Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,000
- 9,862
Naona wakopaji wa mabenki wamepata nafuu ya kuomba kuongezewa muda wa kulipa.
Kenya wameshafanya hivyo pia.
Wanao naona wametoa nyongeza ya mwaka mmoja kwa wakopaji wote.
Wamekupunguzia muda wa kulipa deniTanzania chini ya CCM wamechukua hatua gani...
Tanzania chini ya CCM wamechukua hatua gani...
Kwahiyo ulikua unakopa huku ukisubiria korona upatie pa kulia lia, dawa ya deni ni kulipa.Tanzania chini ya CCM wamechukua hatua gani...