tena sana tu! mwanamke, mtoto na mpambe mwingine walikuwa wameruhusiwa kupita lakini wakagoma eti hawawezi kwenda bila Padri-Tapeli. eti anakuja kufanya campaign za kisiasa Rwanda? sasa ndio uje kwa kutumia passport ya nje na viza ya kitalii? ni lini watu watajuwa ya kwamba nchi ya Rwanda ni yakisheria? juzi tumemtimua mama mwingine wa Kizungu kwa kuja na viza za kiutalii na kuanza kutaka kusimamia kesi za materrorist, Padri nae eti wacha na mimi nipime maji, utawazaje uraisi bila hata ya kuelewa mambo madogo ya kisheria kama haya? damu zitawatesa!
Duh,aisee,tayari na padri Nahimana mmeshamkabidhi kesi ya genocide? Mnatisha wazee!tena sana tu! mwanamke, mtoto na mpambe mwingine walikuwa wameruhusiwa kupita lakini wakagoma eti hawawezi kwenda bila Padri-Tapeli. eti anakuja kufanya campaign za kisiasa Rwanda? sasa ndio uje kwa kutumia passport ya nje na viza ya kitalii? ni lini watu watajuwa ya kwamba nchi ya Rwanda ni yakisheria? juzi tumemtimua mama mwingine wa Kizungu kwa kuja na viza za kiutalii na kuanza kutaka kusimamia kesi za materrorist, Padri nae eti wacha na mimi nipime maji, utawazaje uraisi bila hata ya kuelewa mambo madogo ya kisheria kama haya? damu zitawatesa!
Wakaanzishe huko huko walikotoka. Wakamuombe Kayumba atawashauriwamefanya uhalifu gani tena? Kuanzisha chama cha siasa?
Wewe enjoy clean air ya kigali labda itasafisha hiyo roho ya ki interahamweNajua hilo ndio maana nawainjoi...
Si ndio unafiki wako huo. Ukirudi kwenu unawadanganya watz eti unaichukia rwanda. Mnafiki mkubwa wewe.nikiwa kigali nainjoy zaidi ya clean air.... know what i mean?
Don't have time to dig up thousands and thousands of you vitriol of Rwanda and our leadership. Everyone here knows that, so don't try to deny it. You OWN it.onyesha comment moja tu niliyowahi kusema naichukia Rwanda. Moja tu! Ukishindwa basi wewe ndio mnafiki.
Wanachosumbua nini? Padri Nahimana kuja kugombea uraisi tenaHongera Gen zuia hao wajamaa wanasumbua wakati nchi imetulia...walikuwa wapi wakati mkipambana kuijengaa...
Kugombea uraisi tena kidemokrasia ni kusumbua watu? Maana ya demokrasia ni nini? Hebu peleka ujinga wako hukohuko kwenu.Hongera Gen zuia hao wajamaa wanasumbua wakati nchi imetulia...walikuwa wapi wakati mkipambana kuijengaa...
Nduguu zenuwaliokimbilia marekani NA UK wanakuja NA Ppt za Rwanda???tena sana tu! mwanamke, mtoto na mpambe mwingine walikuwa wameruhusiwa kupita lakini wakagoma eti hawawezi kwenda bila Padri-Tapeli. eti anakuja kufanya campaign za kisiasa Rwanda? sasa ndio uje kwa kutumia passport ya nje na viza ya kitalii? ni lini watu watajuwa ya kwamba nchi ya Rwanda ni yakisheria? juzi tumemtimua mama mwingine wa Kizungu kwa kuja na viza za kiutalii na kuanza kutaka kusimamia kesi za materrorist, Padri nae eti wacha na mimi nipime maji, utawazaje uraisi bila hata ya kuelewa mambo madogo ya kisheria kama haya? damu zitawatesa!
Shangaa mkuu,kimsingi paka na Watusi wenzie hawana chao Rwanda iwapo wataruhusu vyama vya siasa vifanye kazi za kisiasa kwa ukweli! Rejea jinsi mama victoire ingabire anavyonyanyaswa na serikali ya Watusi ni kwa sababu alikuja Rwanda katika sura ya upinzani halisi na angeruhusiwa kugombea tu,paka saahizi angekuwa jela. Hata padri Nahimana,amezuiliwa kuingia Rwanda kwa sababu paka hawezi kushindana nae maana ndani ya uchaguzi paka atagaragazwa kama mende. Nashangaa ile %97 iliyomuunga mkono kugombea kwa mara ya tatu IPO wapi maana angejivunia hiyo kama mtaji wake wa kumshinda Nahimana kwenye uchaguzi.Nduguu zenuwaliokimbilia marekani NA UK wanakuja NA Ppt za Rwanda???
habari inasemaje? habari yenyewe ndio tatizo zaidi, kelele tupu ooh serikali ya Rwanda hatuipati kwenye simu... wako busy! wana kazi za muhimu za kufanya kwanza, haya kawaulize wenyewe kilichowafanya wabounce, kama kawakosa viongozi wa serikali basi mwandishi wako kashindwa hata kuwauliza kilichowasibu wahusika! yani wewe ukiona habari inayoisema Rwanda vibaya yani ndio baaasi, hata mwisho wakusoma hautafakari kama kweli mda wako umeutumia vizuri? wenzako washarudi makwao, hivi washajuwa maana ya kutii sheria!wazee wa blah blah kama kawaida yenu, hizo theory zako umezitoa wapi tena?
1. Habari inasema
"As we were preparing to embark, we were greatly surprised to be given the message by Kenya Airways' agents that Rwanda's government had just denied us the right to board this flight and the right of entry to Rwandan territory." Unaelewa maana ya "us" au na wewe hujui kingereza? Hizo habari zako kuwa aliyekataliwa ni huyu priest peke yake wewe umezitoa wapi mwenzetu?
2. Padri ni raia wa nchi gani unavyojua wewe? Ana passport ya nchi gani? Na ni wapi habari inasema ana visa ya kitalii?
Tufanye uzushi wako ni kweli: Kwa nini serikali ya Rwanda ipaniki na kumzuilia kenya? Kama mtu anayo visa ya kuja Rwanda si angeingia kwanza Rwanda na ndipo hapo wamkamate kama atakuwa anafanya shughuli ambazo ziko nje ya visa ya kitalii? Uende shule kijana bado umri wako unakuruhusu!
yaleyale! umuhimu sio Ppt ya Rwanda au ya wapi... cha muhimu ni kutimiza sheria!Nduguu zenuwaliokimbilia marekani NA UK wanakuja NA Ppt za Rwanda???
habari inasemaje? habari yenyewe ndio tatizo zaidi, kelele tupu ooh serikali ya Rwanda hatuipati kwenye simu... wako busy! wana kazi za muhimu za kufanya kwanza, haya kawaulize wenyewe kilichowafanya wabounce, kama kawakosa viongozi wa serikali basi mwandishi wako kashindwa hata kuwauliza kilichowasibu wahusika! yani wewe ukiona habari inayoisema Rwanda vibaya yani ndio baaasi, hata mwisho wakusoma hautafakari kama kweli mda wako umeutumia vizuri? wenzako washarudi makwao, hivi washajuwa maana ya kutii sheria!
sasa kamahauelewi uraia wake, hii habari imekusaidia nini? timizeni sheria! hii ni Rwanda mpya.
NB: kizuri zaidi, hakuna mnyarwanda aliyewagusa, sasa wakenya wangekubali kufanya kinyume cha sheria? EATV inamaana yake! si tumewakumbusha tu ndugu zetu wakenya kuhusiana na utaratibu wa kisheria wakaangalia wakaona tuna make sense ndio kuwaambia hata ile kulala Transist nayenyewe ni kinyume na sheria, hairuhusiwi! hivi tunaongea wengine washafika makwao.
hata ukiwa mnyarwanda lazima utimize sheria jMali !
By "everyone here" i think you mean these thousands of day-old profiles waxing lyrical about Kagame and nothing else....Don't have time to dig up thousands and thousands of you vitriol of Rwanda and our leadership. Everyone here knows that, so don't try to deny it. You OWN it.