Kuna vitu vinaanza kutokea sasa na immediately unamkumbuka mtanzania mmoja tu, aliyekuwa na uwezo wa kuzuia mambo bila ya kuumizana! None other than the one and only the late Rev. Mtikila!
Sijui hadi leo tungekuwa na kesi ngapi mahakamani dhidi ya Jamhuri!
Sidhani kama angekaa kimya hasa ktk hili la kukopa technolojia toka Rwanda!
Anyway bado tunazo chembe za matumaini na nia njema, ila hili la kutumia wataalam wa Rwanda nadhani linapaswa lizue mjadala wa kitaifa ili Tanzania iridhie! Kama kuna vitu vya referendum basi hili la kuimport wanyarwanda linahitaji mjadala kuliko hata ile mijadala ya bei za mafuta by ewura au nauli elekezi!
Kuna bunge, kama eneo muhimu kwa ajili ya mjadala, Ila pia kuna mahakama (hapa ndipo tunapomkumbuka Mtikila) vinaweza kuwa sehemu sahihi ya kuweka zuio kwa jamhuri isije kufanya makosa!
Sijui hadi leo tungekuwa na kesi ngapi mahakamani dhidi ya Jamhuri!
Sidhani kama angekaa kimya hasa ktk hili la kukopa technolojia toka Rwanda!
Anyway bado tunazo chembe za matumaini na nia njema, ila hili la kutumia wataalam wa Rwanda nadhani linapaswa lizue mjadala wa kitaifa ili Tanzania iridhie! Kama kuna vitu vya referendum basi hili la kuimport wanyarwanda linahitaji mjadala kuliko hata ile mijadala ya bei za mafuta by ewura au nauli elekezi!
Kuna bunge, kama eneo muhimu kwa ajili ya mjadala, Ila pia kuna mahakama (hapa ndipo tunapomkumbuka Mtikila) vinaweza kuwa sehemu sahihi ya kuweka zuio kwa jamhuri isije kufanya makosa!