Saa moja na dakika 17

Mkuu ukichanika inakuaje an..
Unachanika msamba au unachanika kabisa an
Mbona naanza kuogopa mana hata kutoa upepo naogopa nahisi kama bado yalibaki
Nnya inapokuwa ngumu, ili uweze kuitoa itakubidi utumie nguvu kubwa na sehemu ya haja kubwa huwa ni laini mno, kujeruhika huwa ni rahisi sana. Sio kuchanika msamba
 
As

Asee pole sana kaka hukumwambia Jerry akuletee kijiti kweli😀😀
 
Skonzi kitu laini kabisa hivyo embu nenda Zanzibar hapo Kuna dude linaitwa boflo watu wanalipiga kavu kavu na wakati mwingine unalia na chips na maisha yanaendelea kama kawaida
 
Skonzi kitu laini kabisa hivyo embu nenda Zanzibar hapo Kuna dude linaitwa boflo watu wanalipiga kavu kavu na wakati mwili unalia na chips na maisha yanaendelea kama kawaida
Polo kwa hali ya jana ingekua wewe mda huu unazunguka pharmacy wallah naapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…