sinafungu
JF-Expert Member
- Feb 13, 2010
- 1,524
- 863
Kama safari za nje ya nchi kwa Rais wa Nchi zingelikuwa na tija basi Rais Kikwete tangu aingie madarakani ameisha fanya safari takribani 337 kwa mujiubi wa Fr. sindhani kama Rais kagame anasafiri kama mwenzake, na kama hivyo ndivyo basi Rais kikwete amuulize mwenzake wapi , amepata msaada kufika serikali yake pamoja na kuwa hawana rasilimali kama za kwetu. kadhalika ni Nchi iliyotoka ktk vita na ubaguzi uliotopea. bali serikali imeweza kutoa elimu bure (kwa maana ya bure) kuanzia darasa la kwanza hadi form 3.tunaschoshuuhia kwetu ni tambo za rais eti kwa shahada binafsi alizotunzwa huko USA, kuhusiana na soko la hisa la NASDAQ. haitusaidii sisi zaidi ya kutudhalilisha mbele ya jamii yenye mtazamo wa mbele.Nchi yetu inazidi kuwa Taifa la wajinga ukilinganisha na miaka ya nyuma nani atanusuru vizazi vijavyo...? YAKO WAPI MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA....?