manzi james
Senior Member
- Sep 29, 2017
- 194
- 135
Ndugu yangu vita vya makaratasi na social network vibaya saana!! Nisaw na business plan unaweza kuichambua weee ila kipindi ukianza kuifanya hiyo biashara ndo utaona kuwa ningumu.
Mkuu @zittojunior vita sio kusoma chimp reports! Hili gazeti limekuwa opposite sana utawala wa Kagame na kaguta!
Siku hizi wezi wa Mali za wananchi tunawaita wapigania nchi?
Kwanza hizo attacks hakuna hata moja tunayoijua Sasa walivamiana msituni au kwenye mtaani kwa wananchi!!! Hizo zote zingekuwepo. Wananchi wangekuwa washakimbia!!
Ila jua kwamba
*if others make us their problem and choose to start a war with us, that is when we use judgment, determination and training to fight and finish it for them*
Mkuu @zittojunior vita sio kusoma chimp reports! Hili gazeti limekuwa opposite sana utawala wa Kagame na kaguta!
Siku hizi wezi wa Mali za wananchi tunawaita wapigania nchi?
Kwanza hizo attacks hakuna hata moja tunayoijua Sasa walivamiana msituni au kwenye mtaani kwa wananchi!!! Hizo zote zingekuwepo. Wananchi wangekuwa washakimbia!!
Ila jua kwamba
*if others make us their problem and choose to start a war with us, that is when we use judgment, determination and training to fight and finish it for them*