Rwanda To Fund 66% Of Its Budget

Rwanda To Fund 66% Of Its Budget

Usiwasikilize wapiga debe hao.
Budget ya Tanzania inajitegemea kwa 70% na iko funded kwa 30%.
Budget ya Rwanda inajitegemea kwa 66% na iko funded kwa 34%.
Sasa hapo nani ni afadhari?

Mkuu correct me if iam wrong, budget yetu itategemea wahisani kwa 8% tu according to waziri.
 
Linganisha pia na matumizi. Gharama za kuhudumia hako kawilaya na gharama za kuhudumia Tanzania nzima. Na hatujawazidi 4%, according to our budget tutafinance 91.6%! Hivyo fanya 91.6%-66%

You clearly live in a fantasy land I suspect.
 
You clearly live in a fantasy land I suspect.

Mwenye fantasy mimi au wewe? Budget yetu inajitegemea kwa 91.6% ya kwenu 66%, budget zote zimetangazwa kwenye mabunge. Is that a fantasy? Gharama za kuhudumia Tanzania nzima hazilingani na gharama za kuhudumia nchi kama jimbo la samuel sitta? Is that a fantasy? Wewe ndio unaishi kwenye fantasy ya kujifanya uko marekani wakati unaibuka JF mida wamarekani wamelala!
 
Mwenye fantasy mimi au wewe? Budget yetu inajitegemea kwa 91.6% ya kwenu 66%, budget zote zimetangazwa kwenye mabunge. Is that a fantasy? Gharama za kuhudumia Tanzania nzima hazilingani na gharama za kuhudumia nchi kama jimbo la samuel sitta? Is that a fantasy? Wewe ndio unaishi kwenye fantasy ya kujifanya uko marekani wakati unaibuka JF mida wamarekani wamelala!
Do I need to prove my residency? I don't think so...have a nice day.
 
Actually you don't tha'ts the point! :becky:

Chronic dillusional...hivi bado una harbour your ideology? Baba yako ndo anakaribia kung'atuka na huyo unaemtaka arithi hatafanikiwa sasa sijui utakimbilia wapi...kaa pembeni uone how real politics are played.
 
Back
Top Bottom