Andromeda Galaxy
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 5,398
- 6,916
Hatari sana
Madini ya congo YAPO.Ni mradi wawatu ungekua unafaida kwa wanyarwanda along toka EPL na kuenda ligi nyingine, kwasbb hamna mtu anae angalia ligi nyingine bila kua anafuatilia epl, mkuu huyu mtu ni sycophant wa wazungu anatumikiashwa to cover up uchafu mqingi anao fanya Rwanda.
Sure Bora hizo Hela zingetupwa huko kuliko wanavyogawana wanasiasa na mafisadiPunguani wewe,Sekta ya Utalii Tanzania Ndio inaongoza kuchangia pato la taifa.
Achana sekta nyingine zinazolishwa na utalii.
Hizi Ndio vitu tulitakiwa kuvifanya Tanzania kuwa Tourisim Hub,
Bilioni 7 sio kitu,Nitakupa tu mchanganuo, mdogo
Ziltengwa bilioni 30 kukarabati uwanja wa taifa,Bila shaka zimepigwa,Kuna magari ya wakurugenzi yananunuliwa milioni 500 huko
Haya ni maeneo machache tuu.
Lakini zingwekezwa kutangazwa utatalii zingeleta Tija japo zingepigwa pia,mkataba wa bilioni 70 tungeambiwa bilioni 100
Huyu jamaa anapoteza pesa zisizoweza kurudi kabisa.Hii Kinshasa wakiona sijui itakuwaje👇🤣
Kwa mujibu wako wewe! Hivi biashara awekeze mwingine hasara/faida atangaze mwingine tena ambaye hahusiki na huo uwekezaji. Hili linatokana na nini???Huyu jamaa anapoteza pesa zisizoweza kurudi kabisa.
Hakuna impact hadi sasa ya huo udhamini mdogo anaoufanya huko Ulaya aisee.
Hii dunia inaenda kwa udadisi na udadavuzi.Kwa mujibu wako wewe! Hivi biashara awekeze mwingine hasara/faida atangaze mwingine tena ambaye hahusiki na huo uwekezaji. Hili linatokana na nini???
Kagame ana akili sana.
Huyu wa kwenu anawaza Nini sijui
Ahahaha Asiyewekeza ndio anatoa hasara hahaha hii Kali yaani pesa kawekeza mwingine hasara a faida unatoa weweHuyu jamaa anapoteza pesa zisizoweza kurudi kabisa.
Hakuna impact hadi sasa ya huo udhamini mdogo anaoufanya huko Ulaya aisee.
Hii Kinshasa wakiona sijui itakuwaje👇🤣
Linyumbu hilo, yenyewe yapo kujaribu kumkandia Samia tu Kila siku.....bahati mbaya kwao hakuna dalili ya kufanikiwa hata kidogo.Akili gani hapo upoteza $30m kutangaza Vist Rwanda wakati hata cha ku vist akipo, wanyarwanda wanakufa njaa ni masikini unapoteza 70bn Tanzania shilling huo ni upumbavu.
Linyumbu jingine hili hapa.......mtajifungua siku si zenu!A
Kusema ule ukweli angekuwa kagame ni rais wetu asinge gawa bandari zetu Kwa Dp world Wala asingekubali upuuzi wa picha yake kuwekwa kwenye ule mnara Dubai
Kama vipi tukuoze tupate wajomba wenye akili basi.Kagame ana akili sana.
Huyu wa kwenu anawaza Nini sijui
Mkuu kukaa kupiga hesabu bila data haiswihi ila poa ni mtazamo tuuHii dunia inaenda kwa udadisi na udadavuzi.
Kaa piga hesabu halafu utapata majibu.