Rwanda kweli wanaume wafunga account za ubelgiji

Rwanda kweli wanaume wafunga account za ubelgiji

BONGOLALA

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2009
Posts
16,511
Reaction score
11,913
baada ya serikali ya ubelgiji kuzifunga akaunti za benki za ubalozi wa rwanda nchini ubelgili,rwanda nayo ime zifunga akaunti za ubalozi wa ubelgiji nchini rwanda kwani ubelgiji imekiuka sheria ya balozi makubaliano ya geneva.TANZANIA WEZI WA EPA,RICHMOND,STIMULUS PACKAGE,SHIMBO,CHENGE HAWAJAFUNGIWA AKAUNTI ZAO ZA BENKI,RWANDA WAMETHUBUTU PAMOJA NA KUWA RWANDA ILIKUA KOLONI LA UBELGIJI
 
baada ya serikali ya ubelgiji kuzifunga akaunti za benki za ubalozi wa rwanda nchini ubelgili,rwanda nayo ime zifunga akaunti za ubalozi wa ubelgiji nchini rwanda kwani ubelgiji imekiuka sheria ya balozi makubaliano ya geneva.TANZANIA WEZI WA EPA,RICHMOND,STIMULUS PACKAGE,SHIMBO,CHENGE HAWAJAFUNGIWA AKAUNTI ZAO ZA BENKI,RWANDA WAMETHUBUTU PAMOJA NA KUWA RWANDA ILIKUA KOLONI LA UBELGIJI

source?
 
Ndo msimamo wa kiume sio kama huu wa JK wakushona bakuli lake kila wakati
 
Wanajua waendako wenzetu....................sisi hata sijui kama tunaenda ama tumesimama
 
Back
Top Bottom