kwa sababu totally brainwashed by movies showcasing mwanaume playing the role of women katika familia.
ni matumizi mabaya ya lugha za watu.kama unatumia kiingereza tumia kiingereza kama ni kiswahili hivyo hivyo.Kwa sababu kuchanganya hakuwezi kusaidia mtu hasiyejua mojawapo kuelewa chochote
I did even you were unserious. As a man always I respect women advice. Wewe ni mke wangu, because your women na nimekuchagua. Sasa usipanick kausha maana wewe unaweza ukatokwa na povu hapa.
Nimefaidika na darasa .ila guys wanajua pia sisi tunataka nini.ishakua now days wasichana tunaonekana kuolewa tunapewa favour.sio ivyo jmn na nyie kuwen the same kuna wanaume wanatabia chafu unataman uishi peke yako guyss na nyie jitambuen
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.