Rwanda: Former RDF boss Rusagara arrested over 'link' to exiled opposition

Rwanda: Former RDF boss Rusagara arrested over 'link' to exiled opposition

Hata hilo jeshi lake mwenyewe haliamini kwa 90%. Hivyo lazima aliache liwe dhaifu kidogo ili alitathimini mwenendo wake, hisije hakawekeza kwa rafiki zake Nyamwasa. Ndio maana anatafuta ulinzi kwa nchi nyingine kwa kisingizio cha integration.

I guess he is going to prove failure.
 
Umesema kweli mkuu, Sasa hivi hana amani anamhisi kila mtu maana hata yeye anajua dalili za udikteta unaoanguka unakuaje. Support polepole inamponyoka na toka amekwaruzana na TZ ndio kabisa kila anaeongea kiswahili ana wasiwasi nae.

watu humu jamvini wananishangaza,elewa wakati wowote ukiwa na upinzani nje ya nchi yako inabidi kuelewa kwamba lazima watakua na wafuasi wao ndani,sasa kukamatwa kwa watu ni dhihirisha kwamba intelligensia imekaa vizuri na inafanya kazi yake na kumbuka rwanda kwa sasa ina maadui hasa nchi za magharibi na baadhi ya nchi za kiafrika wanaotaka kuona uongozi uliopo unaondoka,sasa acheni pk afanye kazi yake na watachomolewa mpaka wataisha,natoa pole kwa maadui wa rwanda kwani hawatafikia lengo lao kamwe,na pk haja lala pamoja na wanyarwanda wapenda nchi yao,watu wangapi wanakamatwa tanzania? mbona sijasikia kulalamika kwenu?wahalifu wanakamatwa rwanda maneno yana wabubujika sana utafikiri mnahuruma kwa wanyarwanda!please...acheni wanyarwanda wafanye kazi yao na nyiyi pambaneni na CCM iliyo washinda kuiondoa madarakani.
 
Woga ni kitu kibaya sana aisee. Huyu mzee atafunga hata watoto wake
mkuu hakuna uoga hapo,rwanda na uongozi wa pk unaonewa wivu na mataifa mengi na wanafanya juu chini kusambaratisha rwanda ya sasa lakini wamekuta jammaa ni makini sana ndiyo maana hawajamaa wanakamatwa.
 
Alafu ana diriki ku-challange demokrasia yetu......kagame mtu asitofautiane nae ni muhaini.....utauwa wangapi?siku yako itafika tu PAUL KAGAME km ilivyofika kwa madikteta wote duniani.....!

Demokrasia siyo kutumia nguvu!wakati wote ukitaka kubadilisha mambo kwa nguvu lazima utakutana na mkono wa chuma.
 
Mkuu MUKAMASIMBA yapo mambo mengi yanayochangia PK kuhangaika sana la kwanza ni uhusiano wake na Tanzania uko katika hali tete anajua position ya Tanzania inaweza kuamua hatima yake.

Pili ukiangalia Generals wote aliogombana nao wememzidi shule sana hawataki kuburuzwa kama watoto wadogo wanapenda Rwanda huru yenye uhakika wa upatikanaji wa haki (mahakama huru)wanapenda kuona Rwanda ikongozwa kwa kuheshimu misingi ya katiba tofauti na kinachoendelea Rwanda sasa kila kitu ni Kagame ukikwaruzana naye utapachikiwa kesi ya kuhatarisha amani ya Rwanda na kwa hakika lazima utafungwa kwasababu mahakama si huru.

Tatu tumeona nchi zote za EA wakuu wa nchi wakitofautiana na wakuu wa upinzani na wakabaki salama hali ni tofauti huko Rwanda.Ukiangalia Uganda yupo Col Kiza Bisegye wamesuguana sana na Gen Museveni hadi akakimbia nchi lakini leo yupo Uganda salama.Ukienda Kenya Raila anaipeleka puta serekali ya Uhuru Kenyatta sijasikia kawekwa ndani au kuzuiliwa nyumbani kwake au kanyimwa kuongea na wanahabari.Ukija hapa Tanzania ndio usiseme kabisa Mtikila aliwahi kumtyukana Rais Kikwete ni gaidi kesi imekwenda mahakamani Mtikila kashinda na hii si mara ya kwanza au pili hii inatokea kila mara.Wapo wapinzani wengi sana wanaisumbua serekali ya CCM wapo salama.

intelligence ya rwanda iko juu sana,hakuna mtu anaweza penya au kufanya uhuni ndani ya rwanda bila kutambulika,acheni wanyarwanda walinde nchi yao,najua jammaa wengi humu wanatamani kuiona rwanda inasambaratika kwa kuwachonganisha tena wanyarwanda,hilo mlisahau kabisa.
 
Last edited by a moderator:
mkuu hakuna uoga hapo,rwanda na uongozi wa pk unaonewa wivu na mataifa mengi na wanafanya juu chini kusambaratisha rwanda ya sasa lakini wamekuta jammaa ni makini sana ndiyo maana hawajamaa wanakamatwa.

Wamuonee wivu kwa kipi cha maana alichonacho?? Hakuna resources wafuate nini kigali?
 
watu humu jamvini wananishangaza,elewa wakati wowote ukiwa na upinzani nje ya nchi yako inabidi kuelewa kwamba lazima watakua na wafuasi wao ndani,sasa kukamatwa kwa watu ni dhihirisha kwamba intelligensia imekaa vizuri na inafanya kazi yake na kumbuka rwanda kwa sasa ina maadui hasa nchi za magharibi na baadhi ya nchi za kiafrika wanaotaka kuona uongozi uliopo unaondoka,sasa acheni pk afanye kazi yake na watachomolewa mpaka wataisha,natoa pole kwa maadui wa rwanda kwani hawatafikia lengo lao kamwe,na pk haja lala pamoja na wanyarwanda wapenda nchi yao,watu wangapi wanakamatwa tanzania? mbona sijasikia kulalamika kwenu?wahalifu wanakamatwa rwanda maneno yana wabubujika sana utafikiri mnahuruma kwa wanyarwanda!please...acheni wanyarwanda wafanye kazi yao na nyiyi pambaneni na CCM iliyo washinda kuiondoa madarakani.

Hapo ndipo mnapotofautiana na sisi. Kwanini nyie wanyarwanda mnajawa na jazba sana alafu you have inferiority complex. Yaani kwanini mtu akuchukie bila sababu. Ako ka dhambi ka ubaguzi katawatafuna sana. Be free, don't create or initialize enemity with your fellow. Yaani sijui umoja wenu ulioko huko umeegemea kwenye misingi gani. Pole sana kaka. Au ndo madhara ya genosaidi
 
CCM haijamshinda mtu, wapo madarakani kwa matakwa ya wa tz wengi,
Unlike kwenu
 
Nyerere alisema China hawakupata mafanikio waiyonayo kwa kufuata model ya West, Indonesia hivyo hivyo, Japan , Korea na hata Urusi....ni kwa mantiki hiyo siyo kweli kuwa Tanzania itapata maendeleo kwa kufuata model za West...Rwanda pia ana haki ya kubuni model yake ya kiutawala na maendelea ili kufikia malengo aliyojiwekea. Mwachane P.K na Mwachen J.K....
 
Mkuu MUKAMASIMBA yapo mambo mengi yanayochangia PK kuhangaika sana la kwanza ni uhusiano wake na Tanzania uko katika hali tete anajua position ya Tanzania inaweza kuamua hatima yake.

Pili ukiangalia Generals wote aliogombana nao wememzidi shule sana hawataki kuburuzwa kama watoto wadogo wanapenda Rwanda huru yenye uhakika wa upatikanaji wa haki (mahakama huru)wanapenda kuona Rwanda ikongozwa kwa kuheshimu misingi ya katiba tofauti na kinachoendelea Rwanda sasa kila kitu ni Kagame ukikwaruzana naye utapachikiwa kesi ya kuhatarisha amani ya Rwanda na kwa hakika lazima utafungwa kwasababu mahakama si huru.

Tatu tumeona nchi zote za EA wakuu wa nchi wakitofautiana na wakuu wa upinzani na wakabaki salama hali ni tofauti huko Rwanda.Ukiangalia Uganda yupo Col Kiza Bisegye wamesuguana sana na Gen Museveni hadi akakimbia nchi lakini leo yupo Uganda salama.Ukienda Kenya Raila anaipeleka puta serekali ya Uhuru Kenyatta sijasikia kawekwa ndani au kuzuiliwa nyumbani kwake au kanyimwa kuongea na wanahabari.Ukija hapa Tanzania ndio usiseme kabisa Mtikila aliwahi kumtyukana Rais Kikwete ni gaidi kesi imekwenda mahakamani Mtikila kashinda na hii si mara ya kwanza au pili hii inatokea kila mara.Wapo wapinzani wengi sana wanaisumbua serekali ya CCM wapo salama.
Ndugu yangu tanzania siyo tishio kwa rwanda kwani tanzania hawana ubavu wa kutikisa pk,na kingine kuna aina za wapinzani wa kisiasa,kuna wale wanaotumia mdomo na kunawale wanaotumia silaha...sasa hao watanzania,kenya,uganda wengi wao ni hao wanaotumia mdomo tu lakini usisahau konyi,na ADF wanatumia silaha na mpaka sasa wanawindwa,now acha nirudi rwanda hawa jammaa walio kamatwa inasadikiwa wana connection na RNC chama cha akina kayumba nyamwasa,na wao siyo wapinzani wa mdomo bali wao ni wapinzani walio amua kuingia madarakani kwa mtutu,sasa kama ni wewe utasibiri wakuripue ndio uanze kukimbizana nao? na kingine hao jamma wanatiwa kiburi na nchi fulani ikiwemo na tanzania,lakini wanajisumbua kwa pk atabaki kua pk hakuna atakaye thubutu kumtia kidole jichoni.
 
Vipi yule Igambire naye anatumia mtutu wa bunduki.


Ndugu yangu tanzania siyo tishio kwa rwanda kwani tanzania hawana ubavu wa kutikisa pk,na kingine kuna aina za wapinzani wa kisiasa,kuna wale wanaotumia mdomo na kunawale wanaotumia silaha...sasa hao watanzania,kenya,uganda wengi wao ni hao wanaotumia mdomo tu lakini usisahau konyi,na ADF wanatumia silaha na mpaka sasa wanawindwa,now acha nirudi rwanda hawa jammaa walio kamatwa inasadikiwa wana connection na RNC chama cha akina kayumba nyamwasa,na wao siyo wapinzani wa mdomo bali wao ni wapinzani walio amua kuingia madarakani kwa mtutu,sasa kama ni wewe utasibiri wakuripue ndio uanze kukimbizana nao? na kingine hao jamma wanatiwa kiburi na nchi fulani ikiwemo na tanzania,lakini wanajisumbua kwa pk atabaki kua pk hakuna atakaye thubutu kumtia kidole jichoni.
 
Hapo ndipo mnapotofautiana na sisi. Kwanini nyie wanyarwanda mnajawa na jazba sana alafu you have inferiority complex. Yaani kwanini mtu akuchukie bila sababu. Ako ka dhambi ka ubaguzi katawatafuna sana. Be free, don't create or initialize enemity with your fellow. Yaani sijui umoja wenu ulioko huko umeegemea kwenye misingi gani. Pole sana kaka. Au ndo madhara ya genosaidi
angalieni matatizo yenu,wazanzibari wanalia kilasiku wanahitaji uhuru wao lakini mmewabana hakuna hata wa kusema akijaribu ni mkonkoto na hata kuwawa sasa hiyo ndiyo demokrasi?unajua kunawakati nikiangalia tanzania na rwanda naona tanzania wanaweza kuwa wabaya zaidi ya rwanda,niliisha shuhudia askali anapigwa na raia tanzania na kitongoji chote kinazingirwa na askali na watu kupewa vipigo kama vya umbwa mwizi,now najiuliza kama ikisadikiwa kwamba kuna watu wa kabilafulani wanapanga kuipindua serikali ya jk nafikiri hiyo sehemu na watu wake wanaweza pata shida sana,lakini rwanda wao wanakamata mmoja mmoja bila kuhusisha wasio kuwemo.
 
angalieni matatizo yenu,wazanzibari wanalia kilasiku wanahitaji uhuru wao lakini mmewabana hakuna hata wa kusema akijaribu ni mkonkoto na hata kuwawa sasa hiyo ndiyo demokrasi?unajua kunawakati nikiangalia tanzania na rwanda naona tanzania wanaweza kuwa wabaya zaidi ya rwanda,niliisha shuhudia askali anapigwa na raia tanzania na kitongoji chote kinazingirwa na askali na watu kupewa vipigo kama vya umbwa mwizi,now najiuliza kama ikisadikiwa kwamba kuna watu wa kabilafulani wanapanga kuipindua serikali ya jk nafikiri hiyo sehemu na watu wake wanaweza pata shida sana,lakini rwanda wao wanakamata mmoja mmoja bila kuhusisha wasio kuwemo.

Ndugu yangu, huko zanzibar sisi ndo tunawasaidia wasiingiliwe na maadui toka nje. Pia kwa usalama wa eneo la bahari na kuwaondolea ukabila. Kule kuna vi element vya kubaguana. Wanapoingia kwenye muungano wanasahau kubaguana na wana concentrate kwenye kuangalia matatizo ya muungano.
Ki ukweli siyo kabila fulani likitaka kumpindua rais. Hata nchi yoyote jirani ikihusika lazima tuivamie.
Tuna mtandao kwenye kila nchi iliyotuzunguka mkuu. Congo, Malawi, Kenya, Zambia, Mozambique, rwanda, burundi etc.
Hii ni kutokana na sera yetu aliyoianzisha Mwalimu Nyerere kuwa "Hatuwezi kusema tuko huru wakati majirani zetu(Waafrica) wengine bado hawajawa huru"
kuwa na amani na eneza sera ya Tanzania uhuru na amani africa yote.
 
Hahaa aahhh Useless Kagame haters mna shida kweli,kila siku ni wale wale tuu hata kiganja hamjai humu JF ila mnajifanya mnasemea watanzania wote.
 
Back
Top Bottom