Sababu hii inanifanya nishindwe kumshawishi madogo zangu wajifunze programming/Coding

Sa 7 mchana

JF-Expert Member
Dec 30, 2018
4,975
9,721
Habari zenu wana tech

Wakuu naomba niende Moja kwa Moja kwenye mada, kiukweli ninapata wakati mgumu kuwa encourage wadogo zangu wajifunze programming/ coding.

Muda wanao wakutosha kujifunza na resources naweza kuwapatia, ila changamoto nikua nakosa Vivid example za kazi ambazo zipo au zilizofanywa na wabongo. Hapo tu hata mimi mwenyewe nakosa imani juu ya tasnia hii ya programming /coding.

Nadiliki kusema kuwa hata mimi miaka ya nyuma nilijaribu kujifunza ila niliishie Html na Css, I did only web development.

Baada ya hapo nikakosa motive ya kuendelea coz after web development nikawa sioni projects ambazo zipo more advanced na zinatumika ambazo zimetengenezwa nawabongo.

Basi kama kunaproject unayoifahamu iliyofanya na wabongo au mbongo ambayo inatumika naomba ushee nasi.

Ili tuweze kuencourage madogo zetu wajifunze hii kitu.

Nawasilisha.
 
sina muda wakutosha wakuanza kufanya jambo jipya ni deep . Nakomaa na vitu vinavyo lipa bills.
Actually, programming ni field inayolipa sana. Wengi wanaishia njiani kwa sababu inahitaji muda wa kutosha na focus isiyoyumba kila siku--kiasi kwamba unaweza kujisahau uko wapi kwa muda fulani. Concentration inatakiwa iwe 200%!

Then kuna issue ya competence. Hii inategemeana na exposure na uwezo wa kuwa mbunifu. Kuna mambo mengi sana ya kufanya kuhusiana na programming--mengi sana. Hasa ukizingatia sasa ulimwengu unaenda ^kijijitali^ zaidi.
 
Habari zenu wana tech

Wakuu naomba niende Moja kwa Moja kwenye mada, kiukweli ninapata wakati mgumu kuwa encourage wadogo zangu wajifunze programming/ coding. Muda wanao wakutosha kujifunza na resources naweza kuwapatia, ila changamoto nikua nakosa Vivid example za kazi ambazo zipo au zilizofanywa na wabongo. Hapo tu hata mimi mwenyewe nakosa imani juu ya tasnia hii ya programming /coding.

Nadiliki kusema kuwa hata mimi miaka ya nyuma nilijaribu kujifunza ila niliishie Html na Css, I did only web development.

Baada ya hapo nikakosa motive ya kuendelea coz after web development nikawa sioni projects ambazo zipo more advanced na zinatumika ambazo zimetengenezwa nawabongo.
Basi kama kunaproject unayoifahamu iliyofanya na wabongo au mbongo ambayo inatumika naomba ushee nasi.
Ili tuweze kuencourage madogo zetu wajifunze hii kitu.

Nawasilisha.
Tembelea msart codes siku moja.
 
Habari zenu wana tech

Wakuu naomba niende Moja kwa Moja kwenye mada, kiukweli ninapata wakati mgumu kuwa encourage wadogo zangu wajifunze programming/ coding. Muda wanao wakutosha kujifunza na resources naweza kuwapatia, ila changamoto nikua nakosa Vivid example za kazi ambazo zipo au zilizofanywa na wabongo. Hapo tu hata mimi mwenyewe nakosa imani juu ya tasnia hii ya programming /coding.

Nadiliki kusema kuwa hata mimi miaka ya nyuma nilijaribu kujifunza ila niliishie Html na Css, I did only web development.

Baada ya hapo nikakosa motive ya kuendelea coz after web development nikawa sioni projects ambazo zipo more advanced na zinatumika ambazo zimetengenezwa nawabongo.
Basi kama kunaproject unayoifahamu iliyofanya na wabongo au mbongo ambayo inatumika naomba ushee nasi.
Ili tuweze kuencourage madogo zetu wajifunze hii kitu. Julio

Nawasilisha.
Kwa nini lazima iwe program ya mbongo? Mifano mikubwa na mizuri ni ya YouTube founders, Google founders, Facebook founders, Microsoft.. yote ni from programming. Kama hio sio motivation tosha.. mie sijui. Sio lazima uone mbongo ametoka, ndio uamini italipa. Wadogo zako wanaweza kuandaliwa kuwa visionaries na waanzilishi wa kitu kikubwa. Tuache tabia ya kuiga, tuwe wabunifu na waanzilishi
 
Programming ni ngumu sana kujifunza kwa vijana wa nchi kama Tanzania na huo ndiyo ukweli wengi hawausemi. Wengi tumeijua Programming muda ukiwa umeshaenda sana, kwa Tanzania kijana wa kuanzia umri wa miaka 20 kuanza kujifunza kitu kama Programming kwangu ni amechelewa sana kwasababu kwa mfumo wa maisha yetu hapo viajana wengi ndiyo huwa chuo na kuanza kujitegemea sasa kama kijana kuwekeza muda kwenye kitu ambacho faida yake unaiona baada ya miaka mitano inakuwa ngumu huku ukiwa tayari unaanza kupata majukumu ya kuendesha maisha yako na familia inayokutegemea. Programming haihitaji muda tu inahitaji na investment ya pesa kuanzia kununua vifaa na kulipia course zitakazosaidia kukufanya uwe nondo. Huwezi kusoma Programming kama huna pesa inayolipa bills zako muda wewe unasoma.

Lastly, siyo kweli kuwa hakuna projects za wabongo zinazofaa kuonyesha kama mifano. Zipo projects nyingi za Watanzania zinafanya vizuri sana, naamini Programmers nyuma ya hizo projects walianza kujifunza mapema wakiwa hawana majukumu au kipindi wanajifunza tayari walikuwa financially stable.
 
Programming ni ngumu sana kujifunza kwa vijana wa nchi kama Tanzania na huo ndiyo ukweli wengi hawausemi. Wengi tumeijua Programming muda ukiwa umeshaenda sana, kwa Tanzania kijana wa kuanzia umri wa miaka 20 kuanza kujifunza kitu kama Programming kwangu ni amechelewa sana kwasababu kwa mfumo wa maisha yetu hapo viajana wengi ndiyo huwa chuo na kuanza kujitegemea sasa kama kijana kuwekeza muda kwenye kitu ambacho faida yake unaiona baada ya miaka mitano inakuwa ngumu huku ukiwa tayari unaanza kupata majukumu ya kuendesha maisha yako na familia inayokutegemea. Programming haihitaji muda tu inahitaji na investment ya pesa kuanzia kununua vifaa na kulipia course zitakazosaidia kukufanya uwe nondo. Huwezi kusoma Programming kama huna pesa inayolipa bills zako muda wewe unasoma.

Lastly, siyo kweli kuwa hakuna projects za wabongo zinazofaa kuonyesha kama mifano. Zipo projects nyingi za Watanzania zinafanya vizuri sana, naamini Programmers nyuma ya hizo projects walianza kujifunza mapema wakiwa hawana majukumu au kipindi wanajifunza tayari walikuwa financially stable.
Uko sahihi.. Ukiangalia Bill Gates alianza akiwa na miaka 13, Zuckerberg alianza kujifunza akiwa na miaka 10 hivi. Wanaanza wakiwa watoto. Na wazazi wana resources. Tanzania mtu hadi chuo wazazi hawana hata uwezo wa kumnunulia laptop. Kazi ipo. Na wazazi wa Zuck na Gates walitafuta private instructors wakawafundisha. Hivyo hivyo mambo ya sports, wazazi USA wanatafuta private coach na trainer mtoto anaivishwa akiwa mdogo ndio baadaye anakuwa mchezaji bora NBA nk. Kweli kizuri kinataka gharama
 
Kwa nini lazima iwe program ya mbongo? Mifano mikubwa na mizuri ni ya YouTube founders, Google founders, Facebook founders, Microsoft.. yote ni from programming. Kama hio sio motivation tosha.. mie sijui. Sio lazima uone mbongo ametoka, ndio uamini italipa. Wadogo zako wanaweza kuandaliwa kuwa visionaries na waanzilishi wa kitu kikubwa. Tuache tabia ya kuiga, tuwe wabunifu na waanzilishi
vizuri sana Mkuu, ila kuiga ni muhimu.
Nimewahi soma kitabu kimoja cha Zero to One by Peter thiel na kuangalia Documentary moja ya mabingwa wa C&P( copy and paste) China.
Mubashara wao wenyewe ( wa China) katika documentary hiyo wanasadiki kuwa kuiga ni kujifunza.
Mafanikio yao ni dhahili, hakuna mtu alie na akili timamu asiejua.
 
vizuri sana Mkuu, ila kuiga ni muhimu.
Nimewahi soma kitabu kimoja cha Zero to One by Peter thiel na kuangalia Documentary moja ya mabingwa wa C&P( copy and paste) China.
Mubashara wao wenyewe ( wa China) katika documentary hiyo wanasadiki kuwa kuiga ni kujifunza.
Kwa Tz tumezidi. Na mtu akishaanzisha biashara tu moja akatoboa, kila mtu anataka aifanye hio hio. Mondi katoka kimuziki, sasa kila kijana anataka afanye muziki pasipo kujua Mondi alipitia changamoto nzito sana na sio hivi hivi. Kuiga huko ni kubaya sana na kunaondoa motivation, creativity, na njozi kubwa ambazo wengi wangeweza fikia. Manake, mtu inatakiwa afanye kitu, akipende, na akipambanie.. na sio anakipambania sababu flani ametoboa kupitia hicho
 
Uko sahihi.. Ukiangalia Bill Gates alianza akiwa na miaka 13, Zuckerberg alianza kujifunza akiwa na miaka 10 hivi. Wanaanza wakiwa watoto. Na wazazi wana resources. Tanzania mtu hadi chuo wazazi hawana hata uwezo wa kumnunulia laptop. Kazi ipo. Na wazazi wa Zuck na Gates walitafuta private instructors wakawafundisha. Hivyo hivyo mambo ya sports, wazazi USA wanatafuta private coach na trainer mtoto anaivishwa akiwa mdogo ndio baadaye anakuwa mchezaji bora NBA nk. Kweli kizuri kinataka gharama
Actual ndio kitu nataka nikifanye kwa dogo, nataka kumueka aware mapema iliaanze kupractice angali mapema. Mana sie utotomi mwetu hatukua na access na computers and other gadgets ukilinganisha na sasa.
 
Smart code nimewacheki wapi njema pia.
Ila zaidi nimeona wanadeal na advertising kama sikosei au Pengine nimewacheki kwa wasi wasi.
Wanafanya na app development na sometimes hata project za nje. Kampuni imegawanyika sehemu nadhani tatu, kuna adv, kuna app development na nyingine nimesahau.
Kuna project moja wanafanya in partnership na voda sema sitoitaja ni nzuri sana
 
Wanafanya na app development na sometimes hata project za nje. Kampuni imegawanyika sehemu nadhani tatu, kuna adv, kuna app development na nyingine nimesahau.
Kuna project moja wanafanya in partnership na voda sema sitoitaja ni nzuri sana
CEO Edwin bruno, nimepata kumcheki.
 
Back
Top Bottom