Akili gani hapo upoteza $30m kutangaza Vist Rwanda wakati hata cha ku vist akipo, wanyarwanda wanakufa njaa ni masikini unapoteza 70bn Tanzania shilling huo ni upumbavu.Kagame ana akili sana.
Huyu wa kwenu anawaza Nini sijui
Alianzia EpL akaenda league one na ss laliga. Angekuwa hapati faida asingeendelea kufanya hivyoAkili gani hapo upoteza $30m kutangaza Vist Rwanda wakati hata cha ku vist akipo, wanyarwanda wanakufa njaa ni masikini unapoteza 70bn Tanzania shilling huo ni upumbavu.
Punguani wewe,Sekta ya Utalii Tanzania Ndio inaongoza kuchangia pato la taifa.Akili gani hapo upoteza $30m kutangaza Vist Rwanda wakati hata cha ku vist akipo, wanyarwanda wanakufa njaa ni masikini unapoteza 70bn Tanzania shilling huo ni upumbavu.
KUIBA kuraKagame ana akili sana.
Huyu wa kwenu anawaza Nini sijui
Ni mradi wawatu ungekua unafaida kwa wanyarwanda along toka EPL na kuenda ligi nyingine, kwasbb hamna mtu anae angalia ligi nyingine bila kua anafuatilia epl, mkuu huyu mtu ni sycophant wa wazungu anatumikiashwa to cover up uchafu mqingi anao fanya Rwanda.Alianzia EpL akaenda league one na ss laliga. Angekuwa hapati faida asingeendelea kufanya hivyo
Tangu 2021 anawaza tuuu😂KUIBA kura
Ukiwa unabagi kichwani usije jf kwasbb unajidhalilosha mpumbavu mkubwa mada ni Rwanda sio Tanzania huwezi kulinganisha Rwanda na Tanzania watu 65m kwa watu 12m land coverage mara 50 ya Rwada GdP ya $68bn kwa GDP ya $9bn, mkuu acha kulewa mchana uwe unavuta usiku basi.Punguani wewe,Sekta ya Utalii Tanzania Ndio inaongoza kuchangia pato la taifa.
Achana sekta nyingine zinazolishwa na utalii.
Hizi Ndio vitu tulitakiwa kuvifanya Tanzania kuwa Tourisim Hub,
Bilioni 7 sio kitu,Nitakupa tu mchanganuo, mdogo
Ziltengwa bilioni 30 kukarabati uwanja wa taifa,Bila shaka zimepigwa,Kuna magari ya wakurugenzi yananunuliwa milioni 500 huko
Haya ni maeneo machache tuu.
Lakini zingwekezwa kutangazwa utatalii zingeleta Tija japo zingepigwa pia,mkataba wa bilioni 70 tungeambiwa bilioni 100
Tuliweka sunderland Mlaseko tunachezea pesaKagame ana akili sana.
Huyu wa kwenu anawaza Nini sijui
Kusema ule ukweli angekuwa kagame ni rais wetu asinge gawa bandari zetu. Wala asingekubali upuuzi wa picha yake kuwekwa kwenye ule mnara DubaiKagame ana akili sana.
Huyu wa kwenu anawaza Nini sijui
Kusema ule ukweli angekuwa kagame ni rais wetu asinge gawa bandari zetu Kwa Dp world Wala asingekubali upuuzi wa picha yake kuwekwa kwenye ule mnara DubaiKagame ana akili sana.
Huyu wa kwenu anawaza Nini sijui
Kusema ule ukweli angekuwa kagame ni rais wetu asinge gawa bandari zetu Kwa Dp world Wala asingekubali upuuzi wa picha yake kuwekwa kwenye ule mnara DubaiKagame ana akili sana.
Huyu wa kwenu anawaza Nini sijui
Mkuu mtu kaamua kufanya investment ambayo yeye kwa sababu zake na mahesabu yake kaona inamlipa, anatokea mtu kama wewee unasema tena bila sababu za msingi kuwa anafanya ujinga, wewee upo category ipi? Hao warwanda wanakufa njaa sababu ya hizo $30m kwingine njaa zimetaradadi kwa sababu gani?Akili gani hapo upoteza $30m kutangaza Vist Rwanda wakati hata cha ku vist akipo, wanyarwanda wanakufa njaa ni masikini unapoteza 70bn Tanzania shilling huo ni upumbavu.