Simiyu Yetu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 18,949
- 4,633
Ninayojua mimi hayana mgombea wa ukawa ni pamoja na jimbo la jenista mhagama peramiho,jimbo la january makamba ma jimbo la nanyamba mtwara mengine nimesahau mkuu.Mkuu andiko lako lina busara kiasi flan lakin lina mambo fulan ya kishabiki na uongo uongo.. umesema majimbo ni 266. Na ukawa wamesimamisha wagombea majimbo 211. Unaweza kutaja walau majimbo 5 ambayo hakuna wagombea wa ukawa??