Chaa nimeliona saana linatumika humu... asili yake ni wapi mchuga?chaaa
huku huku nyumbani hata moshi piaChaa nimeliona saana linatumika humu... asili yake ni wapi mchuga?
Naona chaa chaa... cha kabila au kimezuka mitaani tuhuku huku nyumbani hata moshi pia
hafu ni la mda tokea nakuaga mdogo namsikia bibi kitu kikimshangaza anasema chaaaaaaaNaona chaa chaa... cha kabila au kimezuka mitaani tu
Oouh. Tack sa mycket chuganianhafu ni la mda tokea nakuaga mdogo namsikia bibi kitu kikimshangaza anasema chaaaaaaa
japo chuga huwa misemo mingi inazuka mitaani
chaa chaaachanduchaaa
Lalashe...hilo neno naamini chanzo chake ni Ugweno Kilimanjaro. Nimeishi kule sana na hadi wabibi (koko) wanatumia hilo neno katika mshangaoNaona chaa chaa... cha kabila au kimezuka mitaani tu
anza kulitumia na weweOouh. Tack sa mycket chuganian
chachandu ndio nn?[emoji276]chaa chaaachandu
Nimeliona saana huku lalashe...Lalashe...hilo neno naamini chanzo chake ni Ugweno Kilimanjaro. Nimeishi kule sana na hadi wabibi (koko) wanatumia hilo neno katika mshangao
Ni kama mchaga aseme "mbutaa" au muorombo aseme "Yesu na mariaa"
Ama Mmasai aseme "Shyee"