matokeo yao pia ni ya kisela.
Chakushangaza kipi?
Darasa lina wanafunzi 19 tu.
9 wamepata daraja la nne. Na 10 wamefeli kabisa.
Matunda ya shule za kata.
Mtu hajui kusoma wala kuandika anafaulu kwenda sekondari.
Mtiani wa kuwachuja wakiwa kidato cha pili, ukafutwa.
Wakawa wanapita tu, ukianza kidato cha kwanza, unanyoosha mpaka mtiani wa kidato cha nne.
SISHANGAI.
majina yameisha mpk shule iwe na jina hili??
Hilo ni Jina la Kata/Kijiji kipo Tarafa ya Mondo, Wilayani Kishapu mkoani Shinyanga, Tanganyika
Unaweza ukadhani ni masihara ila ni ukweli mtupu Shu,e inaitwa Masela sec school na matokeo yake ni haya:
div-i=0, div-ii=0, div-iii=0, div-iv=9, FLD=10.
Unaweza ukadhani ni masihara ila ni ukweli mtupu Shu,e inaitwa Masela sec school na matokeo yake ni haya:
div-i=0, div-ii=0, div-iii=0, div-iv=9, FLD=10.
hii itakuwa vijana waliofeli la 7 walijikusanya na kuanzisha shule yao
Mh! Majina mengine,tabu kwelikweli.
Pengine ndio maana wanafunzi nao wamepata 'divisheni za masela'.