Saa nyingine wanaume mnajichoresha

Saa nyingine wanaume mnajichoresha

bishontongo

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2016
Posts
239
Reaction score
223
Unakuta mwanaume anaenda kwa mwanamke anakaribiswa wine, msosi analala na kukoroma. Asubuhi anahitaji chai, anafunga taulo anaoga anaondoka.

Kweli unategemea huyo mwanamke atakuwazia nini? Jisimamie kama mwanaume. Umempenda mwanamke gharamia, acha kutaka kulelewa. Je, siku ukisombewa vinguo vyako nje utalaumu?

Poleni sana wanaume mnaobebwa.
 
Sasa unataka alipie nini hapo?,hiyo wine,chakula na taulo ulillompa,wewe ukienda kwake ukapewa vitu kama hivyo hua unalipishwa?,hivi beijing mlikwenda kulilia nini?,si usawa?,acha uisome number,huu ndio usawa wa beijin
Nyie ndo mnapenda kulelewa na kuamia kwa akina dada atimae siku na siku unafukuzwa kama paka ! Mie sna muda muchafu kama unavyo fikiri ila naongelea nayo yaona yanatokea unafikiri akiongea mtu basi yamemkuta pole sana dogo.
 
Naunga mkono hoja.huu ujinga nilishawai kunikuta,sema miye nilikuwa naudumia kila kitu mpaka mwanaye namlipia na ada kwa single momy,duh yaliyonkuta ni siri yangu,nilisepa mwenyewe.
 
Mkuu kulikoni??? Mbona umeandika thread kwa maneno makali?? Kipi kimekupata...??
No naona vijana wazaririswa sana yani ila kwa mwanaume anae jitambua hawezi fanya hivyo anakuwa anajua wajibu wake.
 
Naunga mkono hoja.huu ujinga nilishawai kunikuta,sema miye nilikuwa naudumia kila kitu mpaka mwanaye namlipia na ada kwa single momy,duh yaliyonkuta ni siri yangu,nilisepa mwenyewe.
Pole sana Mungu atakupa wakwako.
 
Naunga mkono hoja.huu ujinga nilishawai kunikuta,sema miye nilikuwa naudumia kila kitu mpaka mwanaye namlipia na ada kwa single momy,duh yaliyonkuta ni siri yangu,nilisepa mwenyewe.
Kama ni kweli ulifanya hayo wewe ulikuwa huna akili
 
mbona na ninyi mnakuja kwetu tunawahudumia hivyo hivyo na unapo ondoka na mshiko juu wakati utamu tumepata wote sasa mnalalamika nini?
Sio kulalamika elewa kilicho hongelewa jua wewe mwanaume umeubwa umtunze mke sio mke akutunze wewe. Basi kama haujifunzi kafanye ukichokwa ukabalaswa utayakumbuka maneno yangu.
 
Sio kulalamika elewa kilicho hongelewa jua wewe mwanaume umeubwa umtunze mke sio mke akutunze wewe. Basi kama haujifunzi kafanye ukichokwa ukabalaswa utayakumbuka maneno yangu.
nyinyi siyo mnatakaka 50/50 sasa mbona mnataka kutunzwa?
 
Halaafu wanaume kama hao kazi yao kuoga,na kuuvaa hata hachangii mawazo ya maendeleo,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom