Ruto akutana na Biden asema anaiwakilisha Africa Mashariki kwa hii fursa adimu iliyopatikana!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
86,430
147,133
Rais Rutto amesema kwa sababu ni nadra sana viongozi wa Africa Mashariki kukutana na Rais wawapo Marekani basi Rais Biden aelewe kukutana kwao ni kwa manufaa ya Marekani na Africa Mashariki

Biden naye kampongeza kwa Kutokuwa mbinafsi

Credit: BBC

Tanzania tumewakilishwa 😃🌹
 
Rais Rutto amesema kwa sababu ni nadra sana viongozi wa Africa Mashariki kukutana na Rais wawapo Marekani basi Rais Biden aelewe kukutana kwao ni kwa manufaa ya Marekani na Africa Mashariki

Biden naye kampongeza kwa Kutokuwa mbinafsi

Credit: BBC

Tanzania tumewakilishwa 😃🌹
Rais wa Jamuhuri ya Kenya, Dr.William Samoe Arap Kipchichiri Ruto ni miongni mwa wanasiasa wajanja sana barani Africa.

na kwakweli anatuwakilisha vizuri sana huko marikani 🐒
 
Rais Rutto amesema kwa sababu ni nadra sana viongozi wa Africa Mashariki kukutana na Rais wawapo Marekani basi Rais Biden aelewe kukutana kwao ni kwa manufaa ya Marekani na Africa Mashariki

Biden naye kampongeza kwa Kutokuwa mbinafsi

Credit: BBC

Tanzania tumewakilishwa 😃🌹
Weka video basi, usikute unatupanga tu.
 
Back
Top Bottom