Rwanda yajiunga rasmi na Jumuiya ya Madola

Rwanda yajiunga rasmi na Jumuiya ya Madola

X-PASTER

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2007
Posts
11,604
Reaction score
1,858
Rwanda yajiunga rasmi na Jumuiya ya Madola

Bendera ya Rwanda inatarajiwa kupeperushwa kwa mara ya kwanza mjini London, katika makao makuu ya jumuiya ya madola.

Rwanda ambayo ilikuwa koloni ya Ubelgiji, ilijiunga kama mwanachama wa hamsini na nne wa jumuiya hiyo ambayo hutumia kiingereza kama lugha rasmi Novemba mwaka uliopita.

Waandamanaji wamesema watafanya wataandamana kulalamikia rekodi mbovu ya haki za kibinadam ya Rwanda.

Lakini akiongea na BBC, waziri wa masuala ya nchi za kigeni wa Rwanda Louise Mushikiwabo amesema raia wenzake wa Rwanda wana haki zote wanazohitaji.
 
Rwanda yajiunga rasmi na Jumuiya ya Madola

Bendera ya Rwanda inatarajiwa kupeperushwa kwa mara ya kwanza mjini London, katika makao makuu ya jumuiya ya madola.

Rwanda ambayo ilikuwa koloni ya Ubelgiji, ilijiunga kama mwanachama wa hamsini na nne wa jumuiya hiyo ambayo hutumia kiingereza kama lugha rasmi Novemba mwaka uliopita.

Waandamanaji wamesema watafanya wataandamana kulalamikia rekodi mbovu ya haki za kibinadam ya Rwanda.

Lakini akiongea na BBC, waziri wa masuala ya nchi za kigeni wa Rwanda Louise Mushikiwabo amesema raia wenzake wa Rwanda wana haki zote wanazohitaji.
huyu mkuu naona anacheza na wafaransa,naona amesahau yaliyomkuta patrice lumumba.
 
Mi nilifikiri nchi za Jumuiya ya Madola ni zile zilizo tawaliwa na Mwingereza tu!
 
Mi nilifikiri nchi za Jumuiya ya Madola ni zile zilizo tawaliwa na Mwingereza tu!

Mkuu siku hizi imeingia kasumba big is good. Kila unachofanya lazima kiwe big ... ... lazima mzaliane muwe wengi kama Wachina au Wahindi, ukila lazima ule sana yaani chakula kingi sana, ukienda kijisaidia lazima unye mavi mengi sana basi tu anything big is good for you. Huoni hata EAC lazima iwe big hata na Afrika tuungane tuwe big kuwashinda USA kwa eneo. Think big ... .... ... hata EU wanaungana wana-think big.
 
Mkuu siku hizi imeingia kasumba big is good. Kila unachofanya lazima kiwe big ... ... lazima mzaliane muwe wengi kama Wachina au Wahindi, ukila lazima ule sana yaani chakula kingi sana, ukienda kijisaidia lazima unye mavi mengi sana basi tu anything big is good for you. Huoni hata EAC lazima iwe big hata na Afrika tuungane tuwe big kuwashinda USA kwa eneo. Think big ... .... ... hata EU wanaungana wana-think big.
Sasa mbona nasikia tena bongo kuna wanasiasa wanataka kuvunja muungano? Au wao hawataki hiyo big is good!?
 
Back
Top Bottom