kwa kifupi kwa kuwa wewe inaonekana una IQ kubwa kajaribu kwenda kupewa iyo md pale imtu, kcmc n.k nitakulipia ada na accomodation tena na stationary ili next time ukija hapa uwe na ushahidi kuwa umeiokota.
na kama mkeo kapigwa PV alipokuwa anafanyiwa PVE na wewe ukapigwa PR ulipokuwa unafanyiwa DRE ikakuuma yanini kuleta ugomvi wako humu? PV na PR ni sehemu ya uchunguzi tu ndugu na ma Dr wamepewa authority na sheria.
kama vipi jipige mwenyewe PV na PR ili uondoe chuki na madaktari.
na kama mkeo kapigwa PV alipokuwa anafanyiwa PVE na wewe ukapigwa PR ulipokuwa unafanyiwa DRE ikakuuma yanini kuleta ugomvi wako humu? PV na PR ni sehemu ya uchunguzi tu ndugu na ma Dr wamepewa authority na sheria.
kama vipi jipige mwenyewe PV na PR ili uondoe chuki na madaktari.