Saba Saba ni kama imepwaya!

Saba Saba ni kama imepwaya!

masopakyindi

Platinum Member
Joined
Jul 5, 2011
Posts
18,409
Reaction score
14,116
20170706_114501.jpg

Nimepita Saba Saba jana ili kujionea maendeleo ya viwanda na biashara.

Kwa maoni yangu imepwaya kuliko mwaka jana au juzi.
Katika jengo moja mabanda yalikuwa tupu.

Hata waonyeshaji wa kimataifa wamepungua sana.

Ila mabanda ya vyakula ndo wanagombania wateja.
 
Kwa hali hyo inaashiriaa nini?Kwa hali Ya upande wa uchumi wa nchi

Ova
 
Nina miaka kama sita sijawahi kutia mguu wangu pale
 
View attachment 537409
Nimepita Saba Saba jana ili kujionea maendeleo ya viwanda na biashara.

Kwa maoni yangu imepwaya kuliko mwaka jana au juzi.
Katika jengo moja mabanda yalikuwa tupu.

Hata waonyeshaji wa kimataifa wamepungua sana.

Ila mabanda ya vyakula ndo wanagombania wateja.
Ukiwa kama mtiifu na mwandamizi unaionaje hali hii? Au bado tupo kwenye miwani ya mbao?

Vyote vitadanganya ila namba hazidanganyi......
 
Ukiwa kama mtiifu na mwandamizi unaionaje hali hii? Au bado tupo kwenye miwani ya mbao?

Vyote vitadanganya ila namba hazidanganyi......


Huyu chizi kumbe
watu wakisema Magufuli kaharibu uchumi humu anawarukia kwa matusi
sasa yeye mwenyewe leo anakubali hali ni mbaya huko mtaani
sabasaba ni kielelezo tu kimojawapo
 
View attachment 537409
Nimepita Saba Saba jana ili kujionea maendeleo ya viwanda na biashara.

Kwa maoni yangu imepwaya kuliko mwaka jana au juzi.
Katika jengo moja mabanda yalikuwa tupu.

Hata waonyeshaji wa kimataifa wamepungua sana.

Ila mabanda ya vyakula ndo wanagombania wateja.
Kila mwaka tunasemaga imepwaya
 
Mi nakumbuka zamani sabasaba watu wazima wanaenda usiku
bar zote za ndani mule hushindana kuuza..
leo sabasaba saa mbili usiku nje kumepooza kama hakuna maonesho
sad
 
Mtu huyu huyu ukimwambia hali ya uchumi ni mbaya atakwambia
wauza madawa na wapiga dili ndo wanalia
leo kajionea mwenyewe na bado litakuja kubisha humu
Nchi hii inakwenda ku collapse aise

Ova
 
Hongera ccm kwa kujenga nchi.
 
Leo nimeshangaa pamoja na kiingilio kupanda lakini eti ukienda kule maliasili kuangalia wanyama unalipia hela nyingine tofauti na miaka ya nyuma.....
Mkuu inalolisema ni kweli.baada ya kulipia kule nje nikajisogeza kwenye banda la maliasili kujionea kinachoendelea nilipoona lango la kuelekea banda la wanyama walio hai nikaambiwa lazima nilipie tena mweeee nikaishia kwenye nyumba za wagogo kisha huyooo kwa mrisho mpoto.
 
Back
Top Bottom