Ruzuku kwa mwezi: CCM milioni 800/-, Chadema 200/-, CUF 117/-

1:Kugharimia shughuli zote za green guard!
2: Kugharimia taratibu zote za utengenezaji wa video feki na ung'oaji watu kucha na meno.
3:
4:
 
wewe weka data ulizopata kutoka kwenye hayo matawi.
na sisi tutaweka matumizi katika kila mkutano mmoja wa m4c na kila kiongozi anapokea kiasi gani charuzuku kwa kila mkutano.
tutatoa matumizi mlio yafanya igunga na baadhi ya chaguzi ndogo za madiwani pamoja na mabilioni yalioharibika karatu.
 
tunaomba chanzo cha mapato ya chadema.

zile billion 50 kcb bank tawi la mwanza zilizo kimbiwa na mwenyewe zilikuwa za nani?

bado tupo macho mtawapata wale ambao ni wavivu kufikiri.
 
Unlike other parties, CCM ina ofisi kila mkoa, kila wilaya, kila kata, kila kijiji. Ofisi zote hizi zina makatibu wa chama na wa jumuiya. Shughuli za ofisi hizi zinaendeshwa na ruzuku pamoja na michango ya wanachama.

Pesa za viwanja vya mpira, pesa za maegesho ya magari kwenye ofisi za ccm nani anakula nani?
 
Hahahahahaaaa!!
Budget ya CCM ni kubwa kuliko budget ya nchi. Lakini wanachofanya ni kuua tembo wetu tu.

Mkuu usitegemee jibu kwa hao onyenye hapo juu.
Ni shida na njaa tu zinawasumbua hao

1.Mbona pamoja na milioni 800 hizo za Ccm lakini bado makatibu wa CCM bado wanapita kuombaomba dizeli ya magari kwa wakurugenzi wa halmashauri na wakuu wa idara huku wilayani, yaani diseli iliyotolewa kwa ajili ya kusafirisha dawa za wagonjwa vijijini na kuhudumia miradi ya vijijini leo makatibu wa CCM wanadokoa tena kwa shinikizo na vitisho vingi,
Hii je ni sawa,??????

2. kwani milioni hizo 800 za ruzuku haziji huku vijijini kwa makatibu waccm wilaya????.
3. Naomba maccm mnijibu hii fedha take maendeleo kuporwa na makatibu wenu siyo wizi jamani???????
4.je haya ni maagizo kutoka makao makuu ya chama????
5.je mbona Chadema hawapiti kuombaomba hiyo Dizeli?????
6.Je nini kimejifichakatika hili,?????? matumizi haya ni sahihi?????! na katika bajeti za wakuu wa idara kuna kifungu cha mafuta ya vyama vyamavya siasa????,
 
Pesa za viwanja vya mpira, pesa za maegesho ya magari kwenye ofisi za ccm nani anakula nani?
Sio kila tawi lina kiwanja au maegesho.
Kwenye viwanja na vitega uchumi hutumia vitega uchumi hivyo kwa shughuli za chama kadri mahitaji yalivyo.
 
hayo mengi na makubwa ni yapi???????
 
Last edited by a moderator:
Unlike other parties, CCM ina ofisi kila mkoa, kila wilaya, kila kata, kila kijiji. Ofisi zote hizi zina makatibu wa chama na wa jumuiya. Shughuli za ofisi hizi zinaendeshwa na ruzuku pamoja na michango ya wanachama.

Mwongo mkubwa wewe. Nina ndugu zangu kadhaa ambao ni viongozi wa ccm, wanalalamika hawapewi mgao wowote ndo maana wanawakamua wafanyabiashara.
 
Zinatumika kuhakikisha CCM inabaki kuwa namba wani.

Hivi chadema ina wabunge wangapi vile?
 
Vyama vya siasa ni wanyonyaji tu,karibia bilioni moja zinachezewa na vyama vya siasa wakati watoto wetu wanakaa chini mashuleni#au siasa ni ajira#wagonjwa wanalala chini mahospitali,alafu wanasimama majukwaani kuleta Chuki na Uhasama,sioni mrejesho chanya wa siasa kwa wananchi
#Ex Tanzania Simper aliquid novi#
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…