Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 25,860
- 33,472
Kuwa msimamo wa serikali haiondoi ukweli kuwa ni Uroho Mbaya kuliko ya paka.Mkuu huyo mtu mbona unamshambulia hivyo...alichokisema ni msimamo wa serikali...halafu kumbuka tunamsomesha huyo mtoto kwa kodi zetu
Hii ndio itakuwa mara ya kwanza kumisuse kodi za watanzania?