Rwandan Government Refuses Entry to a 7-month old Rwandan baby returning from exile.

nje ya nchi! kimagendo kwa sababu hakusubili utaratibu wa ubalozini! Ppt alikuwa kakubaliwa lakini ndugu yako kungojea kaona kazi, akajiona anaakili akatumia uraia wake mwingine nakwenda kuwabambikizia wakenya, ndio maana wakamtimua baada ya kujuwa ukweli! duh ila hiyo kali kumchungulia mkeo? umenivunja mbavu!
wamemtimua wakenya au nyinyi mmekataa asiende Rwanda? Umeshaanza kubadilisha moja iwe mbili against facts. Ndio unamchungulia mkeo, we umeona wapi mtu anaambiwa eti anazamia nchini kwake?
 
wamemtimua wakenya au nyinyi mmekataa asiende Rwanda? Umeshaanza kubadilisha moja iwe mbili against facts. Ndio unamchungulia mkeo, we umeona wapi mtu anaambiwa eti anazamia nchini kwake?
lol!!! jMali leo naona unataka kunivunja mbavu ndugu yangu! moja ishakuwa mbili kivipi? sisi tulikataa lakini hatukumgusa tuliwaambia tu wakenya ukweli wa mambo! wakenya ndio waliomtimua! wakamuambia hata ile michezo yao ya kujilaza transit na watoto wachanga hairuhusiwi kwa sababu wamefika Nairobi kimagendo, alafu acha kuchanganya mambo kuzamia ilikuwa ni mfano wa kukufanya uelewe kisomo nnachokupa yani kama vile padri-tapeli alivyosema ubalozini eti PPt yake imeisha akakubaliwa nyingine January!
 
lol!!! jMali leo naona unataka kunivunja mbavu ndugu yangu! moja ishakuwa mbili kivipi? sisi tulikataa lakini hatukumgusa tuliwaambia tu wakenya ukweli wa mambo! wakenya ndio waliomtimua! wakamuambia hata ile michezo yao ya kujilaza transit na watoto wachanga hairuhusiwi kwa sababu wamefika Nairobi kimagendo, alafu acha kuchanganya mambo kuzamia ilikuwa ni mfano wa kukufanya uelewe kisomo nnachokupa yani kama vile padri-tapeli alivyosema ubalozini eti PPt yake imeisha akakubaliwa nyingine January!
wakenya wana haki ya kumtimua kwa sababu Kenya sio nchini kwake, nchini kwake wewe na mimi hatuna wasiwasi kuwa ni Rwanda. Mtu ambaye unakiri kuwa passport yake iko njiani unamzuia vipi kuingia nyumbani? Hapo kubali tu kuwa unamchungulia shemeji tena kama anavyosema daimond macho kodoo...:D
 
wakenya wana haki ya kumtimua kwa sababu Kenya sio nchini kwake, nchini kwake wewe na mimi hatuna wasiwasi kuwa ni Rwanda. Mtu ambaye unakiri kuwa passport yake iko njiani unamzuia vipi kuingia nyumbani? Hapo kubali tu kuwa unamchungulia shemeji tena kama anavyosema daimond macho kodoo...:D
yaleyale! kwani nyumbani alikuwa kafika? sasa, iko njiani ndio kuwa nayo mikononi? basi kama ni hivyo kulikuwa hakuna hata umaana wa kuiomba, si ndio? dah jMali unaniangusha sasa! sijuwi hata nisemeje, kwani sijui nichuki kama kawaida yako au nikutoelewa tu utu tujimambo? jifunzeni kufuata taratibu tulizojiwekea duniani!
 
lol! it seems you always like to have a final word! ulitaka arudi kwa kutofwatisha sheria? I am not going to give you that chance because your guy is a fraud! jMali ujinga na chuki vinakuharibu sana! hebu hukohuko uliko, tafuta wale wazamiaji wa SA wakuambie mambo yakiharibika wanakimbilia wapi? ni ubalozini hakuna kwingine! na pale lazima usubili documents lasivyo hata ndenge hupandi! hayo mambo madogo hata JustDoItNow anayajuwa nafikiri ndio maana kakaa kimya, sasa huyu ndugu yako ye kajiona mjanja akaamuwa awadanganye wakenya, kuona orodha ya wanaokuja Kigali tukaona jina la tapeli wako, sasa si tufanyeje? tulichokifanya ni kuwaambia wakenya padri kafika hapo kimagendo, kazi kwao! sasa we unaowashinda maarifa mbona haukumpandisha ndege kinguvu? hivi yuko kwake anasikilizia nauli na mda aliopoteza!
mzee wa sumu ongea kiswahili basi. Mbona sikuelewi?......LOL
Au ndo kitusi chenyewe hicho?
 
Kwa faida ya wengine ni kwamba yule mama mwenye mtoto mbali na kua ni mnyarwanda pia ana uraia wa Canada na aliku na visa ya Rwanda. Yule padri nae passport yake ya Rwanda iliisha muda wake mwaka 2012 na aliomba renewal na alishalipia kabisa lakini ubalozi wa Rwanda Paris walimwambia akifika Rwanda atakuta passport yake ikiwa tayari, ikumbukwe huyu naye ana uraia wa France.kwa vile siku ya safari yao ilikua imebaki siku chache na ubalozi wa Rwanda ulikua kama umegoma kumpa viza kwa kutumia ppt yake ya france Kaamua kuomba viza ya utalii kutoka ubalozi wa kenya inayomruhusu kitembelea Kenya, Uganda na Rwanda. Yule wa tatu nae alikua anatokea South africa anakosoma miaka ya nyuma alikua anaishi Malawi kama mkimbizi na alikua na viza ya Rwanda. Wote walikua wana nyaraka zote halali zinazowaruhusu kuingia Rwanda otherwise wasingekubaliwa kupanda ndege kule walikoanzia safari zao (France, Canada na S.A) serikali ya Rwanda kwa sababu wanazozijua wao waliwaambia KQ kua wasiwapakie kwenda Kigali. NB: ni muda sasa serika ya H.E Paul Kagame ikubali kupata mawazo mapya/kukosolewa.
Tunashukuru kwa somo. News za rwanda huwa ni za ubaya na kuuana tu. Sijui kwanini asee.
 
yaleyale! kwani nyumbani alikuwa kafika? sasa, iko njiani ndio kuwa nayo mikononi? basi kama ni hivyo kulikuwa hakuna hata umaana wa kuiomba, si ndio? dah jMali unaniangusha sasa! sijuwi hata nisemeje, kwani sijui nichuki kama kawaida yako au nikutoelewa tu utu tujimambo? jifunzeni kufuata taratibu tulizojiwekea duniani!
Ndio maana mkawasusia Kenya kwa kuwa angefika tu Kigali Airport msingeweza kumpeleka kokote. Hakuna kitu kinaitwa "kuzamia" nchini kwako mwenyewe! ...Macho kodo :)
 
ninayemjibu ndie aliyesema kuwa yeye ni mtutsi, refer kwenye majibizano yake mimi na yeye badala ya kudandia treni kwa mbele kama kawaida yako! Kwani lazima nikijadili na mtu wewe uingilie? Halafu unasema nibaki huko huko wapi? Sasa hivi niko wapi? :D

Kwa miaka mingi Tanzania imekuwa ikijigamba na kufahamika kama bingwa wa usawa - makabila yote sawa, kukiwa na kiwango cha juu kabisa cha kuingiliana miongoni mwa makabila tofauti. Lakini ni aibu kwa Tanzania kutofanya lolote 'kuambukiza' kwa nchi jirani za Rwanda na Burundi. Na ni aibu kwao kutotuiga
 
Safi sana kama ni mchanganyiko wa hayo makabila. Naamini inaweza kuwa ndio mwisho wa mambo ya kizamani ya kutizamana pua.

Huyu padri kawashika pabaya, chama kinaundwa na vijana kwa hiyo gia ya kuwasema ni genocidaires haipo, halafu kimejaa watutsi na wahutu kwa hiyo kuwasingizia ukabila nako haiwezekani. Vijana wenyewe wamekulia nje ni wasomi watupu sio vilaza, wanapiga hoja balaa! Ndio maana wamewazuia juu kwa juu wasiingie nchini. Wakiingia itakuwa tabu kuwazuia usajili kwa kuwa hakuna kisingizio chochote kwao. Wakisajisajili kifuatacho mzee wa 97% atapata namba za viatu!
 
lol! mimi ni f.ala kiasi cha kutambua utaratibu wa kuishi mjini wewe! kwani waliotimuliwa na operesheni kimbunga ulitaka tuwatupe baharini kama alivyofanya mkwere? tuliwaweka kando tukaanza kuwachuja, tuliokuta ni wanyarwanda wa kweli tuliwaintegrate na waliosingiziwa tuliwakabidhi UNHCR! upo hapo? uwa unatatizo lakuchukulia mambo juu juu bila ufahamu huku ukiweka uinterahamwe mbele ya vyote! kwa nani kakataa kuwa wao sio wanyarwanda? kwanza mi siongelei hao wengine waliosusa kuendelea na safari! naongelea padri-tapeli, sasa wanyarwanda ni bora saaana kiasi cha kutotimiza sheria? hivi unajuwa kuwa alikuwa amekubaliwa Ppt ya Rwanda ubalozini ufaransa? ilikuwa imfikie January 2017! je unajuwa kabla ya kutaka kwenda Rwanda tokea mwaka 2014 alikuwa keshatangaza kwenda kugombea uraisi Rwanda(officially)? sasa kitu gani kilichokuwa kimemzuia kuomba Ppt mapema na kushtukia dakika za mwisho? ni akili ndogo tu! kwa hiyo unaona wakenya wajinga? tulichokifanya ni kuwaambia hatumtaki tapeli huyo, wakaangalia wakalidhika wakamtimua kwisha habari! shauku ya uchaguzi imemponza, akasubili Ppt yake January! mambo madogo kama haya yanakushinda kuyaelewa je wafuasi wako kama kina JustDoItNow ndio itakuwaje? chuki mbaya aisee, inayeyusha hadi akili ya kufikiri? jirudi jMali bado unawakati...

Afadhali sasa umesema ukweli,"Shauku ya uchaguzi imemponza"
 
Back
Top Bottom