S 400 ya urusi na IRONE DOME ya Israel

S 400 ya urusi na IRONE DOME ya Israel

Maelezo meengi hayana facts wala evidence.

Wayahudi mnawaona watu wema sana, lakini tambua kuwa hawaukubali ukristo na yesu hawamtambui pia. Na wakristo walioko israel hawafiki asilimia 3.


Sikiliza wanachoulizwa kuhusu yesu


acha uzembe!! Tatizo mnapenda kutafuniwa mno wa africa.

Sijasema sisi tunawakubali.hujui kusoma weye?

Nimedadavua walivo kulinganisha na wapalestina.Na waarabu kwa ujumla wao. malengo na madhumuni yao.
Tatizo ni kuzoeshwa kukariri sana st kayumba mpaka mneathirika bongo zenu.
 
Yaani hata mazingira tu yanaonyesha hivo walikuwa wanashambuliwa mnoo
Kwanza wakajenga ukuta mrefu lkn bado.... ndo ikaja hii.

Sasa wana arrows interceptors sophiscated weapons yaani haya mabomu yana mambo mawili makubwa;

Mosi linaongezea kombora la adui speed mara dufu ivo laweza pitiliza nchi ya israel na kugonga target yake kwa nchi rafiki wa adui.

Pili.yana uwezo wa kuingilia speed ya bomu lolote hata kabla halijaanza safari ya kulipukia kwa adui yao mlengwa kwa kutumia corona satelittes za israel. Yaani linakulipukia wewe mdunguaji.

Na hili linakuwa connected Vissonary survaillance satellites za wayahudi.Kila unachofanya wafuasu na kiongozi wa hezbollah!

lkn pia israel wana universal classic indivisible balloon cameras.

hii yaweza kupiga picha ardhini yenye ukubwa wa sindano ya kushonea nguo.

Wana-monitor kila kitu Usiku na mchana hawalali hawa jamaa tangu kuundwa kwa bomu hilo mpaka wahusika wa vikao vyao walivyo kaa.

then siku wakija wanawapa taarifa kabisaa kuwa wanakuja kupiga hapo ondokeni kwa usalama wenu Km ule mjengo ulivoshuka juzijuzi mliona al-jaazeera huko....richa ya hiyo

Wanazaliana ndani ya maadui zao humo. mwana anakuwa anajuwa kisiri siri ni Myahudi.na adui yake ni muarabu.

Iran.syria robo ya wajeda wa ngazi za juu wote ni wayahudi wa damu.
Mahamud abbas. Na King Abdulah ni mayahudi haswaaaa! kwa Mama. km ni hivi....

watafanya nini hao waarabu? Sasa wanakuja uganda na wameshaanza kuzaana machotara kule wanachotaka ni kukamata ardhi ya taifa la israel. Iliyopo kati ya mito miwili hii...

Km hujui zile blue mbili Kwa bendera yao ni symbol ya mito miwili ya mto Tigris na Nile river na

katikati ya mito hiyo ndo taifa au ardhi bin nchi ya ahadi ya israel ilipo yaani waliyoaidiwa na mungu wao ikiwemo Tanzania yaani Eac.zote!!

Hizi zote zinatakiwa ziwe chini ya Mamlaka ya ki-zion naam! yahudi.

palestina wataungana nao hao wa Israel baadaye huko.lengo ni kunyakua ardhi zaidi kwa nchi yao ya ahadi zoezi hili ni kuelekea Nile river.

tayari Saudia.yemen.jordan nk wameungana nao ....na hii itabaki kuwa ushahidi siku na miaka zijazo subiri.....

 
Maelezo meengi hayana facts wala evidence.

Wayahudi mnawaona watu wema sana, lakini tambua kuwa hawaukubali ukristo na yesu hawamtambui pia. Na wakristo walioko israel hawafiki asilimia 3.


Sikiliza wanachoulizwa kuhusu yesu


ukitamka yesu sema yesu gani
kama walikuwa matajiri hivo na wakaanzisha www1 kwa nini

waliuawa kwa wingi na kirahis ivo. Mfano Nchini ujermani wayahudi million 6.walikufa.

Rejea Holocoust Massacre. Na wanaadhimisha kila mwaka?? Kwa nini shetani auawe hivo wkt ana uwezo?? si mnamuita Mkuu wa ulimwengu au...

Kwa nini waisraeli hawapendwi Duniani kote ni kwa sababu wana
hela.
Uwezo km wote.
Akili mingi.
hawashindwi jambo wakiliamulia.
mashupavu.
siyo legelege!!
Hawapendi umbea.
Wamejibeba kimaslahi.wao km wao!

Wanapendana na kujaliana Duniani kote.wana mambo yao kivyao.

USA,Israel citizens wanajipenda wao kwa wao kuliko miafrica.Asians Europeans wengi ndo kosa lao kubwa la kuhusishwa na shetani. Wivu wa kike.

wameamua kuwa wao baaasi ndo chanzo cha chuki zote hizi.
hii computer unayosemea ni wao.

Uswahilini au kwenu hapo ukiwa na hela tu ndg zako wanakuchukia Mno uongo? Tena watakuua....

Ukipendwa kwenu basi wee jua ni kapuku wa milele huna nyota ya pesa!

Kwa nini Israel waungwe mkono na USA tu? Na wala siyo urusi?? Au china. Si wana hela pia?

Mbona urusi wanaunga wapalestina mkono hamsemi??

Jibu ni kuwa Hamsemi kwa kuwa hawana hela....wajinga wajinga tu.

hkn mweusi anaetamani kuishi Russia.hata walio kwenda huko kiubishi ni maskini tu mpaka kesho wana tia huruma km kina Dr cheka.....kavuna ukichaaa!!

Shetani wa USA ni mtamu Bana analipa. Kikwete alienda tibiwa USA Ako swafii
jiulize ni wapi Mungu alipo ni wapi shetani kati ya nchi hizo na Africa yako na kumbuka usemi.....fadhili zake ni za milele!!

Na kwa nini USA liwe taifa la shetani toa sababu....Vinginevo una chuki tu fanya kazi wewe...

Tatizo ni kuwa maskini mkiona watu wengine wana hela km Diamond!! NaSasa km UsA,israel nk, roho zinawauma mnamuhusisha na ushetani kwa nini?

Nchi Maskini mnacheka sana! Wala hamsimulii habari yake wala hata kumjua tu. Km nchi ya Mayote hata weye hujui ni wapi!!

Ila kwa sababu USA/ISRAEL ni wababe mnawashobokea na kuwasema mashetani kwa sababu mmewashindwa ndo mlivo!!

hata Africa ilikuwa super power huko nyuma watu walikuwa wana kimbilia africa ya weusi kwa mfano makamanda wazungu km

Napoleon Bonaparte
Alexander de great nk
hamkuwasema, kuwa Misri ilikuwa ya shetani.sababu ni ya waafrica wenzenu,??

Kwa nini leo mnawasema USA.ISRAEL? Sababu tu wana
hela?
ELIMU.
wababe.
Wanawalisha
Mnapewa mikopo
Tech.ya kisasa.
Hamjui kuwa kutesa kwa zamu.si mnasemaga wenyewe??

Ona mnaanza kunyoosha midole. kwa nini nyie hamna??
Kwanza Hata shetani tu hawataki??

Kwa hiyo wewe una soma na kula hela ya misaada ya shetani?? Mna ushirika na shetani unadhani utaenda mbinguni? Ki vipi!! Si ndo wanawalea au...

Soko la kariakoo unapouzia vihepe wamejenga wao.
UDISM wao.
Hotel 777 wao
Kilimanjaro hotel wao.
Ikulu wao
Kia.
jnia weee!

Hela mnapewa mnasonsomela vya shetani mbona hamuachi???
mbona hamjaacha kusoma pale kwa chuo cha shetani?

Mmejazana ubalozi wa USA kila siku kumbe mnaenda kwa shetani tena mnalipa cash...

Kwani freemansons si mjenzi huru? Na kweli USA citizens wako huru!!
Sasa amekosea kuwa huru au?

Maskini mswahili akiona Mtu ana mijengo.vijibasi tu oooh! Freemanson.

Acheni roho za kiswahili hizo!! Matema beach oooh! Eti Mchawi!
Mkinga akitajirika kidogo tu ajili ya kujinyima oooh! Mchawi.

Ukiwa na mtoto taahira Tu ndani oooh! Mchawi yule.
kamtia mwanae msukule!! Heee! Nyie wagalatia??

Kuna mashoga wangapi hapo bongo? Na mnawalea?? Anzieni hapo kwanza.

Kuiga iga tu !! nyie weusi mnaamini shoga ni kupigwa miti tuuuu!! Baasi!
Hamjui shoga smart hana jinsia huyu!!Hapanuliwi.

Wasio na jinsia bongo wapo wengi tu ila wanaogopa kujitokeza mta wananga!! Lkn huko wasomi wanaelewa sana.

Mweusi Ukisikia shoga tu unasimamisha mwee! Hujui Kuna wengine ni vilema ni double sex!

Mdada nïdude mbovu zote hazifanyi kazi. wangine hawana kabisaa! Pameziba Nyie mnaangalia kiswahili mnoo!! Tena eti mnaiga kuuza nnyaaa zenu!! Ptyuuu!!

Wenzenu majuu siyo hivo! japo kuna wengine kweli wapo, ni km nyie tu hapo bongo!!
Lkn siyo hawa wajeda wote wako ivo usikariri!! Bali Elewa...

Pia inategemea ni organ ipi iko active ili ifanye kazi.ya kukaza au kukazwa.

unaweza kuta dada mzuri Bomba hasa. lkn ana boro kubwa huko chini ni usipime.hawanaga vibamia.

ukijilengesha tu. atakugeuzageuza mpaka ukome Humu hautarudi tena sasa sijui utamsimulia nani....

Vile vile kuna mijike dume kabisaaa ina maku na ina midevu kabisaaa. likikoroma besi utajinyea tena wako bongo hii!!

Flat screen mibabe kabisaa. mumewe akijikoroga tu analo!

Na halitaki kumuacha.linamtia jamaa ake vitasa si kitoto na me hawasemagi "I wish" ungempata wa hivi ili utie akili....hili kisayansi ni tatizo la hormons wewe!!
 
ukitamka yesu sema yesu gani

kama walikuwa matajiri hivo na wakaanzisha www1 kwa nini

waliuawa kwa wingi na kirahis ivo. Mfano Nchini ujermani wayahudi million 6.walikufa.

Rejea Holocoust Massacre. Na wanaadhimisha kila mwaka?? Kwa nini shetani auawe hivo wkt ana uwezo?? si mnamuita Mkuu wa ulimwengu au...

Kwa nini waisraeli hawapendwi Duniani kote ni kwa sababu wana
hela.
Uwezo km wote.
Akili mingi.
hawashindwi jambo wakiliamulia.
mashupavu.
siyo legelege!!
Hawapendi umbea.
Wamejibeba kimaslahi.wao km wao!

Wanapendana na kujaliana Duniani kote.wana mambo yao kivyao.

USA,Israel citizens wanajipenda wao kwa wao kuliko miafrica.Asians Europeans wengi ndo kosa lao kubwa la kuhusishwa na shetani. Wivu wa kike.

wameamua kuwa wao baaasi ndo chanzo cha chuki zote hizi.
hii computer unayosemea ni wao.

Uswahilini au kwenu hapo ukiwa na hela tu ndg zako wanakuchukia Mno uongo? Tena watakuua....

Ukipendwa kwenu basi wee jua ni kapuku wa milele huna nyota ya pesa!

Kwa nini Israel waungwe mkono na USA tu? Na wala siyo urusi?? Au china. Si wana hela pia?

Mbona urusi wanaunga wapalestina mkono hamsemi??

Jibu ni kuwa Hamsemi kwa kuwa hawana hela....wajinga wajinga tu.

hkn mweusi anaetamani kuishi Russia.hata walio kwenda huko kiubishi ni maskini tu mpaka kesho wana tia huruma km kina Dr cheka.....kavuna ukichaaa!!

Shetani wa USA ni mtamu Bana analipa. Kikwete alienda tibiwa USA Ako swafii
jiulize ni wapi Mungu alipo ni wapi shetani kati ya nchi hizo na Africa yako na kumbuka usemi.....fadhili zake ni za milele!!

Na kwa nini USA liwe taifa la shetani toa sababu....Vinginevo una chuki tu fanya kazi wewe...

Tatizo ni kuwa maskini mkiona watu wengine wana hela km Diamond!! NaSasa km UsA,israel nk, roho zinawauma mnamuhusisha na ushetani kwa nini?

Nchi Maskini mnacheka sana! Wala hamsimulii habari yake wala hata kumjua tu. Km nchi ya Mayote hata weye hujui ni wapi!!

Ila kwa sababu USA/ISRAEL ni wababe mnawashobokea na kuwasema mashetani kwa sababu mmewashindwa ndo mlivo!!

hata Africa ilikuwa super power huko nyuma watu walikuwa wana kimbilia africa ya weusi kwa mfano makamanda wazungu km

Napoleon Bonaparte
Alexander de great nk
hamkuwasema, kuwa Misri ilikuwa ya shetani.sababu ni ya waafrica wenzenu,??

Kwa nini leo mnawasema USA.ISRAEL? Sababu tu wana
hela?
ELIMU.
wababe.
Wanawalisha
Mnapewa mikopo
Tech.ya kisasa.
Hamjui kuwa kutesa kwa zamu.si mnasemaga wenyewe??

Ona mnaanza kunyoosha midole. kwa nini nyie hamna??
Kwanza Hata shetani tu hawataki??

Kwa hiyo wewe una soma na kula hela ya misaada ya shetani?? Mna ushirika na shetani unadhani utaenda mbinguni? Ki vipi!! Si ndo wanawalea au...

Soko la kariakoo unapouzia vihepe wamejenga wao.
UDISM wao.
Hotel 777 wao
Kilimanjaro hotel wao.
Ikulu wao
Kia.
jnia weee!

Hela mnapewa mnasonsomela vya shetani mbona hamuachi???
mbona hamjaacha kusoma pale kwa chuo cha shetani?

Mmejazana ubalozi wa USA kila siku kumbe mnaenda kwa shetani tena mnalipa cash...

Kwani freemansons si mjenzi huru? Na kweli USA citizens wako huru!!
Sasa amekosea kuwa huru au?

Maskini mswahili akiona Mtu ana mijengo.vijibasi tu oooh! Freemanson.

Acheni roho za kiswahili hizo!! Matema beach oooh! Eti Mchawi!
Mkinga akitajirika kidogo tu ajili ya kujinyima oooh! Mchawi.

Ukiwa na mtoto taahira Tu ndani oooh! Mchawi yule.
kamtia mwanae msukule!! Heee! Nyie wagalatia??

Kuna mashoga wangapi hapo bongo? Na mnawalea?? Anzieni hapo kwanza.

Kuiga iga tu !! nyie weusi mnaamini shoga ni kupigwa miti tuuuu!! Baasi!
Hamjui shoga smart hana jinsia huyu!!Hapanuliwi.

Wasio na jinsia bongo wapo wengi tu ila wanaogopa kujitokeza mta wananga!! Lkn huko wasomi wanaelewa sana.

Mweusi Ukisikia shoga tu unasimamisha mwee! Hujui Kuna wengine ni vilema ni double sex!

Mdada nïdude mbovu zote hazifanyi kazi. wangine hawana kabisaa! Pameziba Nyie mnaangalia kiswahili mnoo!! Tena eti mnaiga kuuza nnyaaa zenu!! Ptyuuu!!

Wenzenu majuu siyo hivo! japo kuna wengine kweli wapo, ni km nyie tu hapo bongo!!
Lkn siyo hawa wajeda wote wako ivo usikariri!! Bali Elewa...

Pia inategemea ni organ ipi iko active ili ifanye kazi.ya kukaza au kukazwa.

unaweza kuta dada mzuri Bomba hasa. lkn ana boro kubwa huko chini ni usipime.hawanaga vibamia.

ukijilengesha tu. atakugeuzageuza mpaka ukome Humu hautarudi tena sasa sijui utamsimulia nani....

Vile vile kuna mijike dume kabisaaa ina maku na ina midevu kabisaaa. likikoroma besi utajinyea tena wako bongo hii!!

Flat screen mibabe kabisaa. mumewe akijikoroga tu analo!

Na halitaki kumuacha.linamtia jamaa ake vitasa si kitoto na me hawasemagi "I wish" ungempata wa hivi ili utie akili....hili kisayansi ni tatizo la hormons wewe!!


Angalia mwenyewe maandamano ya wayahudi wasenge huko Jerusalemu halafu uniambie hapa Afrika uliwahi kuyaona au kusikia haya mambo ??



 
Hizi ni silaha mbili tofauti kabisa mkuu. Iron Dome imetengenezwa kwa ajili ya kutungulia MAKOMBORA ya masafa mfupi umbali wa Kilomita 4 hadi 70. Huku S-400 (Multi-Role) imetengenezwa kwa ajili ya kutungulia NGEDE na MAKOMBORA ya masafa marefu na mafupi. Huu ndiyo utofauti unaofanya S-400 kuwa silaha bora zaidi.
 
Maelezo meengi hayana facts wala evidence.

Wayahudi mnawaona watu wema sana, lakini tambua kuwa hawaukubali ukristo na yesu hawamtambui pia. Na wakristo walioko israel hawafiki asilimia 3.


Sikiliza wanachoulizwa kuhusu yesu

Nimependa hapo mwanzo kabisa alipoulizwa nae akajibu "Christian prophet"
 
Orthodox makanisa yake yamejaa huko Palestina, na nchi zote za middle East. Hata Africa mataifa makongwe Kama Egpty na Ethiopia makanisa yao ni Orthodox.

Hivyo hakuna mahusiano baina ya orthodox na Israel.

Pia mujifunze kutofautisha jews na Israel,
Kuna ma jews kibao wapo Against Israel, Israel ni mazayuni kundi ambalo lipo ndani ya Uyahudi, ila si mayahudi wote ni Israel.

Mataifa yote yanayompiga Israel hupata Msaada toka kwa Warusi, mfano vita ya 1973 baina ya Egpty na Israel ni Mrusi aliemsaidia Egpty, na Hata wanamgambo wa Hezbollah na Syria tu najua wapi wa napata msaada.

Hivyo ingekuwa Mrusi ni ally wa Israel asingesaidia kumpiga.
Hezbollah anapata silaha toka Iran.
 
Nimependa hapo mwanzo kabisa alipoulizwa nae akajibu "Christian prophet"


Wayahudi weusi wanajifanya kutoliona hilo 😁 Mara utawasikia oh taifa teule lile, mara oh ukiibariki israel utabarikiwa bila shaka,, ukiilaani utalaaniwa. Nyambafu zao
 
Hizi ni silaha mbili tofauti kabisa mkuu. Iron Dome imetengenezwa kwa ajili ya kutungulia MAKOMBORA ya masafa mfupi umbali wa Kilomita 4 hadi 70. S-400 (Multi-Role) imetengenezwa kwa ajili ya kutungulia NGEDE na MAKOMBORA ya masafa marefu na mafupi. Huu ndiyo utofauti unaofanya S-400 kuwa silaha bora zaidi.

Ngoja waje wale watandale wakubishie mkuu, kama hawajatuongopea Iron dome ina uwezo wa kufika mwezini
 
Angalia mwenyewe maandamano ya wayahudi wasenge huko Jerusalemu halafu uniambie hapa Afrika uliwahi kuyaona au kusikia haya mambo ??




sawa. Kariakoo wapo wasenge si kawaida wanajificha.
ila ukiwa basha mbona utawapata Kirahisi.
Kwa macheni.kinondoni makaburi wengi tu.
Tatizo wewe ni wa Mkoa kabisaa!!
mdasalam hawezi ongea hivi.
 
sawa. Kariakoo wapo wasenge si kawaida wanajificha.
ila ukiwa basha mbona utawapata Kirahisi.
Kwa macheni.kinondoni makaburi wengi tu.
Tatizo wewe ni wa Mkoa kabisaa!!
mdasalam hawezi ongea hivi.
Sorry ,Kariakoo si mji mtakatifu Na watu Wake si wateule wa Mungu
 
Hizi ni silaha mbili tofauti kabisa mkuu. Iron Dome imetengenezwa kwa ajili ya kutungulia MAKOMBORA ya masafa mfupi umbali wa Kilomita 4 hadi 70. Huku S-400 (Multi-Role) imetengenezwa kwa ajili ya kutungulia NGEDE na MAKOMBORA ya masafa marefu na mafupi. Huu ndiyo utofauti unaofanya S-400 kuwa silaha bora zaidi.
Adui yako anae kusumbua usiku na mchana yuko ndani ya km 4 mpaka 70. Lazima utengeneze kwa urefu wa masafa hayo mafupi!

Mbona ni akili za chekechea tu kulijua hili?

Angekuwa mweusi mpenda misifa misifa, km wewe angetengeneza ya masafa ya mwezini bila faida!

zaidi ni ili apate sifa za kijinga.unamdhiti nani huko mwezini km si utoto?????!!.

lengo ni kummaliza na kumdhoofisha adui yako.masafa narefu ya nini?

Kwa Nchi km urusi china na Usa wao ni sawa wawe nayo....ajili ya kupambana na IBM...

adui yako hapa karibu yako hujamdhiti bado yuko salama si atakumaliza tu ki ulaini kabla hujarusha hilo bomu lako la masafa?
 
Sorry ,Kariakoo si mji mtakatifu Na watu Wake si wateule wa Mungu
Mie nachelea kusema naongea. Na kilaza flani hivi .
Wateule wa Mungu ni weusi pii.sisi wabantu ndiyo wana wa Israel original.tulio ng'ambo ya kush.

Yesu ni mweusi pia tiii.Km sisi.
Manabii wote ni weusi tii.

Wewe na yesu wako mzungu ndo si wateule wa Mungu na mtakufa jehanamu. Na ka yesu kenu.

Lkn sisi wayahudi kamwe.hatutaijua jehanum Mungu alisema. Na tunajijua vyema. Akisema Mungu ni amesema.
 
Adui yako anae kusumbua usiku na mchana yuko ndani ya km 4 mpaka 70. Lazima utengeneze kwa urefu wa masafa hayo mafupi!

Mbona ni akili za chekechea tu kulijua hili?
Maadui wakubwa wa Israeli siyo Hamas wala PLO na wako maelfu ya kilomita mbali kabisa na Israeli.
Pili, lengo lingine la silaha ni biashara, hivyo teknolojia ya Irone Dome haitumiwi na Israel pekee.
 
Maadui wakubwa wa Israeli siyo Hamas wala PLO na wako maelfu ya kilomita mbali kabisa na Israeli.
Pili, lengo lingine la silaha ni biashara, hivyo teknolojia ya Irone Dome haitumiwi na Israel pekee.
Mosad Al Abet special branch ndiyo kazi ya maadui wa mbali.

Hawatumii nguvu. Bali ni kiubwete tu unatiwa adabu.
Si unakumbuka 90 Minutes at Entebe air port. Siyo fantasy ile.

Pili biashara ya kuingizia nchi fedha siyo mpaka uuze siraha.kuna sheria za kimataifa zinazozuia hayo.

israel wanaongoza kilimo cha matunda matamu na mboga mboga za kila aina pale middle east.

Wana export uingereza then yanarudi kwa Maadui zao waarabu km products za UK!!

Nchi rafiki za kiarabu km saudia.jordan.Misri wanapeleka moja kwa moja kuuza.

Tech.Ya Irone dome Ni Mali YA Israel iligunduliwa na myahudi Mac Baum chubby. waliiuzia Urusi kwa pesa mingi.

Wao hawauzi siraha wanauza technologia za aina zote ikiwa ni pamoja na za siraha. Utajua wewe cha kufanyia

Na wakikuuzia tu wana njia mbadala
 
Mie nachelea kusema naongea. Na kilaza flani hivi .
Wateule wa Mungu ni weusi pii.sisi wabantu ndiyo wana wa Israel original.tulio ng'ambo ya kush.

Yesu ni mweusi pia tiii.Km sisi.
Manabii wote ni weusi tii.

Wewe na yesu wako mzungu ndo si wateule wa Mungu na mtakufa jehanamu. Na ka yesu kenu.

Lkn sisi wayahudi kamwe.hatutaijua jehanum Mungu alisema. Na tunajijua vyema. Akisema Mungu ni amesema.

Shukrani Myahudi wa uwanja wa fisi Manzese
 
Back
Top Bottom