Katika jitihada za kujisafisha mbele ya jumuiya ya kimataifa, leo serekali jambazi ya Rwanda inarejesha tani 82 za madini. Laajabu wanarudisha iron ore na tin. Kwanini wasirejeshe rare earth metals walizoiba?
Katika jitihada za kujisafisha mbele ya jumuiya ya kimataifa, leo serekali jambazi ya Rwanda inarejesha tani 82 za madini. Laajabu wanarudisha iron ore na tin. Kwanini wasirejeshe rare earth metals walizoiba?
..OMG,watu wengine sijui kama mnaelewa mnacho post humu?serikali inapigana na illegal trades/smuggler wewe unawaita majambazi? is like serikali ya Kenya iwakamate watu wanao smuggle tanzanite through Kenya na kuzirudisha serikali ya Tanzania.