


  1. Tanzania kuheshimu utawala bora
  2. " " utawala wa sheria
  3. Demokrasia iliyoko Tanzania
  4. Amani na utulivi ulioko tamnzania
  5. Uhuru wa mtu momjamoja

Baada ya kusema hayo sasa ni wajibu wa serikali ya Tanzania inayoongozwa na chama cha mapinduzi
ccm kuonyesha kwa vitendo kuwa yaliyotamkwa na Serikali ya Marekani niyaukweli na wanayasimamia hayo.

Ninachokiomba au kukipendekeza ni wapiinzani na wao wapatiwe nafasi ya kutete machache na kiongozi huyo wa Taifa la Marekani ili kumhakikishia kuwa yaliyosemwa hapo juu niyaukweli.

Nawasilisha
 
karibuni muendelee kutimiza ndoto yenu:
992948_10201247872948004_226783769_n.jpg
 
Liganga..you said it all and well....

Cha msingi ni kwakuwa china anatutaka....na marekani anatutaka......tuwe kama msichana mrembo...

Tusikilize dili la huku...then la huku....halafu tunawajibu kuwa ngoja tukatulie tutafakari...

Baadae tunacompare na tunacontrast......tunachukua lililo bora au tunaomba muda zaidi kama hakieleweki....

Inahitaji umakini wa hali ya juu na kutokuwa na papara....

Wakati wote tunapaswa tutambue kuwa sisi ndio wenye upper hand...tusiingie kichwa kichwa!
 
Back
Top Bottom