sababu kumi za kupenda viroba

sababu kumi za kupenda viroba

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,752
Reaction score
830,879
1: Bei poa
2:kuamsha popo fasta
3: lock inatoka maramoja
4😛ortable
:hupatikana popote
5:huleta appetite
:7:usingizi murua
8:wazamiaji wachache
9:huchelewi hm
10:kukata mafuta tumboni
 
Lol kumbeee

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Kuna Jamaa kwa Office yeye kila siku lazima anywe Akija Mornie Kanywa au kaamka navyo saa nne hutoroka na kwenda kuvinywa basi taabu tu kwa Office anatoa harufu kali na husinzia kila wakati na ukimuamsha anaenda kunywa maji na kwa sasa husingizia Tumbo linamuuma kidogo tu anasinzia officean hashauriki hadi watu wamemuacha ni kama kupiga mbuzi gitaa..

Nadhani viroba vimekuwa kama Madawa ya Kulevya ukivianza hutoviacha..... vichunguzwe hivi watu wanakuwa hawana raha wala uwezo wa kufanya kazi hadi wanywe! na kuzimua
 
Kuna Jamaa kwa Office yeye kila siku lazima anywe Akija Mornie Kanywa au kaamka navyo saa nne hutoroka na kwenda kuvinywa basi taabu tu kwa Office anatoa harufu kali na husinzia kila wakati na ukimuamsha anaenda kunywa maji na kwa sasa husingizia Tumbo linamuuma kidogo tu anasinzia officean hashauriki hadi watu wamemuacha ni kama kupiga mbuzi gitaa..

Nadhani viroba vimekuwa kama Madawa ya Kulevya ukivianza hutoviacha..... vichunguzwe hivi watu wanakuwa hawana raha wala uwezo wa kufanya kazi hadi wanywe! na kuzimua

Huyo amesongeka...! Ana frustration za kufa mtu ukiona hivyo
 
Huyo amesongeka...! Ana frustration za kufa mtu ukiona hivyo
Hapana arosto ya pombe inamsumbua nahisi hicho kinywaji kinachanganywa na madawa ya kulevya... jamaa kama hajanywa anakuwa kama mgonjwa sana
 
inakufanya uwe wacko jako hata kama hujui kucheza mziki
 
Kama unademu wa kwenda kumkomoa viroba ndio vyenyewe
 
Swadakta! Nipo njiani naelekea Ikwiriri

. Tumefika hapa Mwanambaya nimevipata! Na sababu ingine; HAUSUMBUI WENZAKO KWA MIKOJO!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom