Sababu 8 za Tanzania kutengwa EAC hizi hapa

Sababu 8 za Tanzania kutengwa EAC hizi hapa

Civilian Coin

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2012
Posts
2,305
Reaction score
4,399
KWANINI TANZANIA ITENGWE EAC (UPANDE WA MASWALA YA KISIASA)
(mtazamo chanya).

1.Kumbukeni kuwa wenzetu wanataka ardhi ya Tanzania na sisi hatuko tayari, nakumbuka waziri sitta alipiga kelele sana juu ya hili.

2. Ujio wa Rais wa marekani nchini kwetu Mh. Obama na safu yake huenda imewachukiza wakenya na wenzake waliojitenga kwa kuona Rais huyo kutokufika katika nchi hizo na ilihali Obama kwao asilia ni Kenya, hapa lazima wivu uwepo hata ningekuwa mimi.

3.Endapo Tanganyika na Zanzibar zikajitenga, utabiri wangu, muungano huo mpya wa EAC utaiwahi Zanzibar ili ijiunge nao na Tanganyika ibaki inaelea kwa kukomolewa. Tutafakarini sana tunapozungumzia muungano wetu, tuhakikishe hauvunjiki.

4.Operesheni kimbunga ya wahamiaji haramu huenda pia itakuwa imewachukiza sana maana kuna wananchi wao pia.

5.Tanzania haijawahi kuingia kwenye machafuko makubwa ya kisiasa kama hizo nchi, huenda wanatamani kuona watanzania tunaonja radha hiyo.

6.Huenda ukawa ni mkakati wa kisiasa kuwafanya Wananchi kuwachukia viongozi wao hasa kipindi hiki cha kutafuta Katiba mpya.

7.Huenda mpango wao wa kujitoa ICC ukishirikisha Tanzania hautafanikiwa kwani huenda watanzania watakataaa.

8.FIKRA POTOFU.

Mungu Ibariki Afrika, Mungu Ibariki Tanzania mwl. KISANDU
 
Lakini sababu kubwa ni kuwa rais wetu hana vision yenye kunuia kuleta maendeleo bali kufanya mambo kiswahili swahili na kijanjakijanja. Political ideology ya viongozi wa tanzania sio productive kwa maendeleo. Wanaobisha waseme nitawaletea facts zaidi.

Ngumu kumeza lakini dawa kwahiyo tukubali ukweli
 
Tanzania kama nchi huru na yenye resource za kila aina, haina haja ya kufungamana na hao wahaini.
Na hii inaweza kua changamoto pia kwetu kama nchi, kupitia hawa tunaweza kujifunza kutengeza uchumi usio fungamana yani uchumi usiotegemea nchi nyingine ili uweze kukua.. hata kama Rwanda akisema hapitishi mizigo ila uchumi wetu uendelee kusonga na kua imara.. Nchi za kufanya nazo biashara ni nyingi na zina tuhitaji.
 
Tanzania haina sababu yoyote ya kuwako EAC ,ila wao ndo watanufaika na Tanzania,its time now to withdraw from EAC,the we consolidate from SADC ,moja ya sababu za economic intergration ni exchange of commodities,market ,services,technology ,etc etc sasa katika nchi za EAC(yani Rwanda,UG na Kenye) wana kitu gani ambacho sisi wenyewe tukijipanga hatuwezi kupata?jibu ni NO!!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Naungana na wewe Deo kuhusu hayo mambo ya kuitenga TZ, lakini siungani nawe kwa wazo lako la kugombea urais
 
Tanzania kwenye maendeleo ni waongeaji sana kuliko vitendo. tungekuwa nao plan zao za maendeleo zingekwama.

pamoja na rasilimali zote hizi bado ni masikin aibu sana hii.
 
Lakini sababu kubwa ni kuwa rais wetu hana vision yenye kunuia kuleta maendeleo bali kufanya mambo kiswahili swahili na kijanjakijanja. Political ideology ya viongozi wa tanzania sio productive kwa maendeleo. Wanaobisha waseme nitawaletea facts zaidi.

Ngumu kumeza lakini dawa kwahiyo tukubali ukweli

leta hizo fact tuzione
 
Bado saana.. sisi wenyewe ni wabinafsi mno.. tuna mafisi saanaa.. kila mtu anawaza kuficha hela uswis.. mishahara isiyolingana.. fursa za kupendeleana nk.. nani ataipenda Tanzania? nyie waulizeni Rwanda.. au hata wa Kenya.. wanavyokazana kuijenga nch yao kwa mikono yao wenyewe.. sis tumejaa manyangau na wabinafsi, wapga domo.. elimu ya wachache... alaf tuje tuseme 2naweza kuja kushindana nao 20yrs to come, ndoto za mchana..! we fikiria miwazir inauza sembe.. mtu akiwa kiongoz lazima Awe na maendeleo Yasioeleweka.....mf. Mtoto wa Rais(H.E. Prince Riziwani KIKWETE) tutasubir saana.. Kweli wenzetu hawatupendi, alaf na sis hatuipendi Tanzania.. kama hamuamin muulizeni wazir Muhongo.. watanzania watawekeza kwenye nyanya baasi!!!! acha tuendelee kuvunwa na wazungu..!
 
Tanzania kwenye maendeleo ni waongeaji sana kuliko vitendo. tungekuwa nao plan zao za maendeleo zingekwama. pamoja na rasilimali zote hizi bado ni masikin aibu sana hii.
Hata vitambulisho vya kitaifa nchi hizo zimeshatoa sisi tunapiga danadana tu. waendelee kutusubiri hadi lini?
 
We Kisandu mbona akili zako kama vile bado ni za kiwango cha Bavicha? Hivi hujaona waraka wa Werema kwa ICC?
 
Deogratius Kisandu

1.Kumbukeni kuwa wenzetu wanataka ardhi ya Tanzania na sisi hatuko tayari, nakumbuka waziri sitta alipiga kelele sana juu ya hili.

Hili la ardhi nakubaliana nawewe maana Tanzania bado tunaardhi kubwa iliyoloose. Lakini kwanini katiba mpya isijenge mazingira ya kuilinda na kuifadhi haki ya watanzania kumiliki ardhi yao?

2. Ujio wa Rais wa marekani nchini kwetu Mh. Obama na safu yake huenda imewachukiza wakenya na wenzake waliojitenga kwa kuona Rais huyo kutokufika katika nchi hizo na ilihali Obama kwao asilia ni Kenya, hapa lazima wivu uwepo hata ningekuwa mimi.

Hili sio kweli nani kakueleza utamu wa chai ni rangi yake? au ukubwa wa pua ni wingi wa kamasi? waulize wakenya watakwambia-Obama anawapatia misaada mingi lakini hapendi wazungu waielewe dhamira yake wazi wazi

Mfano
-Vita na somalia jamaa kawapatia dhana bora kama zile za kuona gizani with infrared rays, sniping guns etc, napia mengi mengineo. na huko kwa bibi yake obama ni siri ya wakenya.

3.Endapo Tanganyika na Zanzibar zikajitenga, utabiri wangu, muungano huo mpya wa EAC utaiwahi Zanzibar ili ijiunge nao na Tanganyika ibaki inaelea kwa kukomolewa. Tutafakarini sana tunapozungumzia muungano wetu, tuhakikishe hauvunjiki.

Zanzibar akili yake yote ipo omani, usijidanganye kabisa-nani kakwambia Uganda au kenya au Rwanda kuna tende, haluwa na nyama za ngamia?

4.Operesheni kimbunga ya wahamiaji haramu huenda pia itakuwa imewachukiza sana maana kuna wananchi wao pia.

Hili lina nafasi kiasi flani nakubaliana nawewe, falsafa ya mwl JK NYERERE, aliamini binadamu wote ni sawa na Afrika ni moja kwa waafrika wote, aliishi na wakimbizi wa aina mbalimbali mpaka zimbabwe (Rhodesia wakati huo) SA, Msumbiji, Angola nk hata sikumoja hakufikiria kuwafukuza. Kikwete kwa kukosa maalifa ilikulipiza ugomnvi wake na Kagame-kama kawaida ya kiongozi dhaifu hutekeleza maamuzi yake kwa wanyonge, kikwete hawawezi wenyenguvu siunaona wezi wa EPA, Madawa ya Kulevya nk.....

5.Tanzania haijawahi kuingia kwenye machafuko makubwa ya kisiasa kama hizo nchi, huenda wanatamani kuona watanzania tunaonja radha hiyo.

Tutaweza kuingia huko tu sio kwa mashinikizo kutoka nchi jirani, bali kutokakna na utawala mbovu usiozingatioa haki wala usawa katika kutekeleza haja na haki za watanzania hususani raia wa kawaida.

mfano

Afya duni, maskini wanaangamia zahanati na mahospitalini hakuna madawa wala vifaa tiba, wakati masikini wanateseka na kufa wenye uwezo/mafisadi na wezi wa raslimali za taifa hutibiwa nje ya nchi-hili ni chukizo

Elimu duni, raia wa kawaida wanateseka na kupata elimu kwenye shule zisizo na walimu wala vitendea kazi, watoto wa maskini wanafeli ovyo- watoto wa majizi na mafisadi wanapata elimu bora -hili ni chukizo

6.Huenda ukawa ni mkakati wa kisiasa kuwafanya Wananchi kuwachukia viongozi wao hasa kipindi hiki cha kutafuta Katiba mpya.

Watanzania wapole sana, na serikali ya ccm imeinajisi kupindukia haki na amani ya watanzania, endapo serikali itachukiwa ni kutokana na uzembe wake yenyewe kushindwa kuwakwamua watanzania dhidi ya maaduwi
-ujinga,
-maradhi na
-umasikin.


7.Huenda mpango wao wa kujitoa ICC ukishirikisha Tanzania hautafanikiwa kwani huenda watanzania watakataaa.

Mpaka sasa mwanasheria mkuu ameandika waraka akiwaunga mkono, hili halina usahihi wala ukweli wowote.......


8.FIKRA POTOFU

. .....Zipi fikra potofu walau taja chache tuelewe....

 
Last edited by a moderator:
Bado saana.. sisi wenyewe ni wabinafsi mno.. tuna mafisi saanaa.. kila mtu anawaza kuficha hela uswis.. mishahara isiyolingana.. fursa za kupendeleana nk.. nani ataipenda Tanzania? nyie waulizeni Rwanda.. au hata wa Kenya.. wanavyokazana kuijenga nch yao kwa mikono yao wenyewe.. sis tumejaa manyangau na wabinafsi, wapga domo.. elimu ya wachache... alaf tuje tuseme 2naweza kuja kushindana nao 20yrs to come, ndoto za mchana..! we fikiria miwazir inauza sembe.. mtu akiwa kiongoz lazima Awe na maendeleo Yasioeleweka.....mf. Mtoto wa Rais(H.E. Prince Riziwani KIKWETE) tutasubir saana.. Kweli wenzetu hawatupendi, alaf na sis hatuipendi Tanzania.. kama hamuamin muulizeni wazir Muhongo.. watanzania watawekeza kwenye nyanya baasi!!!! acha tuendelee kuvunwa na wazungu..!

MRISHO PM ninakubaliana na wewe kabisa bahati mbaya sijui wewe unaishi wapi ningependa nikuone. Ninajua inawezekana unatokea labda Pwani hata hivyo umeliona hili. Kusema ukweli kama tukiamua kufanya kazi hatuwahitaji hawa watu. lkn niambie waziri, rais, Pm na viongozi wote kila kitu ni msaada tu, hii umeona wapi! Inabidi tufike mahali fulanitusema tumechoka na hawa watu. They cannot deliver anything! Maneno tupu tu. Kwa hiyo ndugu yangu ni dhahiri CCM inaweza ikabaki lkn siyo na viongozi hawa.
 
Watanganyika mamburura ndio maana mnatengwa,nyie hamuwezi muungano wa jambo lolote coz nyie ni mafisadi,hata zanzibr imeshawachoka ila mnawalazimisha kwa mtutu wa bunduki.
 
KWANINI TANZANIA ITENGWE EAC (UPANDE WA MASWALA YA KISIASA)
(mtazamo chanya).

1.Kumbukeni kuwa wenzetu wanataka ardhi ya Tanzania na sisi hatuko tayari, nakumbuka waziri sitta alipiga kelele sana juu ya hili.

2. Ujio wa Rais wa marekani nchini kwetu Mh. Obama na safu yake huenda imewachukiza wakenya na wenzake waliojitenga kwa kuona Rais huyo kutokufika katika nchi hizo na ilihali Obama kwao asilia ni Kenya, hapa lazima wivu uwepo hata ningekuwa mimi.

3.Endapo Tanganyika na Zanzibar zikajitenga, utabiri wangu, muungano huo mpya wa EAC utaiwahi Zanzibar ili ijiunge nao na Tanganyika ibaki inaelea kwa kukomolewa. Tutafakarini sana tunapozungumzia muungano wetu, tuhakikishe hauvunjiki.

4.Operesheni kimbunga ya wahamiaji haramu huenda pia itakuwa imewachukiza sana maana kuna wananchi wao pia.

5.Tanzania haijawahi kuingia kwenye machafuko makubwa ya kisiasa kama hizo nchi, huenda wanatamani kuona watanzania tunaonja radha hiyo.

6.Huenda ukawa ni mkakati wa kisiasa kuwafanya Wananchi kuwachukia viongozi wao hasa kipindi hiki cha kutafuta Katiba mpya.

7.Huenda mpango wao wa kujitoa ICC ukishirikisha Tanzania hautafanikiwa kwani huenda watanzania watakataaa.

8.FIKRA POTOFU.

Mungu Ibariki Afrika, Mungu Ibariki Tanzania mwl. KISANDU


Mavi matupu...
 
Hili la EAC political platform siyo la leo. Mimi nilikuwa kati ya watu ambao walipinga kwa nguvu zao zote kuwaingiza Warundi na Wanyarwanda(aspirants wa Bahima Empire) ktk ile iliyokuwa genuine EAC. Kagame(a known war monger) na M7(a power aspirant of all time) ni washabiki wakubwa wa hii empire. Wanajaribu kwa nguvu zao zote, mioyo yao yote na pengine kwa imani yao kubwa kwamba kuna siku watafanikiwa kuinyakuwa ardhi ya DRC( North Kivu) ili Watutsi wakae pale kwa kuwa Rwanda ni kama kibiriti. Inanishangaza na kunisononesha kuwa Tanzania a once worldwide respected and feared kwa sababu ya PATRIOTISM yetu tuliyokuwa nayo,leo tunasema eti M7 atupatanishe na Rwanda!????? Rwanda wana nini mpaka tutake kuwa nao karibu hata kwa kuomba upatanishi. Ardhi ya Watanzania itabaki kuwa ya Watanzania, FULL STOP. Kama kuna mtu anataka kuwa miongoni mwetu zipo sheria,taratibu,na kanuni(STK) azifuate.Nawasikitikia ndugu na marafiki zetu wa siku nyingi-Wakenya, ni vyema wazitafakari nyendo zao mapema. Waingereza wanasema: If you see small men casting long shadows, the sun is going down. Chonde chonde Kenyata uongozi wa nchi ni mzigo unao- depreciate nerves na kuonekan kuzeeka kwa kasi kuliko hata Ukimwi.Waangalie sana hao marafiki zako wapya.
 
Tanzania ina kila kitu kinachohitajika duniani ili hawa watu watuheshimu kinachohitajika kwa sasa ni kupata mtu PATRIOTIC atakayetuongoza kwa kadri ya mapenzi yetu kwa ujumla wetu kama Watanzania. Amini nakuambieni kuna siku na saa mtu huyo atapatikana, na mawazo yake na maono atakayokuwa nayo kwamba Tanzanite hii ni yetu wote, almasi hii ni yetu wote, wanyama hawa ni wetu wote, nk, hakika hawa wenye political platform watapenda kuwa nasi ikiwa tutakuwa serious na mambo yetu na kuondoa dhana potofu ya hatuwezi mpaka mfadhili awepo.
 
KWANINI TANZANIA ITENGWE EAC (UPANDE WA MASWALA YA KISIASA)
(mtazamo chanya).

1.Kumbukeni kuwa wenzetu wanataka ardhi ya Tanzania na sisi hatuko tayari, nakumbuka waziri sitta alipiga kelele sana juu ya hili.(kuna mambo ya muungano na ambayo si ya muungano..nahisi inabidi kuweka institutions zitakazo wezesha tz kunufaika na eac na siyo kuiona kama threat)

2. Ujio wa Rais wa marekani nchini kwetu Mh. Obama na safu yake huenda imewachukiza wakenya na wenzake waliojitenga kwa kuona Rais huyo kutokufika katika nchi hizo na ilihali Obama kwao asilia ni Kenya, hapa lazima wivu uwepo hata ningekuwa mimi.(that is at an individual level..si kitaifa,na uganda nao wana interest gani na jaruo obama?)

3.Endapo Tanganyika na Zanzibar zikajitenga, utabiri wangu, muungano huo mpya wa EAC utaiwahi Zanzibar ili ijiunge nao na Tanganyika ibaki inaelea kwa kukomolewa.(hakuna kitu kama kukomorewa bado Tz inaweza ikafanya vizuri hata kama si sehemu ya muungano..istoshe ipo SADC) Tutafakarini sana tunapozungumzia muungano wetu, tuhakikishe hauvunjiki.

4.Operesheni kimbunga ya wahamiaji haramu huenda pia itakuwa imewachukiza sana maana kuna wananchi wao pia.(nadhani mikutano ya maraisi 3 ilianza kule Entebbe Uganda hata kabla ya hiyo Kimbunga)

5.Tanzania haijawahi kuingia kwenye machafuko makubwa ya kisiasa kama hizo nchi, huenda wanatamani kuona watanzania tunaonja radha hiyo.(kwa manufaa ya nani?kagera war unajua ili claim maisha ya watz wangapi?)

6.Huenda ukawa ni mkakati wa kisiasa kuwafanya Wananchi kuwachukia viongozi wao hasa kipindi hiki cha kutafuta Katiba mpya.(wananchi wenyewe hawajui chochote kuhusu EAC na in fact walowengi hawakuridhia)

7.Huenda mpango wao wa kujitoa ICC ukishirikisha Tanzania hautafanikiwa kwani huenda watanzania watakataaa.(mwanasheria mkuu wetu aliiandikia barua ICC imruhusu Ruto kutohudhuria mahakani)

8.FIKRA POTOFU.

Mungu Ibariki Afrika, Mungu Ibariki Tanzania mwl. KISANDU

mwl majibu nimeandikia kalam nyekundu.....usiwe na hofu nina banda langu hapo ila duh maswali yako shallow sana
 
Back
Top Bottom