Rwanda kuomba walimu Zimbabwe, hii ipoje? Hatuoni sisi nduguze?

Rais wa Rwanda, Mh Paul Kagame ameomba walimu wengi kutoka Zimbabwe kwenda kuziba nafasi nyingi za walimu wa msingi na sekondari nchini mwake!!!
Hatua hii kiukweli kama wewe ni mwana East Africa lazima uishangae!! Kulikoni walimu wa nchi wanachama waachwe !? Kuna Uganda ,Kenya and the Giant Tanzania?!! Ikumbukwe Tanzania haijaajiri walimu wa muda mrefu hivyo maelf ya walimu wapo mtaani wanazurura!
Mh PK hatuamini!?? Au uwezo wetu sisi kama watz?! Kutoi master lugha ya malikia ndio umetuponza!??
Lakin mbona Uganda wapo vizuri katika lugha ya malikia!??
Hapa PK katuangusha

Tukizubaa, Rwanda will have an upper hand in the region economic affairs.
 
Rais wa Rwanda, Mh Paul Kagame ameomba walimu wengi kutoka Zimbabwe kwenda kuziba nafasi nyingi za walimu wa msingi na sekondari nchini mwake!!!
Hatua hii kiukweli kama wewe ni mwana East Africa lazima uishangae!! Kulikoni walimu wa nchi wanachama waachwe !? Kuna Uganda ,Kenya and the Giant Tanzania?!! Ikumbukwe Tanzania haijaajiri walimu wa muda mrefu hivyo maelf ya walimu wapo mtaani wanazurura!
Mh PK hatuamini!?? Au uwezo wetu sisi kama watz?! Kutoi master lugha ya malikia ndio umetuponza!??
Lakin mbona Uganda wapo vizuri katika lugha ya malikia!??
Hapa PK katuangusha
Wazimbabwe wana Kiingeleza kizuri sana-Rwanda wanataka raia wake waondokane na Kifaransa na kuwa waongeaji wa Kiingereza ambacho kila fursa nyingi kuliko French
 
Sasa kama wanyarwanda wenyewe wanaacha kazi ya ualimu na kwenda kufanya kazi zingine kwa sababu ya maslahi duni hao wazimbabwe watawrza kweli kuigisha
Zimbabwe wamimu wako tayari kwa mishahara kiduchu Kuna shule za msingi Tanzania nazikumbuka walikuwa wakilala mabwenini na wanafunzi na wanaona Sawa tu

Wanakula Chakula Cha wanafunzi na kulala mabwenini hawaoni shida
 
Zimbabwe wamimu wako tayari kwa mishahara kiduchu Kuna shule za msingi Tanzania nazikumbuka walikuwa wakilala mabwenini na wanafunzi na wanaona Sawa tu

Wanakula Chakula Cha wanafunzi na kulala mabwenini hawaoni shida

Hujaona juzi nyumba za walimu hazina vyoo huko Tanga?inabd walimu watumie vyoo vya wanafunzi na wanaogea huko maporini maana hivyo vyoo havina milango.
 
competency brother, watu wanahitaji watu walio competent na sio blah blah hapa....

Ushauri: vijana mlio makazini jitahidini kufanya kazi kwa bidii na kujishape kulingana na kasi ya dunia otherwise tutakuwa tunalialia kila siku...
Kuna swala la mishahara pia walimu wa Tanzania hawawezi kukubali kwenda.Mshahara wa juu kabisa wa mwalimu wa shule ya msingi kwa mwezi Rwanda Ni shilingi za kitanzania laki moja na elfu kumi na mshahara wa juu kabisa wa mwalimu wa secondary Ni shilingi za kitanzania laki tatu na elfu sita.

Hakuna mwalimu wa kitanzania aweza kubali kwenda kwa mshahara huo
 
Back
Top Bottom