1.Ngeleja ndie anaisimamia hii wizara
2.Alisign posho ya 4mil
3.Alikuwepo ofisini kumpokea Jairo wakati anarudishwa ofisini so anajua fika kuwa lazima amtete katibu wake bse he is part of the deal.
Hii ni kwa mujibu wa Wenje!
Ama kweli huu ni ushahidi tosha wa athari ziletwazo na nguvuasili iliyoko katika jina la mtu. Hapa inaonesha ulivo bongolala kwelikweli. unaelekea wapi? kwenye udini, nani kakutuma uelekee huko?NGELEJA angekua muislam ungekuta siku nyingi
pigwa chini kwa shinikizo kutoka kila kona
1. Mikataba ya Madini kuendeea kuikumbatia na kuendelea kuingia mikataba ya kifisadi mfano Mantra Uranium, Buzwagi, Buckreef,
2. Richmond, Dowans,Symbion,Songas, na hatma mbovu ya umeme ambao haujulikani utapatikana lini.
3. Mabilioni ya Jairo.
4. Alikuwa Advocate wa RA na kufanyakazi Vodacom Tz akisimamia maslahi ya RA
5. Jimboni kwake amekusahu sana.
6. Si mtaalamu wa wizara kwani yeye ni Advocate aliyetokea mitaa ya Independence na azam.
7. Ameibeba sana Aphatel, Shivacom katika kumiliki vodacom Congo nao ni ufisadi mkubwa.
Asante mkuu. Kweli umenena. In Short Ngeleja ni bora aondoke, a lot of blunders!
Alirudishwa na mkulu kwani nafasi yake ilikosa mtu mwenye sifa kama yeye watu wa aina yake ni adimu sana, hata hatua zilizopendekezwa na bunge dhidi yake hazitekelezeki..........kudadadadeki!!!!!Luhanjo si alishastaafu kwa mujibu wa sheria? Ajiuzulu kitu gani?
Nashangaa hadi leo hii Ngeleja yupo bungeni, bado anajiita waziri.
Mbunge gani na waziri gana asiye na uchungu na wananchi wake?. Shule ngapi za kata jimboni kwake hazna madawati? Halafu yeye na kundi lake unajipangia posho zisizo na kichwa wala miguu.
Ina maana huu ugumu wa maisha unaotukabili wao hauwagusi?. Nasema this is too much, wamekula na vipofu, sasa wametushika mikono. Lazma tupige kelele.
Nasema imetosha. Serikali ikishindwa kuwawajibisha hawa jamaa itazidi kujipalilia moto. Hawa jamaa nawafananisha na wauaji.
Ngeleja na wenzako mnalinajisi bunge. Jela ndio kunawafaa.