SABABU: Ujio wa Obama na timu ya watu 700


kwa kifupi ni kwamba wewe ni mpiga debe wa wachina, sioni kama unakemea kwa dhati uporaji wa maliasi za afrika kama ulivyolenga, umefikia hatua kutuaminisha haya Nakunukuu
PHP:
Pili mkutano ule haukuwa pale 
Washington kama vile viongozi wengine wanapokuwa wameenda USA kukutana na raisi wa Marekani, 
mkutano huu unafanyika California, eneo lilipendekezwa na Xi na watu wake. Obama na timu yake 
wameitwa kukutana na Xi, na si vinginevyo,
REALLY? kwa nini asingemuita huko china kabisa? mbona ujaweka nukuu ya hiyo maana ulidokeza mwanzo kwamba utaweka marejeo.
Kuna sehemu umegusia kwamba vijana wengi wa kiafrika/Tanzania sio wachunguzi kwamba tunasikiliza kwamba kinachosemwa kwenye media mfano blogs etc etc kwamba hivyo ni vyombo vya propadanga kisha na wewe ukaweka propaganda ya waarabu kupitia ALJAZEERA,!!!!
Mkuu huna moral authority wa assumption uliyotoa maana una bepari mfukoni mwako pia

Naomba urejee kusoma tena maandishi yangu nahisi umepita kwa haraka sana. Hapa chini ni kwa ufupi tu najaribu kukuonesha namna ulivyopotosha au ulivyojipotosha

Mtashangaaa sana lakini, ukweli huwa ni mgumu
kukubalika vile vile kizazi chetu kinatumikishwa sana kiasi mwisho wa siku huwa akina muda wa
kuchakatua matukio na taarifa mbalimbali zaidi ya kutegemea magazeti, televisheni na blogu kuwajuza.
Ni wachache usumbua akili kuunganisha na kutafiti habari

Sijazungumzia vijana au kuponda taarifa za media, bali nazungumzia kizazi chetu na yanayotusibu. Asiyeona na
kutambua kasoro kamwe hawezi kutoa jawabu la tatizo.

Nakushauri upitie tena na tena huu mjadala na tutoe michango endelevu. Tuepuke tuhuma, jazba na malumbano.

Karibu the home of great thinkers!
 

kwa kifupi ni kwamba wewe ni mpiga debe wa wachina, sioni kama unakemea kwa dhati uporaji wa maliasi za afrika kama ulivyolenga, umefikia hatua kutuaminisha haya Nakunukuu
PHP:
Pili mkutano ule haukuwa pale 
Washington kama vile viongozi wengine wanapokuwa wameenda USA kukutana na raisi wa Marekani, 
mkutano huu unafanyika California, eneo lilipendekezwa na Xi na watu wake. Obama na timu yake 
wameitwa kukutana na Xi, na si vinginevyo,
REALLY? kwa nini asingemuita huko china kabisa? mbona ujaweka nukuu ya hiyo maana ulidokeza mwanzo kwamba utaweka marejeo.
Kuna sehemu umegusia kwamba vijana wengi wa kiafrika/Tanzania sio wachunguzi kwamba tunasikiliza kwamba kinachosemwa kwenye media mfano blogs etc etc kwamba hivyo ni vyombo vya propadanga kisha na wewe ukaweka propaganda ya waarabu kupitia ALJAZEERA,!!!!
Mkuu huna moral authority wa assumption uliyotoa maana una bepari mfukoni mwako pia

Kanuni na sheria za nchi ni kuwa lazima unapofunga mikataba na nchi husika basi sheria za nchi iyo ndio zinakuwa zinalinda na kuamua mambo yoyote yanayohusu mkataba husika. Hii ndio huwa sababu moja kubwa viongozi ulazimika kwenda ziara kwenye nchi wanazoingia nazo mikataba kwa misingi ya kuweka wino na kukamilisha hizo taratibu za Mkataba.

Kama utakumbuka mkataba wa Buzwagi ulibebwa na waziri husika hadi London kwa ajili ya kusaini na kwaivo migongano yoyote ya kimkataba na Buzwagi Mines haitakaa itatuliwe na sheria za kitanzania, itahitaji sheria za wiingereza na international arbitration.

Kwa hilo ni vigumu Xi kusaini mikataba na marekani inayofunga mahusiano ya kibiashara na makampuni na taasisi za kimarekani akiwa kwao China. Ukizingati wamarekani ni watu makini na wanaoelewa sheria vyema. Hiyo ni sababu kuu ya kukutania ardhi ya marekani.
 
Naomba urejee kusoma tena maandishi yangu nahisi umepita kwa haraka sana. Hapa chini ni kwa ufupi tu najaribu kukuonesha namna ulivyopotosha au ulivyojipotosha



Sijazungumzia vijana, na bali nazungumzia kizazi chetu na yanayotusibu. Asiyeona na kutambua kasoro kamwe hawezi kutoa jawabu la tatizo.

Nakushauri upitie tena na tena huu mjadala na tutoe michango endelevu. Tuepuke tuhuma, jazba na malumbano.

Karibu the home of great thinkers!
Swali la msingi kuhusu kutegemea media ujajibu, wewe umetoa marejeo kutoka kwenye media (Za waarabu ambao nao wana propaganda zao kwenye hizi game) ndio maana nikakuuliza moral authority ya kutoa hayo maoni umetoa wapi wakati na wawe wanafanya kosa lile lile.

Pia nimekuomba source ya Obama kuitwa California na raisi wa china, na kama raisi wa china ana nguvu kiasi hicho ya nini amejisumbua kwenda hadi USA kisha kumuhita Obama hapo California,

Maoni yangu
MAREKANI sio taifa dogo kama unavyotaka watu wasadiki kwa mujibu wa maandiko yako, china haina uchumi mkubwa kiasi cha kutoa order kwa USA labda in a future lakini sio leo wala kesho, USA bado anashikiria uchumi wa dunia.
Pia umesahau kwamba wachina sio wamiriki wa viwanda na uzalishaji uliopo nchi mwao, wawekezaji wakubwa wa china ni ulaya na USA, wakiondoa viwanda huko china ni mtupu, uchumi wa dunia ya sasa kila mtu anamtegemea mwingine sio kwenye era hizo unazotupeleka hizo ni propaganda.

Tunapo kemea uporaji wa rasilimali tuwe tunakemea kwa haki bila kupotosha wa kupita vita ni hawa https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...als-in-illegal-mining-crackdown-tanzania.html.
mwisho tuwasimamia viongozi wetu wasimamia nchi na waingie mikataba bora, mabilionea wa USA wanaweza itafuna Tanzania bila ujio wa Obama, theory yako hana mashiko kwa kuzingatia ukweli kwamba JK anashinda USA kila asubuhi, USA sio wajinga kumleta raisi wao kwenye uporaji,
Tusidanganyi wananchi kwamba Mataifa makubwa yakitaka kupora maliasi lazima viongozi wao waje, huo suo ukweli na niupotosha, na ileweke kwamba USA wakitaka kufanya hicho unachowatuhumu kwacho sio lazima watumi nguvu hivyo kama unavyotaka tusaidiki,
nawashauri vijana chukuweni furusa zitakazo funguka na sio kupiga majungu, uzalishaji ulaya na usa umepanda watu wanakuja kuwekeza kwenye uzalishaji huko afrika wengine sisi tumekalia majungu, hivi CHINA angepiga majungu kama sisi angefika hapo alipo? vipi kama nao wangeofia uporwaji?
 
Swali la msingi kuhusu kutegemea media ujajibu, wewe umetoa marejeo kutoka kwenye media (Za waarabu ambao nao wana propaganda zao kwenye hizi game) ndio maana nikakuuliza moral authority ya kutoa hayo maoni umetoa wapi wakati na wawe wanafanya kosa lile lile.

Pia nimekuomba source ya Obama kuitwa California na raisi wa china, na kama raisi wa china ana nguvu kiasi hicho ya nini amejisumbua kwenda hadi USA kisha kumuhita Obama hapo California,

Maoni yangu
MAREKANI sio taifa dogo kama unavyotaka watu wasadiki kwa mujibu wa maandiko yako, china haina uchumi mkubwa kiasi cha kutoa order kwa USA labda in a future lakini sio leo wala kesho, USA bado anashikiria uchumi wa dunia.
Pia umesahau kwamba wachina sio wamiriki wa viwanda na uzalishaji uliopo nchi mwao, wawekezaji wakubwa wa china ni ulaya na USA, wakiondoa viwanda huko china ni mtupu, uchumi wa dunia ya sasa kila mtu anamtegemea mwingine sio kwenye era hizo unazotupeleka hizo ni propaganda.

Tunapo kemea uporaji wa rasilimali tuwe tunakemea kwa haki bila kupotosha wa kupita vita ni hawa https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...als-in-illegal-mining-crackdown-tanzania.html.
mwisho tuwasimamia viongozi wetu wasimamia nchi na waingie mikataba bora, mabilionea wa USA wanaweza itafuna Tanzania bila ujio wa Obama, theory yako hana mashiko kwa kuzingatia ukweli kwamba JK anashinda USA kila asubuhi, USA sio wajinga kumleta raisi wao kwenye uporaji,
Tusidanganyi wananchi kwamba Mataifa makubwa yakitaka kupora maliasi lazima viongozi wao waje, huo suo ukweli na niupotosha, na ileweke kwamba USA wakitaka kufanya hicho unachowatuhumu kwacho sio lazima watumi nguvu hivyo kama unavyotaka tusaidiki,
nawashauri vijana chukuweni furusa zitakazo funguka na sio kupiga majungu, uzalishaji ulaya na usa umepanda watu wanakuja kuwekeza kwenye uzalishaji huko afrika wengine sisi tumekalia majungu, hivi CHINA angepiga majungu kama sisi angefika hapo alipo? vipi kama nao wangeofia uporwaji?

Narudia tena kukwambia pitia iyo aya upya na utaelewa vyema, hakuna niliposema media zipingwe au zisiwe chanzo cha habari. Wasi wasi wangu ni kuwa kazi na vibarua vinatukamata sana kiasi hatuwezi unganisha matukio na taarifa tupatazo ili kuwa na uelewa au mtazamo mpana.

Nilieleza fuatilia taarifa za habari za kutoka vyanzo mbalimbali na utajua nani kamuita mwenzie pale California. Kama hukubaliani nalo hilo nafasi na fursa zipo wazi kuthibitisha vinginevyo. Ukumbi upo wazi.

Karibu jamvini na wwewe unaweza kuweka hoja zako ukazichambua nasisi tutakuelewa.
 
Narudia tena kukwambia pitia iyo aya upya na utaelewa vyema, hakuna niliposema media zipingwe au zisiwe chanzo cha habari. Wasi wasi wangu ni kuwa kazi na vibarua vinatukamata sana kiasi hatuwezi unganisha matukio na taarifa tupatazo ili kuwa na uelewa au mtazamo mpana.

Nilieleza fuatilia taarifa za habari za kutoka vyanzo mbalimbali na utajua nani kamuita mwenzie pale California. Kama hukubaliani nalo hilo nafasi na fursa zipo wazi kuthibitisha vinginevyo. Ukumbi upo wazi.

Karibu jamvini na wwewe unaweza kuweka hoja zako ukazichambua nasisi tutakuelewa.

Kama umeweza weka humu video ya aljaazera unashindwa nini kuweka huo uthibitisho mwingine? mimi sijaona hizo taarifa weka hapa ili tuweze jua huo ukweli,
Pia njoo na stats ambazo unasimamia kwamba china imeshika uchumi maana uchumi unaweza tafsiriwa kwa njia nyingi ni vyema kuwe ranking yako inatokana na nini.
Kwa manufaa ya mjadala ni kwamba nimekusoma sana hapo juu na hakuna niporuka na ndio maana nimeweza jua ukweli kwamba wewe ungependa maliasi zetu zichukuliwe na Barcelona na sio Madrid


1.)GDP - per capita (PPP) 2013 country comparisons, ranks, By Rank Hii ni per capita
The most commonly accepted method of determining the wealth of countries and comparing generalized differences in living standards on a whole between nations is to use GDP per capita on a purchasing power parity basis in current international dollars. By that measure it has been estimated that in 2012 the richest nation in the world is Qatar, with a per capita GDP (PPP) of over 106 thousand dollars, while the poorest is the Democratic Republic of Congo, with less than 365 dollars.
http://www.gfmag.com/tools/global-d...-richest-poorest-countries.html#ixzz2Vf4kbcE9
 
Heshima kwenu wale wote mnaotumia muda wenu na
akili zenu kuwajuza wananchi. Ningependa kidogo muelewe
na ntaweka baadhi ya vithibitisho kutoka vyanzoa mbalimbali
nini hasa ni sababu ya safari hii.


KWANZA:
Yapata miaka 3 iliyopita bara la ulaya na America yalikumbwa na mtikisiko wa kiuchumi
na kuporomoka kwa mabenki na makampuni kadhaa. Jambo hili lilichangiwa kwa kiasi kikubwa
na bidhaa za kifedha (Financial products) ambazo ni aina mpya ya wizi na uchotaji wa mabilioni
ya fedha. Matukio haya yaliathiri kwa kiwango kikubwa masoko makubwa ya fedha na miradi mingi
inayotegemea uwekezaji kupitia masoko hayo. Matukio haya yaliwaacha pia wawekezaji wengi wakiwa
hoi na hasara kubwa, pia ilizaa kukosa imani na uwekezaji katika bidhaa makaratasi (yaani zile
zinazoendeshwa kwa speculations na financial models) au zisizo na soko nje ya soko kuu (disposal
market). Wahanga wakubwa wa mtikisiko wa uchumi yaani MABILIONEA kwa sasa wameamua kuelekeza
nguvu zao kununua bidhaa ambazo ukua thamani kila jua lichwapo, katika hilo bidhaa kubwa na ambayo
kihistoria imekuwa ikiongezeka thamani kila siku na kwa kanuni za kikomasi -> DEMAND & SUPPLY
haitakaa iporomoke thamani.


Bidhaa hiyo si kitu kingine bali ni ARDHI, hii ni bidhaa peke duaniani ambayo huwa imebeba bidhaa
nyingi nyingi na zenye thamani kubwa (mfano: madini, wanyama, majengo, akiba kubwa ya maji safi
yaliyochini)Pia tafiti nyingi zimeonesha kuwa kutokana na ongezeko kubwa la watu duniani, inakadiriwa
kuwa ndani ya miaka 20 ijayo ardhi na maji safi vitakuwa ni adimu sana duniani. Mabilionea hawa
wameanza kumiminika Africa, sehemu pekee iliyobaki ulimwengu yenye ardhi nzuri kwa shughuli
nyingi za kimaendeleo pamoja na kilimo. Africa pia inasababu nyingine kuu ya kuvutia hawa
Mabilionea, watu wake wengi ni maskini na viongozi wake wengi wanauchu mkubwa wa pesa.Hapa chini
nimeweka linki ya dokumentari ya Aljazeera ambayo inaongelea uporaji ardhi mkubwa na pia naweka
na video ya taarifa za kiintelijensi za mikakati ya mataifa makubwa:

Uporaji ardhi: Our Man in Sudan - Witness - Al Jazeera English
Intelijensia: imeambatanishwa


PILI:
Obama ni nani??? Watu wengi wameaminishwa Obama ni rais anayeweza leta mabadiliko na atakuwa na
nia njema na Africa kutokana na rangi yake na pia kuwa na mzazi aliyetokea Africa. Hapa ndio watu
wengi na waafrica kwa ujumla waliposhindwa kungamua mikakati mikubwa na ya mbali inayopangwa na hawa
mabilionea wakubwa (Capitalists) wanaotawala dunia. Mtashangaaa sana lakini, ukweli huwa ni mgumu
kukubalika vile vile kizazi chetu kinatumikishwa sana kiasi mwisho wa siku huwa akina muda wa
kuchakatua matukio na taarifa mbalimbali zaidi ya kutegemea magazeti, televisheni na blogu kuwajuza.
Ni wachache usumbua akili kuunganisha na kutafiti habari.

Dunia yetu inaendeshwa na mabilionea wachache na si serikali tunazoaminishwa kuwa zipo kuendesha
nchi zetu. Siasa kama vilivyosekta nyingine nayo iliishabinafsishwa. Obama ni chambo kilichowekwa
kuwezesha maliasili nyingi za kiafrica kupatika kirahisi bila kuhitaji nguvu ya ziada na mikakati
mizito. Je Obama ni mwafrika?? jibu lake lina utata maaana hata cheti chake cha kuzaliwa na taarifa
za mahali alipozaliwa vimejaa taarifa zinazochanganya sana. Cheti chake cha kuzaliwa kinaonesha
kazaliwa hospitali inayoitwa Kapi'olani Maternity & Gynecological Hospital, siku ya kuzaliwa ni
1961 Agosti 4, baba mzazi akiwa na Umri wa Miaka 25, mzaliwa wa nchi ya Kenya.

Lakini historia na kumbukumbu zingine zinaonesha kuwa hospitali hiyo haikuwa inatumia jina hilo
wakati Obama anazaliwa. Mwaka 1961 kulikuwa na hospitali mbili zilizojulikana kama Kapi'olani
Maternity Home na KauiKeolani Children's Hospital zilizokuja kuungana mwaka 1978 na kuanza kuitwa
Kapi'olani Maternity & Gynecological Hospital. Vile vile cheti hiko kinatamka baba mzazi ni raia wa
Kenya, lakini hakukuwa na nchi inayofahamika kama KENYA kabla ya mwaka 1963. Sehemu iyo ya Africa
mashariki ilijulikana kama British East Africa Protectorate. Kumbukumbu pia zinaonesha kuwa Obama
amewahi kuchapisha kitabu kinachohusu maisha yake na baba yake. Kwenye kitabu hicho Obama anamsifu
babayake kwa kujitolea kupigana kwenye vita ya pili ya dunia, WW II. Kwa waliosoma historia
wanatambua kuwa WW II ilikuwa kati ya mwaka 1939 na 1945. Hisabati ya haraka haraka inatuambia kuwa
mtu mwenye umri wa miaka 25 mwaka 1961 atakuwa na umri wa miaka 3 mwaka 1939 na kufikia mwaka 1945
atakuwa ametimiza miaka 9. Je, na ntaomba msaada wa wanajeshi walipigana vita hii (veterani)
watueleze kama na watoto wa miaka 3 walienda vitani kipindi kile au hata wala wa miaka 9 walikuwa
mstari wa mbele pia. Tunatambua kuwa mkoloni aliswaga watu wote waliokuwa na nguvu na kuwapeleka
vitani na kwenye mashamba yao, huku nyuma akiicha wazee, wanawake, wale dhaifu, walemavu na watoto.

Cheti hiko cha kuzaliwa kinamtambulisha mtoto kama ni wa jamii ya African-American wakati miaka
iyo raia wote wa marekani waliokuwa na rangi nyeusi waliitwa na kutambuliwa kama Negroes hadi miaka
ya 1970 mikakati yao ya kudai usawa ilipozaa matunda na kutambuliwa rasmi kama African-American.


TATU:
Wachina wameisha ikamata dunia. Tambueni ya kuwa muhimili wa nguvu za uchumi wa dunia uliishaamia
Asia. Miaka ya nyuma mataifa makubwa kiuchumi yaliungana na kuanzisha G5 baadae ilitanuka na kuwa
G8. Natumaini wote mwaelewa nini maana na makubariano ya wanachama wa G5, kimsingi haina tofauti
sana na yale yaliyojiri pale Berlin 1884 chini ya Bw. Bismarck, dhana kuu ikiwa ni kutoingiliana na
kuharibiana mikakati ya biashara zao ili wote kwa pamoja wafaidi. Waliokuwa mezani miaka ile ya
1884 walikuwa wajerumani, waingereza, wafaransa, wareno n.k Maana hawa ndio waliokuwa na nguvu
kubwa miaka ile, top 5 ya mataifa yenye uchumi mkubwa wakati huo ilikuwa ni iyo.

Kwa mlinganisho, top 5 ya leo ndio iyo G5 na imelazimika kupanuka na kuwa G8 ili kudhibiti hao watatu
wasiwapoke nafasi zao.Baada ya manyanyaso na taabu ya kujitanua, mataifa chipukizi ya Asia yaani
China na India yaliamua kutafuta mkakati wa kujikwamua kwenye makucha ya kibebure ili wapate nafasi
ya kukuza chumi zao kwa spidi kubwa isiyodhibitika na gavana za magharibi. Waliazimia kuungana na
mataifa makubwa kiuchumi na raslimali kutoka kila bara ili kuweza kuwa na msuli mkubwa. Hapo ndipo
walipozikaribisha Afrika ya kusini na Brazil. Pia ili kuweza kuhimili geo-political influence na
military muscle (samahani kwa kiingereza hapo)waliikaribisha Russia, taifa peke duniani nje ya
africa lenye utajiri lukuki wa rasilimali na ambalo linanguvu kubwa kijeshi duniani (zaidi ya Marekani).
Machache hujulikana kuhusu nguvu za kijeshi za Russia kutokana sera yao ya usiri,
na haya tuyajuayo ni kupitia mataifa ya magharibi.

Huu ndio ukawa mwanzao wa muungano wa BRICS (Brazil, Russia, India, China & South Africa) katika
safari ya kuiteka na kuimiliki dunia toka wanyanganyi wa magharibi waliowapora maendeleo na
teknolojia miaka ya 1770. Fanya utafiti kuhusu uwezo wa bara la Asia miaka iyo, nguv ya japan kule
Asia-Pasifiki, pamoja na teknolojia zilizokuwapo pale Forbiden city. China ndio taifa kubwa katika
kila nyanja ndani ya BRICS na hivyo ndio kiranja mkuu. Siku za hivi karibuni wachina wamewasha
indiketa yao na kuanza kuchomoka kwa kasi zaidi ya zile Scania za Marcopolo kule Chalinze-Segera.

Baada tu ya uongozi mpya kushika hatamu ulianza kufanya safari na makubaliano muhimu kibishara na
kiustawi na mataifa ambayo yatawezesha ustawi wao wa haraka, kwa kuanza kufunga mikataba na mataifa
yote yenye utajiri mkubwa (Tanzania, South Africa, Russia, Congo-Brazzaville) wa rasilimali
zinazoitajika kwa kiwango kikubwa China na sasa uongozi huo baada ya kuishapata uhakika wa chakula
(malighafi) chakutosha kulisha viwanda vyake, umeangia katika raundi ya pili ya kuhakikisha inapata
"masoko bila masharti" na hivyo kuanza ziara mabara ya Ulaya na Amerika na kufunga mikataba ya
moja kwa moja (bilateral) na mataifa yenye masoko makubwa (Hungary, Bulgaria, Turkey, Belgium,
Romania, German, Mexico, USA etc). Mojawapo ya safari muhimu kuliko zote ilikuwa ni ile ya nchi ya
Switzerland, ambayo inafahamika kama muhimili mkubwa wa masuala ya biashara kubwa za kifedha na
mihamala (transactions)ya rasilimali kama(mafuta & heavy metals) na commodities kama (ngano,
mchele, pamba, chai, kahawa). China imefanikiwa kuingia mikataba ya moja kwa moja na nchi hii na
kufungua ukurasa mpya wa mahusiano pamoja na kubadilisha mizani ya mtiririko wa bishara duania.

Lengo kuu la china ni kuitafuta sarafu mbadala kwenye biashara za kimataifa ili kuondokana na dola
kwenye mzunguko wa biashara za kimataifa. Kwa muda mrefu imekuwa ni agenda ya BRICS kuanzishwa
sarafu mpya ya kibiashara na kuachana na zile za magharibi (Euro & Dollar) ambazo ni dhana nyingine
za mfumo wa kibeberu. Naomba ujifunze kuhusu athari za sarafu za kigeni katika biashara yoyote.
Kwa ufupi china imefanikiwa kukubaliana na switzerland kuruhus kutumika kwa sarafu ya china katika
biashara kubwa moja kwa mojabila kubadilishwa na sarafu yoyote.


HITIMISHO:
Kwa waliomudu kutazama taarifa ya habari juu ya mkutano wa Obama na Xi, utaona jinsi Obama
alivyojawa na wasiwasi hata sauti yake ilikuwa kama inatetemeka. Pili mkutano ule haukuwa pale
Washington kama vile viongozi wengine wanapokuwa wameenda USA kukutana na raisi wa Marekani,
mkutano huu unafanyika California, eneo lilipendekezwa na Xi na watu wake. Obama na timu yake
wameitwa kukutana na Xi, na si vinginevyo, Tazama Aljazeera na utaona hata maelezo ya habari hiyo
leo yanaandikwa tofauti. Nimeambatanisha screenshot. China sasa ndio SUPER POWER!!!
View attachment 96829

TAFAKARI:
Kwa kutumia mfano wa timu za mpira (wengi wetu ni wadau)
China = Barcelona (Young, inteligent players, financially sound and ambitious)
USA = Real Madrid (Ageing giant, talented players, financially fit, has lost bearings)
Tanzania = Taifa Stars (Rookie, money-hungry players,ambitious coach -> JK and highly hopeful fans)

Je, tutaweza kupata ushind au draw na timu hizi mbili ambazo zimeisha omba mechi na sisi??
Je, ile mechi tuliocheza na Barcelona sirini, matokeo yake yalikuwaje??
Je, huu mpambano wetu na Real apo Julai 1, utaishaje???
Je, tumejiandaaje na mpambano huo na Real??


Nafungua ukurasa mpana wa fikra, mjadala na kukaribisha maoni endelevu.

Hayo Maandishi yooote ni sababu ya OBAMA kuja na Watu 700? Well kweli haujui ZIARA za RAIS wa MAREKANI anapokwenda NCHI MBALIMBALI DUNIANI na hilo kundi ni DOGO sana ukilinganisha na lile lililoenda GHANA?
 
Hayo Maandishi yooote ni sababu ya OBAMA kuja na Watu 700? Well kweli haujui ZIARA za RAIS wa MAREKANI anapokwenda NCHI MBALIMBALI DUNIANI na hilo kundi ni DOGO sana ukilinganisha na lile lililoenda GHANA?

Mkuu Liganga ameshajiaminisha kwamba kizazi cha sasa kiko busy hivyo anaweza sema lolote na wasichunguzi, nimechimba sijaona sehemu ambapo Obama ameamlishwa na raisi wa china kukutana California ila ninachoona ni kwamba kulikuwa na summit ya siku mbili hapo mahali,
Yaani jamaa anataka tanya big deal hata mahali walipokutana ili kukuza hoja yake ya kutosha kwamba USA wakitaka rasilimali zetu lazima waje na kundi la watu kuzichukua, ndio mfumo wa USA huo katika kupora maliasili? ule wa kutengeneza Makampuni wanayomiliki ndani kwa ndani ambao ni silence killer wameuhacha lini?
huu ni upotosha mkubwa sana unaofanywa na vijana wa dot.com kesi ya kuporwa na ziara ni vitu viwili tofauti USA sio wajinga hivyo
 
Last edited by a moderator:
Narudia tena kukwambia pitia iyo aya upya na utaelewa vyema, hakuna niliposema media zipingwe au zisiwe chanzo cha habari. Wasi wasi wangu ni kuwa kazi na vibarua vinatukamata sana kiasi hatuwezi unganisha matukio na taarifa tupatazo ili kuwa na uelewa au mtazamo mpana.

Nilieleza fuatilia taarifa za habari za kutoka vyanzo mbalimbali na utajua nani kamuita mwenzie pale California. Kama hukubaliani nalo hilo nafasi na fursa zipo wazi kuthibitisha vinginevyo. Ukumbi upo wazi.

Karibu jamvini na wwewe unaweza kuweka hoja zako ukazichambua nasisi tutakuelewa.

Kuhusu hoja yako ya california naomba tafsiri ya haya maneno kutoka BBC nanukuu
[h=1]''Chinese leader Xi Jinping joins Obama for summit '' link hiyo BBC News - Chinese leader Xi Jinping joins Obama for summit[/h]
 
Suddenly it happened
Tanzania kamekuwa mwali
kanatafutwa kwa udi na uvumba
na ma sugar daddy wakubwa wa dunia
Ukiherehere mwingi mwanangu
utabakwa nakupewa mimba utotoni.

Silly, its the Oil and trillion cubic feet Gas.
 
Hayo Maandishi yooote ni sababu ya OBAMA kuja na Watu 700? Well kweli haujui ZIARA za RAIS wa MAREKANI anapokwenda NCHI MBALIMBALI DUNIANI na hilo kundi ni DOGO sana ukilinganisha na lile lililoenda GHANA?

Jamani tujifunze kufikiri, jamaa kaandika mambo mengi mno!....likiwemo na hili
"TAFAKARI:
Kwa kutumia mfano wa timu za mpira (wengi wetu ni wadau)
China = Barcelona (Young, inteligent players, financially sound and ambitious)
USA = Real Madrid (Ageing giant, talented players, financially fit, has lost bearings)
Tanzania = Taifa Stars (Rookie, money-hungry players,ambitious coach -> JK and highly hopeful fans)
"

Ukweli ni kwamba lazima tuwe na mashaka, Obama kuja nchini na timu yake "ikiwemo ya wataalamu wa akili za viongozi wa kiafrika" eti kuja kuingia mikataba nasisi!! Wenye uchungu na nchi yetu lazima tuwe na wasiwasi, tena tunatetemeka sana!!
 
Kanuni na sheria za nchi ni kuwa lazima unapofunga mikataba na nchi husika basi sheria za nchi iyo ndio zinakuwa zinalinda na kuamua mambo yoyote yanayohusu mkataba husika. Hii ndio huwa sababu moja kubwa viongozi ulazimika kwenda ziara kwenye nchi wanazoingia nazo mikataba kwa misingi ya kuweka wino na kukamilisha hizo taratibu za Mkataba.

Kama utakumbuka mkataba wa Buzwagi ulibebwa na waziri husika hadi London kwa ajili ya kusaini na kwaivo migongano yoyote ya kimkataba na Buzwagi Mines haitakaa itatuliwe na sheria za kitanzania, itahitaji sheria za wiingereza na international arbitration.

Kwa hilo ni vigumu Xi kusaini mikataba na marekani inayofunga mahusiano ya kibiashara na makampuni na taasisi za kimarekani akiwa kwao China. Ukizingati wamarekani ni watu makini na wanaoelewa sheria vyema. Hiyo ni sababu kuu ya kukutania ardhi ya marekani.

Mkuu hivi vitu vinasikitisha sana, ina maana viongozi wetu kwetu kweli hawahisi hata kidigo hatari ya kuiuza nchi!!
Tufanyeje?
 
Tunatatizo kubwa kama taifa, nalo ni kusimamia na kuheshim taratibu na miiko. Baada ya uhuru tulianzisha viwanda zaidi ya 340 na vyote vilikuwa ni vinatumia malighafi ya ndani kwa asilimia zaid ya 50%. Kama vile vya nguo, ngozi, kusindika kahawa na chai. Hii ilikuwa ni hatua kubwa kuelekea mbele. Nakumbuka tulimudu kununu meli kadhaa kutoa huduma baharini na kwenye maziwa. Tuliiboresha bandari ya Dar kuwa na teknolojia ya kisasa kwa wakati huo, kuanzia kwenye tugs na gantry cranes.

Vile vile tuliwekeza kwenye uwanja wa kisasa wa ndege pale terminal II. Bado naamini tulikuwa na mwanzo mzurim tulijenga maofisi ya ghorofa kwa wizara mbalimbali na mengineyo. Hizi zote zilikuwa ni peasa za ndani. Wakulima nao walikazana na waliona matunda ya bidiii yao, walivuna pamba, kahawa na chai kwa wingi. Nakumbuka mkulima mzalendo wa pamba na kahawa walimuhudu kununua malori mapya ya bedford na trekta. Leo sijui kama kuna mkulima mzalendo wa mazao haya anayemudu kununua hata fuso used achilia Scania. Mambo haya yaliwezekana kutokana na usimamizi na mipango.

Kama umekiri hapo kwenye red! ni wazi wachina na watu weupe bado wataendelea kuja na kufanya watakalo kwa manufaa yao.Vi nchi vidogo vya asia ya kusini (Singapore,malaysia, indonesia n.k) vilikuwa maskini wa kutupwa leo hii ni habari zingine.Tatizo ni hii ngozi yetu tuu? au akili zetu?
 
Jamani tujifunze kufikiri, jamaa kaandika mambo mengi mno!....likiwemo na hili
"TAFAKARI:
Kwa kutumia mfano wa timu za mpira (wengi wetu ni wadau)
China = Barcelona (Young, inteligent players, financially sound and ambitious)
USA = Real Madrid (Ageing giant, talented players, financially fit, has lost bearings)
Tanzania = Taifa Stars (Rookie, money-hungry players,ambitious coach -> JK and highly hopeful fans)
"

Ukweli ni kwamba lazima tuwe na mashaka, Obama kuja nchini na timu yake "ikiwemo ya wataalamu wa akili za viongozi wa kiafrika" eti kuja kuingia mikataba nasisi!! Wenye uchungu na nchi yetu lazima tuwe na wasiwasi, tena tunatetemeka sana!!

Hapana hata hawapandi AIR FORCE ONE... ni BUSINESS PEOPLE ni watu wanaotaka kuestablish business TANZANIA na sio kuwa yeye ndio anayewaleta ni KATIBA ya NCHI yao ndio inavyosema... na wengi usishangae ukakuta ni REPUBLICANS than DEMOCRATS...

Sio yeye anayepanga watu wa kuja nae na hao ni Wachache GHANA walikuwa 900 - Na anakwenda SOUTH AFRICA inaweza wakawa 2,000 sababu alipokwenda INDIA ilikuwa na idadi ya watu zaidi ya 2,000 sio yeye anapanga ni OFISI zinazohusika ndizo zinapanga UCHACHE wa watu ndio UCHACHE wa Mawasiliano...

SIO SISI Rais wetu Alipokwenda JAPAN na SINGAPORE hadi wapiga PICHA alibeba Marafiki zake kina ISSA MICHUZI sasa hapo Maendeleo hakuna... nani atamuuliza swali la kimaendeleo zaidi ya kumchekea na kuomba the next trip PerDem???

***Tuache hayo Mawazo ya kutoelimika WATAALAMU wa AKILI watafanyaje kwa TRIP a siku 2? Hauoni YOU DON'T Make any sense??? sasa watu ambao hawaelewi ukianza kuwatangazia UPUUZI huo unouongelea Wanaanza kufanya MACHAFUKO kuwa OBAMA anakuja na wataalamu wa kumchunguza RAIS wetu AKILI na sio KWELI

Una uhakika huo??? Watu kama NYINYI MNAPASA Muwekwe mbali na UMATI au MKUSANYIKO wa watu kwasababu Mnaweza kuropoka habari fulani na mkapata washabiki kwasababu tu ya CHUKI...

WEWE NI MTU WA KUOGOPA KWELI... Ina Maana Maisha yako yote Haujatoka Nje ya NCHI? INASIKITISHA KWELI...

OBAMA ana DAMU ya AFRICA una Wasiwasi nae; MCHINA amekuja haujasema chochote kwanini? au Unawaamini wachina zaidi???
 
Suluhu ya haya yote ni AFRIKA kuungana na kuwa nchi 1. Je unadhani hili linaweza kutokea?

Wakoloni wetu walipanga kurejea tena Africa, lakini sio kwa kasi ila kwa utaratibu ambao hatutastuka kuwa wanarudi kututawala. Kwa makadirio yao na jinsi wanavyotuelewa walijua kuwa kamwe hatutaweza kujikomboa na tutafungua milango na kuwakaribisha tena.

Bahati mbaya katika nadharia ya kiuchumi hawakutaraji injini ya Jiefang(China)ingekuwa na kasi, waliiona ni dhaifu ukilinganisha na injini ya Rolly Royce (England), Ferarri(Italy),Benz(German), Toyota(Japan) na Ford(Marekani). Chumi za mataifa haya ziliisha paa zamani sana.

Pia ilikuwa haijawahi kutokea na haikutarajiwa taifa lililowahi kutawaliwa (koloni) likaweza kukua kiuchumi na kulipita taifa lilokuwa na makoloni. China ni nchi pekee iliyowahi kutawaliwa na sasa ni taifa kubwa kiuchumi. Wajapani waliitawala china kwa muda mrefu mno.
 
Suddenly it happened
Tanzania kamekuwa mwali
kanatafutwa kwa udi na uvumba
na ma sugar daddy wakubwa wa dunia
Ukiherehere mwingi mwanangu
utabakwa nakupewa mimba utotoni.

Silly, its the Oil and trillion cubic feet Gas.
"The good news? U.S. President Barack Obama is making his second trip to Africa, the continent of his father's birth. The ummm… ‘other' news? He's not coming to Kenya. What's that? Yes,other news. Not bad news thanks, we're Kenyans. We don't really care whether he comes here or not (sniff). We don't need the West. We have other trading partners… like China. And have you already forgotten what we did to Botswana? Leave us alone with our Uhurus and our Rutos, Kenyans know what's best for Kenya…"
The paragraph above summarizes Kenyans' reaction to the news that Air Force One will not be touching down at Jomo Kenyatta International Airport during President Obama's upcoming trip to Africa. The President's trip is scheduled for June 26[SUP]th[/SUP] 2013 to July 3[SUP]rd[/SUP] 2013 and will take in Senegal, Tanzania and South Africa. Undoubtedly, Obama's avoidance of his father's land is a snub – the second such snub if we count his trip to Ghana in 2009. What seems to rankle most is that Obama felt it wise to accord our neighbours to the South, Tanzania, a State visit. Why would he do this? If we dig a little deeper, we can start to understand (in particular) why Tanzania.
It may surprise most Kenyans to know that foreign direct investment inflows (FDI inflows) to Tanzania and Uganda have exceeded FDIs coming in to Kenya for most of the last decade. The table below shows FDI inflows to the three countries from 2001-2010 (figures in USD):
Year
Kenya
Tanzania
Uganda

2001
5,302,623
388,800,000
151,496,100

2002
20,202,580
396,244,800
184,648,100

2003
79,662,930
364,258,900
202,192,600

2004
41,647,830
226,732,400
295,416,500

2005
11,524,460
935,520,600
379,808,400

2006
26,717,030
403,039,000
644,262,500

2007
693,011,400
581,511,800
792,305,800

2008
51,819,060
400,047,200
728,860,900

2009
70,269,790
414,544,600
788,694,300

2010
184,215,300
433,441,900
817,178,700
Total 1,184,373,003 4,544,141,200 4,984,863,900


Source: http://www.indexmundi.com
This table is a sobering read. It shows that Tanzania and Uganda have both attracted about 4 times the foreign investment that Kenya did during the 2000s. In other words, because of Tanzania's natural gas, Uganda's oil, and both nations' relative stability, for every 1 million dollars foreign investors have invested in Kenya, the same investors have invested another 8 million dollars in Uganda and Tanzania, shared roughly equally. Although the fact that Kenya has now discovered oil deposits may change the broad outlook of this table over the course of the current decade, there is still cause for concern about these figures. And if we do have oil, shouldn't that be enough to make the US/China fall over themselves to visit us?
The second point is this: remember the Chinese we said we'd trade with instead of the West? Well, China's (new) President Xi recently went on a state visit that took in Russia, the Republic of Congo (Congo-Brazzaville), and South Africa. Oh, and Tanzania. Yes, China's (new) President Xialso visited Tanzania recently. While it is true that socialist Tanzania has a long history of ties with China, it is still instructive that President Xi paid Dar-es-Salaam a visit; President Obama actually appears to be playing catch-up to the Chinese in this regard.
Thirdly, those selfsame Chinese recently pledged to help build a port at Bagamoyo, northwest of Dar, that'll make Mombasa look like a small puddle. This week's article in the East African on the matter states that the Bagamoyo port is set to cost USD 11 billion (nearly one trillion shillings). In tandem with this, Tanzania is revamping her rail network as well. If we are not careful, we ourselves will be importing and exporting via Tanzania before long.
The nation of Kenya has lost crown after crown economically speaking. We were on a par with Singapore and South Korea at independence. We've let them go. Fifty years later, our last remaining crown is "East Africa's largest economy". What are we doing to retain this status? Not much, it would seem. Here we are playing tribal games and thumbing our noses at the world by electing questionable "watu wetu", and yet it is merely a matter of time before we lose our final claim to fame: that of "economic capital of East Africa". Already Rwandan importers are saying that it takes them 3 days to import via Dar es Salaam, and 7 days to import via Mombasa. In all likelihood, our kids may study Economics knowing East Africa's largest economy to be Tanzania.
President Obama's snub should be waking us up to these realities. But much as we did during the Botswana incident, and instead of asking ourselves why the Presidents of the world's two largest economies are queueing up to visit our southern neighbours (a nation we have grown up labelling an "economic backwater"), we're busy saying "Kwani Obama ni nani? (Who is Obama anyway?)". I urge us to realize that this is bigger than Uhuru. This is bigger than Ruto. This is bigger than Kogelo and Mama Sarah and serkal. It's not a joke folks, this is about our land, our nation, and where we all are headed.
 
Biashara ni kuuziana na kununuliana kama hataki basi chukueni hiyo gas yenu mkaoge.
 
Back
Top Bottom