Rwanda: Kikundi kipya cha waasi chaweka wazi nia yake ya kupindua Serikali ya Paul Kagame

Wamezagaa kibao tu hapa kanombe na wakisikia kiswahili changu ndio wananiona kama muwekezaji vile. Wanashoboka sana. Ngoja hawa waasi wakiwashe ntakuletea mtoto mkali ever hadi magetoni kwako mwanangu D.

Vita zina faida na hasara zake.



Mkuu Humble nashukuru sana, wacha tunoe cv zetu maana Nchi za wazalisha mitumba watakuwa wanajiandaa kufungua Mashirika kusaidia wakimbizi.



Ila mkuu kwa sasa ninamiliki mkimbizi mmoja huku Tanzania anaitwa JesTiiiker.
 
Mi siamini kama kuna uasi ila Kagame anafanya usanii tuangazie kwake tumsahau Kabila anayepanga kuchukua tena fomu ya kuwania urais wiki ijayo kinuyume na katiba. Kumbukeni hawa ni marafiki wa siri.
 
Tatizo Rwanda ni udikteta wa Kagame tu, hayo mengine ya kusema 'Genocide' ni propaganda tu.

Kagame sasa hivi anachukiwa na watutsi wenzake zaidi hata ya wahutu na ndio wanaongoza mapambano ya kutaka kumng'oa ila wajinga wengine eti wataanza kulaumu wazungu utafikiri kuna mzungu hata moja msituni.
 
Back
Top Bottom