S7 Inauzwa kwa Tshs. 650,000 tu

S7 Inauzwa kwa Tshs. 650,000 tu

HAMY-D

JF-Expert Member
Joined
Sep 18, 2011
Posts
7,146
Reaction score
3,830
Husika na somo tajwa hapo juu.

Simu ni original na haina shida yoyote zaidi ya nyufa kwenye kioo kwa pembeni ambazo hazionekani pindi utumiapo simu.

Simu ipo Dar ina ukubwa wa 32 GB na rangi ya Gold.

Bei yake ni Tshs. 650,000 tu.

Kwa picha na maelewano mengine njoo PM.

Karibuni sana!
 
Back
Top Bottom