Kuwa msimamo wa serikali haiondoi ukweli kuwa ni Uroho Mbaya kuliko ya paka.Mkuu huyo mtu mbona unamshambulia hivyo...alichokisema ni msimamo wa serikali...halafu kumbuka tunamsomesha huyo mtoto kwa kodi zetu
Ngoja nikupuuze... ikiwa unashindwa kuelewa hata maana ya " ", katu siwezi kuwa na uwezo wa kukuelewesha na ukaelewa!Unaweza kuthibitisha kuwa sijaelewa hoja?
Huyo akirudi kusoma wewe itakupunguzia nini?
Huwezi kusomesha mzazi, Kwani utamsomesha wewe kwa pesa yako ama ya Baba yako?
Anasomeshwa kwa fedha ya serikali...hivyo ni hela ya huyo mdau na baba yakeUnaweza kuthibitisha kuwa sijaelewa hoja?
Huyo akirudi kusoma wewe itakupunguzia nini?
Huwezi kusomesha mzazi, Kwani utamsomesha wewe kwa pesa yako ama ya Baba yako?
Kwa hiyo unapingana na msimamo wa serikali?Kuwa msimamo wa serikali haiondoi ukweli kuwa ni Uroho Mbaya kuliko ya paka.
Hii ndio itakuwa mara ya kwanza kumisuse kodi za watanzania?
Hahaha...kupuuza is apparently illogical in this dialogue.Ngoja nikupuuze... ikiwa unashindwa kuelewa hata maana ya " ", katu siwezi kuwa na uwezo wa kukuelewesha na ukaelewa!
Kwa binti aliyebakwa kunyimwa kuendelea na masomo, Ndio ninapingana nayo.Kwa hiyo unapingana na msimamo wa serikali?
Excellent...!! Kati ya umri na maturity, ni ipi function of one another?! Is maturity function of age or age a function of maturity?!Kwangu mm kitoto na utu uzima na hupimwa kwa umri na maturity.
Binti huyu aseme ukweli ili asaidike. Tatizo anamficha muhusika kwa visingizio cha kubakwa alijua kwamba akisema kubakwa muhusika ni nani atasema simjui
Wewe hamnazo kabisa, binti wa chini ya miaka 18 hata akikubalia yakitokea kama haya wewe ujue ulibaka. Wala utetezi wako wa kijinga kwamba alinikubalia haitasikilizwa mbele ya mahakama. Kwa ujinga wako unaona mtoto wa darasa la tatu anajua mapenzi ni nini , anajua consequences za kufanya mapenzi au wewe kama kijana mtu mzima ndiyo wa kumuongoza. Acha huyo kijana akakae jela miaka 30 iwe fundisho kwa wenye akili kama zako. Eti alikubali, hata kama alikubali so long as she is under 18 that stupid boy should be kept behind the bar for 30 years.Iliripotiwa wapi kuwa kabakwa? Alishktaki kwa wazazi ama waalimu wake wa shule ama dini ay hata kwa kaka na Dada zake.
Ni wazi kama angeshtaki lazima angepelekwa Hosp na angepimwa vipimo vyote na hata angrpatiwa dawa za kuzuia huo ujauzito usitungwe.
Huyu binti ukitizama anatia huruma sana lkn mazingira ya kubakwa alikubaliana nayo ndio maana akashindwa kuliripoto hili kwa wakati. Angeripoti siku ya tukio Hali isingekuwa hivi ilivyo Leo.
Ili mtu isemekane kwamba kabakwa lazima kuwepo na ripoti inayo ripoti tukio lenyewe. Sasa amekaa miezi Minne baada ya kujulikana ndio anasema alibakwa? Kwann siku alipofanya kama hakutaka hakuripoti?
Leo nasema haya kwasabb jaman dunia imeharibika sana na hao tunaodhani ni watt sio watt kihivyo. Kuna case moja hapa mkuranga binti kapewa ujauzito na kijana kwa makubaliano alipogundua kuwa imenasa kijana akamwambia aseme amebakwa akitoka dukan jion. Ikabebwa hivyo hivyo. Yule kijana baradhuli yupo mtaani anakula maisha binti anasota na tumbo tuu. Mzazi hata kama watu wamekuambia fulan ni muhusika binti Kesha sema sio alibakwa na watu adui wajuaji. Utafanyaje? Mzazi amekaa kimya anaomba Mungu mtt azaliwe ndio amuangalie kamsadifisha nani...
Acha kutoka povu basi. Mi nimenukuu kauli ya mh rais wetu kuhusu wanafunzi waopata mimba. Kwa hiyo punguza munkari. Mlaumu rais wako kwa kauli zake kuhusu mabinti wa shule wanaopata mimbaHii ni ROHO MBAYA kuliko ya Paka.
Huyu amebakwa, hakuamua kuingizwa mimba deliberately.
Halafu, je akirudi darasani wewe inakupunguzia nini?
Unasema hamuwezi kusomesha mzazi, kwani ni wewe unayemsomesha kwa pesa yako ama ya baba yako?
Karibu ujibu kinagaubaga.
Sasa tunafanyaje mkuu ikiwa tayari ishapitishwa na serikaliKwa binti aliyebakwa kunyimwa kuendelea na masomo, Ndio ninapingana nayo.
Okay....!Anasomeshwa kwa fedha ya serikali...hivyo ni hela ya huyo mdau na baba yake
Hahaha.....slow down !Acha kutoka povu basi. Mi nimenukuu kauli ya mh rais wetu kuhusu wanafunzi waopata mimba. Kwa hiyo punguza munkari. Mlaumu rais wako kwa kauli zake kuhusu mabinti wa shule wanaopata mimba
Wewe unaona ni sahihi kwa binti aliyepata mimba baada ya kubakwa kuzuiwa kuendelea na masomo?Sasa tunafanyaje mkuu ikiwa tayari ishapitishwa na serikali
Eti illogical!! In short, umekurupuka!!! Umewekewa hadi quotation mark na jina kabisa but still ukashindwa kuilewa post!!!Hahaha...kupuuza is apparently illogical in this dialogue.
Hujapuuza ila umeshindwa kujibu maswali mawili niliyokuuliza.
Kuacha kusomesha Binti aliyebakwa na kushika mimba ni Roho ya kikatili.
Tuondoe hilo neno kubakwa...tuongelee mabinti kwa ujumla.ni imani yangu kuwa watu wangepiga kura juu ya uamzi huo wengi wangesema warudi kuendelea na masomo. ..na kuna mifano mingi ya walio pata ujauzito wakarudi kuendelea na masomo na hadi kufikia kufanya vzr hilo halipingiki. Ila kwa sasa swala hilo limeshachukua mkondo mwingine...hatuwezi kupinga ni msimamo wa serikali na hatuna budi kuuheshimu,wakati mwingine siyo kila unachokubaliana nacho ndio huwa msimamo wako...ni msimamo wa mkubwa wako na inabidi uufuate hata kama ni mchunguWewe unaona ni sahihi kwa binti aliyepata mimba baada ya kubakwa kuzuiwa kuendelea na masomo?
Nimekuuliza ni jinsi gani unaweza kujustify kutokuelewa kwangu?Eti illogical!! In short, umekurupuka!!! Umewekewa hadi quotation mark na jina kabisa but still ukashindwa kuilewa post!!!
Uzi huu unazungumzia binti aliyebakwa na kupata ujauzito, sina budi kujikita kwenye mada hii.Tuondoe hilo neno kubakwa...tuongelee mabinti kwa ujumla.ni imani yangu kuwa watu wangepiga kura juu ya uamzi huo wengi wangesema warudi kuendelea na masomo. ..na kuna mifano mingi ya walio pata ujauzito wakarudi kuendelea na masomo na hadi kufikia kufanya vzr hilo halipingiki. Ila kwa sasa swala hilo limeshachukua mkondo mwingine...hatuwezi kupinga ni msimamo wa serikali na hatuna budi kuuheshimu,wakati mwingine siyo kila unachokubaliana nacho ndio huwa msimamo wako...ni msimamo wa mkubwa wako na inabidi uufuate hata kama ni mchungu